Olihoyi munhu uyo olinyalali o ntala gungi. Umunhu ng’wunuyo, agagalucha untala uyubhinila kuntala go ng’wa Ng’hilili kunguno ya kuchola kupandika solobho nhale umuntala gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nashoka gub’inila Ng’wang’hilili.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga nimo uyo guli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gugudebha chiza unimo uyo gudulile gung’wenhela solobho nhale ubhutumami bhokwe na guguchagula kunguno atogilwe kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kuchagula milimo ya wiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashoka gub’inila ng’wang’hilili, kunguno nuweyi agachakulaga milimo iyo idulile kung’wenhela solobho nhale umubhutumami bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nashoka gub’inila ng’wa Ng’hilili.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuchagula milimo ya gudula gubhenhela solobho nhale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.
Luka 14:25-27.
Mathayo 3:1.
Ufunuo 3:19-22.
KISWAHILI: NIMERUDI KUCHEZEA KWA NG’HILILI.
Alikuwepo mtu aliyekuwa mchezaji wa kundi fulani la ngoma. Mtu huyo, alibadilisha mawazo yake akaamua kuchelezea ngoma hizo kwenye kundi la Ng’hilili, kwa sababu ya kutaka kupata faida kubwa kwenye kundi hilo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua kazi yenye faida kubwa katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu na kuzichagua kazi hizo, kwa sababu ya kutaka kupata mafanikio makubwa katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio makubwa katika familia yake, kwa sababu ya kuchagua kazi za kuweza kumletea faida kubwa, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudi kwa Ng’hilili, kwa sababu naye huchakua kazi ziwezazo kumletea faida kubwa katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuchagua kazi za kuweza kuwaletea mafanikio makubwa katika utumishi wao, ili waweze kupata faida kubwa, maishani mwao.
Luka 14:25-27.
Mathayo 3:1.
Ufunuo 3:19-22.
ENGLISH: I HAVE RETURNED TO PLAY TO NG’HILILI.
There was a man who was a dancer in a certain dance group. He changed his mind and decided to explain the dances to the Ng’hilili group, because he wanted to make a big profit from the group. That is why he said that, “I have returned to play to Ng’hilili.”
This saying is equated to a person who chooses a job that is very profitable in his life. Such person does research that is good enough to enable him understand and choose the best jobs, because he wants to achieve great success in his works. He achieves great success in his family, because of choosing jobs that can bring him great profits, in his life.
This person is similar to the one who returned to Ng’hilili, because he also takes jobs that can bring him great profits in his life. That is why he says that, “I have returned to play to Ng’hilili.”
This saying imparts in people an idea about choosing jobs that can bring them great successes in their services, so that they can get great benefits, in their lives.
Luke 14:25-27.
Matthew 3:1.
Revelation 3:19-22.