Ulusumo lunulo lufumilile kulikujo lya kikalile ka bhanhu bha muafrica. Uloyi luhoyelile nhingi iyo igatumamaga nimo goguyibhucha pye inumba. Gitumo inhingi igabhubhukijaga ubhudito bho numba pye, giko nu mayu nang’hwe agayibhuchaga pye ikaya yakwe gubhitila mubhutogwa bhokwe, ikujo na nguzu jakwe jinijo umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “umayu ali nhingi ya numba.”
Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na bhutogwa bho guyilanhana chiza ikaya yakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agayilanhanaga chiza ikaya yakwe kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadujaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mayu uyo agayidilila chiza ikaya yakwe kunguno nuweyi alina bhutogwa bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhhu bhagang’witanaga giki, “umayu alinhingi ya numba.”
Usulumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhakuja abhamayu na gubhambilija chiza kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mithali 31:10–31.
Mithali 1:8–9.
Kutoka 20:12.
Tito 2:3–5.
Isaya 66:13.
SWAHILI: MAMA NI NGUZO YA NYUMBA.
Asili ya methali hii inatokana na hekima ya kitamaduni inayopatikana katika tamaduni mbalimbali barani Afrika. Metheli hiyo huzungumzia juu ya nguzo imara inayofanya kazi ya kulitegemeza jingo zima. Kama vile nguzo inavyobeba uzito wa nyumba na kuiweka imara, mama pia hutegemeza familia kupitia upendo wake, majitoleo yake, hekima, na kazi ngumu maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mama ndiye nguzo ya nyumba.”
Methali hii hulinganishwa kwa mtu mwenye upendo wa kweli wa kutunza familia yake maishani mwake. Mtu huyu ndiye msingi wa maisha ya familia kwa sababu ya kuwapa wanafamilia upendo, matunzo, mwongozo, na utulivu unaounganisha familia. Yeye hufanikiwa kuwalea vizuri wanafamilia wake kwa sababu ya upendo wake huo wa kweli maishani mwake.
Mtu huyu hufanana na yule mama mwaminifu, anayejali familiya yake mvumilivu, na uwajibikaji ambaye aliitunza vizuri na upendo, kwa sababu naye pia huwalea watoto wake viziri kwa kuwatia moyo na kufanya kazi bila kuchoka mpaka akafikia hatua ya kudumisha amani, umoja, na furaha katika familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humuita nguzo kwa kusema kwamba, “mama ndiye nguzo ya nyumba.”
Methali hii huwafundisha watu kuhusu: kuwaheshimu akina mama. Kuthamini majitoleo ambayo akina mama hutoa kwa ajili ya familia zao. Kutambua kwamba upendo, utunzaji, na uwajibikaji huimarisha nyumba. Kuwatia moyo wazazi katika kujenga familia zao kwa imani, hekima, na tabia njema. Kuelewa kwamba familia imara huanza na wazazi waliojitolea kuwalea watu wao kwa upendo.
Mithali 31:10–31. Huelezea mwanamke mwema ambaye hekima, bidii, na wema wake hubariki nyumba yake.
Mithali 1:8–9. “Mwanangu, sikiliza mafundisho ya baba yako wala usiache mafundisho ya mama yako.”
Kutoka 20:12. “Waheshimu baba yako na mama yako.”
Tito 2:3–5. Huwahimiza wanawake kupenda familia zao na kuzisimamia nyumba zao kwa hekima.
Isaya 66:13. “Kama mama anavyomfariji mtoto wake, ndivyo nitakavyokufariji wewe,” kuonyesha upendo unaowalea akina mama.
ENGLISH: A MOTHER IS THE PILLAR OF THE HOUSE.
The origin of this proverb comes from traditional wisdom found in various cultures around Africa. It talks about a strong pillar that supports a building. Just as a pillar carries the weight of a house and keeps it standing, a mother too supports the family through her love, sacrifices, wisdom, and hard work. That is why people say “a mother is the pillar of the house.”
This proverb is compared to a person who has true love for taking care of the family in life. This person is the foundation of family life because of providing the family members with love, care, guidance, and stability that hold the family together. He/she manages to nurture the family members well because of his/her true love in life.
This person resembles a faithful, caring, patient, and responsible mother who supported her family, because he/she nurtures her children, encourages her family, and works tirelessly to maintain peace, unity, and happiness in the family. That is why people say about him/her “a mother is the pillar of the house.”
This proverb teaches people: To respect and honor mothers. To appreciate the sacrifices mothers make for their families. To recognize that love, care, and responsibility strengthen the home.To encourage parents to build their families on faith, wisdom, and good character. To understand that a strong family begins with devoted and loving parents.
Proverbs 31:10–31. Describes the virtuous woman whose wisdom, diligence, and kindness bless her household.
Proverbs 1:8–9. “Listen, my son, to your father’s instruction and do not forsake your mother’s teaching.”
Exodus 20:12. “Honor your father and your mother.”
Titus 2:3–5. Encourages women to love their families and manage their homes with wisdom.
Isaiah 66:13. “As a mother comforts her child, so will I comfort you,” showing the nurturing love that mothers reflect.








