stories

341. NG’OSHA YA MVA IDIGUSHAGA NA MBUNDA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho mva ng’osha na mbunda. Imva ing’osha yiniyo igikalaga ilemile ugwigusha ni mbunda, munho igubhaluma bhandya guipela. Igubhalija kunguno iyoyi ilimyaji yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’osha ya mva idigushaga na mbunda.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli namugi ohakaya uyo alina bhana wake. Unamugi ng’wunuyo alinikujo lwakwe ahakaya yakwe yiniyo. Kuyiniyo lulu, idichiza ugwigusha na bhana wake unamhala ng’wunuyo, kunguno bhagundalaha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’osha ya mva idigushaga na mbunda.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka wimaniliji bho sagala na bhana bhabho, kugiki bhadule gwikala ni kujo lya gubhalanga chiza umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

KISWAHILI: DUME LA MVA HALICHEZI NA WATOTO WA MBWA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya dume la mbwa na watoto wa mbwa. Dume hilo hukataa kucheza na watoto wa mbwa, kwa sababu lenyewe ni kubwa kwao, vinginevyo litawauma mpaka wataanza kulikimbia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dume la mbwa halichezi na watoto wa mbwa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mzee mwenye familia na watoto wake. Mzee huyo huwa na heshima yake kwenye familiya yake, iyomuwezesha kuwalea vizuri watoto wake pamoja na familia yote. Kwa hiyo basi, siyo vizuri kucheza na watoto wake mzee huyo, kwa sababu akifanya hivyo watoto hao watamdharau maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dume la mbwa halichezi na watoto wa mbwa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha mazoea ya hovyo na watoto wao, ili waweze kuwalea vema kwa kujenga heshima inayotakiwa katika familia yote, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

male dog

puppies

 

ENGLISH: A MALE DOG DOES NOT PLAY WITH PUPPIES

The source of the above proverb comes from the life of male dog and puppies. The male dog refuses to play with puppies because it is too big for them, otherwise it will bite them until they run away. This is why people say, ‘a male dog does not play with puppies.’

The proverb is likened to a family elder and his children. Elders tend to maintain their  respect to families in order to be able to take care of them. Therefore, it is not good for elders to play with children because they can disrespect them. This is why people warn elders by saying that ‘a male dog does not play with puppies.’

The proverb teaches people to stop being so intimate with children. This will help them from not being disrespected and disturb the whole process of taking care of them.

Ephesians 6: 4.

340. KASESEMYA MVA OKABHONELA HE?

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhusesemiwa b’o mva. Imva yiniyo ulu ugayiwa jiliwa, igasesemaga ukunhu yasamaga, kugiki ipandike hewa. Igasusub’aga uko ijile ulu yitubhile. Gashinaga lulu, inzala yayo hiyo igisesemyaga imva yinilo. Hunagwene abhanhu bhagibhujaga giki, kasesemya mva okabhonela he?’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigusijaga sabho sagala. Umunhu ng’wunuyo agitaga giko kunguno atali uguibhona inzala, ulu nioyibhona, nagajilanghanaga chiza isabho jinijo. Hungwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘akasesemya mva okabhonela he?’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujilang’hana chiza isabho ijo bhalinajo, kugiki jidule gubhagunana ha shigu ijahabhutongi.

Mwanzo 41:29 – 36,

Mathayo 6:19-21.

KISWAHILI: KAHEMESHA MBWA UMEKAONEA WAPI?

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uhemeshaji wa mbwa. Mbwa akikosa chakula huhema akiwa ameachama na kutoa ulimi wake ili aweze kupata hewa. Kumbe basi, njaa yake hiyo ndiyo ile inayomhemesha mbwa huyo. Ndiyo maana watu huulizana kwamba, ‘kahemesha mbwa umekaonea wapi?’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huzichezea mali hovyo maishani mwake. Mtu huyo hufanya hivyo kwa sababu yeye hajaona njaa inavyowatesa watu, maishani. Angekuwa ameiona angekuwa anazilinda mali hizo. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kasesemya mbwa umekaona wapi?’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa kuzilinda mali zao hizo, ili ziweze kuwasaidia katika siku za mbeleni.

Mwanzo 41:29 – 36,

Mathayo 6:19-21.

animal-dog

ENGLISH: WHERE DID YOU SEE WHAT MAKES DOGS TO SALIVATE?

The source of the saying comes from dog’s salivation. When a dog misses food it salivates. In fact, it is its hunger that stimulates the dog to salivate. This is why people ask one another, ‘where did you see what makes dogs salivate’?

The saying is compared to a person who disrespects his/her possessions in life. Such a person does so because he/she has never seen how people suffer in life. Such people are being warned by asking them that ‘where did you see what makes dogs salivate?’

The saying teaches people about understanding how to protect their property for the aim of making their prosperous future.

Genesis 41:29 – 36.

Matthew 6: 19-21.

339. INGAGA AHAYOMBO UGAJA B’UMBONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho b’alihayombo. Iyombo yiniyo ulu yukula abho bhaliyoga bhagitulaga bhiminya. Ulub’uja kwib’anza b’agubhujiwa abho bhabhona uwikenya bhobho. Hunagwene munhu umo agang’wila ung’wiye uyo olihayombo yiniyo giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kulimunhu uyo atogilwe gunwana na bhanhu abho b’alinakajile kabhub’i. Umunhu ng’wunuyo agab’akalib’ushaga abhanwani b’akwe bhenabho bhaja ahakaya yakwe, nang’hwe atogilwe gujubhahoyela ukukaya jabho. Hunagwene abhanhu abho badeb’ile ubhub’ihya bho bhanwani bhakwe bhenabho, bhagang’wilaga giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunwana na bhanhu abho b’alina kajile ka nhungwa ja wiza, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Luka 22:56-60.

KISWAHILI: ONDOKA KWENYE KELELE UTAENDA NA USHAHIDI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu ambao wako kwenye kelele. Kelele hiyo ikizidi wapigao kelele hiyo hupigana wakaumizana. Wakienda mahakamani, wataulizwa mashahidi waliokuwepo kwenye ugonvi huo. Ndiyo maana mtu mmoja alimwambia mwanzake aliyekuwepo kwenye kelele hiyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu apendaye kushika urafiki na watu wenye mwenendo mbaya katika jamii. Mtu huyo huwakaribisha kwenye nyumba yake marafiki hao wabaya, naye huwatembelea nyumbani kwao. Ndiyo maana watu wanaofahamu tabia za marafiki zake hao wabaya, humwambia mtu huyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta marafiki wenye tabia njema maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao wanaowazunguka.

Luka 22:56-60.

stick-fight

 

ENGLISH: LEAVE THE CHAOTIC PLACE BEFORE BEING INVOLVED AS A WITNESS

This saying comes from people who are in a chaotic place. Chaos can result into fight among people thus making those people around the fighting scene to be involved as witnesses. To avoid from being involved in the case, people will say ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’

The saying is compared to someone who likes keeping company with bad-mannered people in the society. Such people with a tendency of keeping company with bad-mannered people are being warned by telling them that ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’

The saying teaches people to find good friends who can help them to have good and friendly relationship with neighbors.

Luke 22: 56-60.

338. WANG’WIMA NG’WIYO NUB’EB’E ULAGUB’ONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulombi bho ginhu na wimiwa bhojo. Olihoyi munhu uyo olina makoye, uyo agaja gujulomba wambilijiwa kuli ng’wiye. Ung’wiye ng’wunuyo agang’wima uyo olina makoye. Abhanhu aho b’igwa igiki ong’wimaga uyo oyunombaga, bhagang’wila giki. ‘wang’wima ng’wiyo nub’e’be ulagub’ona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiming’holo. Umungu ng’wunuyo agab’imaga abhiye abho b’agajaga gujunomba. Kuyiniyo lulu, ulu nang’hwe uja gujulomba agwimiwa, kunguno nuweyi agab’imaga abhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wang’wima ng’wiyo nub’eb’e ulagub’ona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza b’izang’holo umuwikaji bhobho, kugiki nabho ulu bhalalombe ginhu bhambilijiwe, kunguno nabho bhagabhambilijiaga abhichabho.

Luka 16:38.

KISWAHILI: UMEMNYIMA MWENZIO NAWEWE UTAONA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uombaji wa kitu na kunyimwa. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na matatizo, ambaye alienda kuomba msaada kwa mwenzake. Huyo mwenzake alimnyima yule aliyekuwa na matatizo. Watu walioelewa kwamba amemnyima mhitaji huyo, walimwambia kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo maishani mwake. Mtu huyo huwanyima wenzake waendao kumuomba msaada wake. Kwa hiyo basi, akienda kuomba msaada naye atanyimwa kwa sababu naye huwanyima wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa wakarimu maishani mwao, ili nao waweze kusaidiwa watakapohitaji msaada kutoka kwa wenzao, kwa sababu nao huwasaidia wenzao hao wanaohitaji msaada wao.

Luka 16:38.

poor-kids

 

 

ENGLISH: YOU HAVE REFUSED TO HELP YOUR FELLOW, YOU ALSO SHALL SEE IT.

This saying stems from objection and deprivation. There was a person who had problems and went to seek help from his/her friend, but he/she was refused. People who knew that the needy person was refused from being helped they told him/her that, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying can be compared to someone who is greedy in his/her life. It is likened to a person who refuses to help his/her fellows. Such a person is likely not to be helped when he/she seeks for a help whenever he/she faces problems. This is why people say, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying teaches people to be generous in their lives so that they can be helped when they need help from their fellows.

Luke 16:38.

337. AB’ALI SENGE LIMO B’ADIKELELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhusangiji wisenge b’o b’anhu bhab’ili. Ilisenge linilo ligolechaga bhiyaambilija bho gutumama milimo yabho kihamo. B’uli ng’wene amanile iyo ung’wiye aliitumama, kunguno bhagikalaga kihamo bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itolile, abho b’adadulile gwikelela, kunguno b’agikalaga kihamo b’uli makanza. Uwitoji bhobho abhanhu bhenabho, b’ulisawa nisenge ilo b’alisangilile umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhitoji higulya ya gub’iza bhatungilija umukikalile ka witoji bhobho, umushigu jab’ulamu bhobho. Yigeleliwe abhanhu bhenabho bhab’ize na wigogwi bho gwikala kihamo, umuwikaji bhobho bhose.

Yohane 15:14-15.

KISWAHILI: WALIO UKUTA MMOJA HAWAFICHANI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uchangiaji wa ukuta wa watu wawili. Ukuta huo huonesha hali ya kusaidiana kwao katika kufanya kazi zao, kwa vile wao huishi pamoja. Kila mmoja huelewa afanyacho mwenzake, kwa sababu ya kuishi pamoja maishani mwao.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja hawafichani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu walioona wasioweza kufichana kitu kwa sababu ya kuishi kwao pamoja kila wakati. Maisha ya wana ndoa hao ni sawa na ukuta wanaouchangia katika kuishi kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja wahafichani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu katika maisha yao ya ndoa, siku zote za maisha yao. Yafaa watu hao wawe na upendo wa kuishi pamoja katika maisha yao yote.

Yohane 15:14-15.

couple african

ENGLISH: THOSE WHO SHARE THE SAME ROOM DO NOT HIDE FROM EACH OTHER.

This proverb has its source in married couples. It shows how people who share the same room cannot hide their doings to each other. They understand each other well because they live together. This is why people say, ‘those who share the same wall do not hide from each other.’

This proverb can be compared to marriage life where husband and wife, in sharing the same wall, find themselves not capable of hiding their doings to each other.

This proverb teaches people about being faithful in marriage. They must have true love and be able to live together for the rest of their lives.

John 15: 14-15.