Folklore

1194. NASHOKA GUB’INILA NG’WANG’HILILI.

Olihoyi munhu uyo olinyalali o ntala gungi. Umunhu ng’wunuyo, agagalucha untala uyubhinila kuntala go ng’wa Ng’hilili kunguno ya kuchola kupandika solobho nhale umuntala gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nashoka gub’inila Ng’wang’hilili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga nimo uyo guli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gugudebha chiza unimo uyo gudulile gung’wenhela solobho nhale ubhutumami bhokwe na guguchagula kunguno atogilwe kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kuchagula milimo ya wiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashoka gub’inila ng’wang’hilili, kunguno nuweyi agachakulaga milimo iyo idulile kung’wenhela solobho nhale umubhutumami bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nashoka gub’inila ng’wa Ng’hilili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuchagula milimo ya gudula gubhenhela solobho nhale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

KISWAHILI: NIMERUDI KUCHEZEA KWA NG’HILILI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa mchezaji wa kundi fulani la ngoma. Mtu huyo, alibadilisha mawazo yake akaamua kuchelezea ngoma hizo kwenye kundi la Ng’hilili, kwa sababu ya kutaka kupata faida kubwa kwenye kundi hilo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua kazi yenye faida kubwa katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu na kuzichagua kazi hizo, kwa sababu ya kutaka kupata mafanikio makubwa katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio makubwa katika familia yake, kwa sababu ya kuchagua kazi za kuweza kumletea faida kubwa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudi kwa Ng’hilili, kwa sababu naye huchakua kazi ziwezazo kumletea faida kubwa katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuchagua kazi za kuweza kuwaletea mafanikio makubwa katika utumishi wao, ili waweze kupata faida kubwa, maishani mwao.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

 

ENGLISH: I HAVE RETURNED TO PLAY TO NG’HILILI.

There was a man who was a dancer in a certain dance group. He changed his mind and decided to explain the dances to the Ng’hilili group, because he wanted to make a big profit from the group. That is why he said that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying is equated to a person who chooses a job that is very profitable in his life. Such person does research that is good enough to enable him understand and choose the best jobs, because he wants to achieve great success in his works. He achieves great success in his family, because of choosing jobs that can bring him great profits, in his life.

This person is similar to the one who returned to Ng’hilili, because he also takes jobs that can bring him great profits in his life. That is why he says that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying imparts in people an idea about choosing jobs that can bring them great successes in their services, so that they can get great benefits, in their lives.

Luke 14:25-27.

Matthew 3:1.

Revelation 3:19-22.

 

dance-5935800__480

1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480

 

 

 

 

1006. WINA NKONO MBUPU

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhubupu bho nkono go ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu umo uyo wikalaga muchalo jilebhe. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo oli na nkono mbupu uyo gosalaga jikolo josejose bho wangu wangu noi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wib’i umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gunyembyanyembya jikolo ja b’iye bho nduhu ugwinhiwa na ng’winikili ojo. Uweyi agapandikaga makoye ga gwiduma na bhanhu abho agigalaga nabho kunguno ya wib’i bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina nkono mbupu uyo osolaga jinhu josejose bho wangu wangu, kunguno nu weyi agagutumilaga unkono gokwe bho ugwib’a ijikolo jabhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwib’a jikolo ja bhichabho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umubhulamu bhobho.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

KISWAHILI: ANA MKONO MWEPESI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia wepesi wa mkono wa mtu fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwenye kijiji fulani. Lakini mtu huyo, alikuwa na mkono mwepesi ulioweza kuchukua kitu chochote kwa haraka sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ana mkono mwepesi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwizi katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kuchukua vitu vya watu kwa kufichaficha bila kupewa na wamiliki wa hivyo vitu. Yeye hupata matatizo mengi kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya wizi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mwepesi wa kuchukua vitu kwa haraka, kwa sababu naye hutumia mkono wake huo kwa kuiba vitu vya watu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana nkono mwepesi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwaibia wenzao vitu vyao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

ENGLISH: HE HAS A LIGHT HAND.

This saying looks at the lightness of someone’s hand. There was one man who lived in a certain village. But he had a light hand that could take anything very quickly from others. That is why people said to him that, “He has a light hand.”

This is compared to the person who is a thief in his life. Such person likes to take people’s things in secret without being given by their owners. He gets into a lot of trouble because of his wicked habit of stealing properties of people in his life.

This person, in effect, resembles the one who has a light hand to take things of people, because he also uses his hand to steal people’s things, in his life. That is why people say to him that “He has a light hand.”

This saying imparts in people an idea of giving up the habit of robbing others of their belongings, in their lives, so that they can live in peace with each other, in their families.

Matthew 15:19.

Colossians 3: 8-9.

sand-3167368__480

 

black-2660280__480

 

map-2591759__480

951. BHANHU BUHIMILA DULI NDIMI NA NHAMBU NSOGA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhanhu bhabhili abho bhali bhanwanile. Uumo obho witanagwa Buhimila. Abhanhu bhenabho, bhali bhidebhile akilomelele kabho. Abhoyi bhikomelejaga gwikala na nhungwa ja wiza shigu jose. Hunagwene ung’wiye agayomba giki, “bhanhu Buhimila duli ndimi na nhambu nsoga.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu bha kaya iyo ili ni lange isoga, umukikalile kayo. Abhanhu bha hakaya yiniyo, bhagilangaga gwikala na witogwi ubho bhugabhambilijaga gutumama milimo yabho bho mholele. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi umumilimo yabho kunguno ya lilange lyabho ilya wiza linilo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanwani abhabhili abho bhikomelejaga gwikala na nhungwa ja wiza, kunguno nabho bhagilangaga ilange lwa gwitogwa na bhanhu chiza na gutumama milimo yabho, bho bhukamu bhutale, umukikalile kakwe. Abhoyi bhagabhalanga abhanhu bhabho higulya ya gubhiza na nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza. Hunagwene bhayayombaga giki, “bhanhu Buhimila duli ndimi na nhambu nsoga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhunwani bho gwilanga nhungwa ja wiza, kugiki bhadule gwikala na bhanhu bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mithali 15:4.

Zaburi 34:13.

Marko 10:7-9.

Waefeso 5:25.

1 Yohana 4:20.

KISWAHILI: WATU BUHIMILA TU ULIMI NA MAONGEZI MAZURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu wawili waliokuwa marafiki. Mmoja wao aliitwa Buhimila. Watu hao, walielewana katika maongezi yao. Wao walihimizana kuishi katika tabia njema za kuwawezesha kuishi na watu vizuri siku zote. Ndiyo maana mmoja wao alisema, “watu Buhimila tu ulimi na maongezi mazuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu waishio kwenye familia yenye malezi mema, katika maisha yao. Watu hao, hufundishana juu ya kuishi kwa upendo wa kuwawezesha kufanya kazi kwa amani. Wao hupata mafanikio ya kupata mali nyingi na kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya malezi mema wayapatayo kutoka kwenye familia hiyo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale warafiki wawili waliohimizana juu ya kuishi kwa tabia njema na watu, kwa sababu nao huishi kwenye malezi mema ya kuwa na upendo kwa watu, na kufanza kazi kwa bidii kubwa, katika maisha yao. Wao huwafundisha watu wao juu ya kuwa na tabia njema za kuishi na watu vizuri, maishani mwao. Ndiyo maana husema kwamba, “watu Buhimila tu ulimi na maongezi mazuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na urafiki wa kufundishana juu ya kuwa na tabia njema, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani, maishani mwao.

Mithali 15:4.

Zaburi 34:13.

Marko 10:7-9.

Waefeso 5:25.

1 Yohana 4:20.

african-child-11

children-11

ENGLISH: MY FRIEND BUHIMILA, WE ARE SUPPOSED TO HAVE GOOD TONGUES AND GOOD TALKS.

This saying looks at the two people who were friends. One of them was called Buhimila. These people, understood each other in their conversations. They encouraged one another enough to live in a way that made it easier for them to get along with others. That is why one of them said, “My friend buhimila, we are supposed to have good tongues and good talks.”

This saying is compared to people who live well with their families. These people teach each other on how to put into practice their true love to another enough to enable them work peacefully. They find success in acquiring more wealth in living with their people because of the good upbringings which they receive from their families.

These people are like the two friends who encouraged each other enough to live a good life with people, because they also live in a good upbringing by loving their people, and working hard, in their lives. They teach their people on how to have good habits for living well with others in their societies. That is why they say that, “my friend buhimila, we are supposed to have good tongues and good talks.”

This saying teaches people on how to be friendly enough to teach each other on how to behave, so that they can live well and peacefully, in their lives.

Proverbs 15: 4

Psalm 34:13.

Mark 10: 7-9

Ephesians 5:25.

1 John 4:20.

madagascar-1

949. NAWE JANHILILA BHUGOTA BHUGAMANAGWA NA BHASAJI.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhuhililwa bho ng’wa munhu uyo amanile bhugota aliyo adinapandika solobho nabho. Umunhu ng’winuyo, agawilagwa giki janhilila kunguno inhungulume jili ngoko ng’osha ijo jigahilaga golecha giki ubhujiku welaga.

Ulu munhu alina lugendo ujigwa jahila agumana igiki okelejaga ugwandya ulugendo lokwe lunulo. Hunagwene umunhu uyo adinapandika solobho ya bhugota ubho abhumanile agawilagwa giki “nawe jamhilila bhugota bhugamanagwa na bhasaji.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo amanile bhugota aliyo akatumamile kakwe kali kab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga bhanhu sagala ubhugota bhokwe bhunubho, bho nduhu gwinhiwa josejose. Uweyi agashililagwa nose inguzu ja gubhubhegeja ubhugota ubho abhumanile bhunubho, bho nduhu ugupandika josejose, kunguno ya gubhiza adina witegeleja, umumilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsaji uyo agaponyaga sagara ijikolo, kunguno nuweyi gabhinhaga bhanhu sagala ubhugota bhokwe bhunubho, bho nduhu gwinhiwa josejose. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nawe jamhilila bhugota bhugamanagwa na bhasaji.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumila ubhumani bhobho bho gujibheja chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika solobho ningi, umubhumani bhobho.

Mhubiri 4:7-12.

KISWAHILI: NAYE ZIMEMUWIKIA DAWA HUFAHAMIWA NA WEHU.

Methali hiyo, huongelea uwikiwaji wa mtu anayefahamu dawa lakini hapati faida nayo. Mtu huyo, huambiwa kuwa amewikiwa kwa sababu jogoo ni kuku dume ambaye huwika kuonesha kwamba usiku umekucha.

Mtu akiwa na safari akisikia jogoo hao wanawika huelewa kwamba amechelewa kuianza safari yake hiyo. Ndiyo maana mtu yule ambaye hapati faida ya dawa anayoifahamu huambiwa kwamba, “naye zimemuwikia dawa hufahamiwa na wehu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu dawa fulani lakini huitumia vibaya, katika maisha yake. Mtu huyo, huwagawia watu hovyo ile dawa yake bila kupewa chochote. Yeye, mwishowe huishiwa nguvu za kuendelea kuitengeneza dawa yake hiyo, bila kupata faida yoyote, kwa sababu ya kutokuwa na umakini katika kazi zake.

Mtu huyo, hufanana na yule kichaa ambaye hutupa hovyo mali, kwa sababu naye huwagawia watu hovyo dawa hiyo, bila kupewa chochote katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “naye zimemuwikia dawa hufahamiwa na wehu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuitumia elimu yao kwa kuziendeleza vizuri familia zao, ili waweze kufaidika vizuri kutokana na elimu hiyo, maishani mwao.

Mhubiri 4:7-12.

Jogoo3

 

ENGLISH: THE COCKS HAVE CROWED FOR HIM/HER, MEDICINAL HERBS ARE KNOWN BY MAD ONES!

This proverb speaks of the roosters which crowed before benefiting from medicine which a particular man knew. This man is told so because he has finished his medicine without making anything out of it.  

The rooster is a male chicken that crows to show that the night is over. A person who has a journey, for instance, when he hears the roosters crowing, he realizes that he is late to start his journey. That is why the person who does not get the benefit of the medicine which he knew is told that, “the cocks have crowed for him/her, medicinal herbs are known by mad ones!”

This proverb is compared to a man who is familiar with a particular drug but who abuses it, in his life. This man, in turn, distributes his medication comprehensively without being given anything. He/she, in the end, loses the ability to continue making this medicine, to no avail, because of a lack of concentration in his work.

This man is like the madman who did not benefit from his medicine, because he also distributes the drug to people without being given anything in his work. That is why people say to him that, “the cocks have crowed for him/her, medicinal herbs are known by mad ones!”

This proverb teaches people on how to be wise enough to use their education for the betterment of their families, so that they can benefit well from it, in their lives.

Ecclesiastes 4: 7-12.