Olihoyo munhu uyo ohadikijaga gukila mongo uyo galigonyama. Umunhu ng’wunuyo, ohadikijaga gugukilila umongo gunuyo, aha jazwila noge, kunguno ya bhujidigwa bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “udizukilila aha jazwila noge ugunwela.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agahadikilaga gwita mihayo ya bhubhi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga mihayo iyo idulile gung’wenhela makoye umubhutumami bhokwe kunguno ya bhujidigwa bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga makoye ga guduma uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhujidigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agahadikija gugukilila mongo aha shimu, kunguno nuweyi agahadikijaga gwita mihayo iyo idulile gung’wenhela makoye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizukilila aha jazwila noge ugunwela.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guzunya guhang’wa na bhichabho ulu bhahubhaga, kugiki bhadule gujilabhila chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
1Samweli 12:20-21.
2Wafalme 17:13.
Mwanzo 3:1-19.
Mwanzo 19:15-26.
KISWAHILI: USIVUKIE PALE ZILIPOVUJIA DAMU PUANI UTAZAMA.
Alikuwepo mtu aliyelazimisha kuvuka mtu uliokuwa umemzuia. Mtu huyo, alilazimisha kuvukia pale zilipovujia damu puani, maana yake penye kina kirefu, kwa sababu ya kutokukubali kuonywa kwake na wenzake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “usivukie pale zilipovujia damu puani utazama.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulazimisha kufanya mambo yanayoweza kumletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya mambo yawezayo kumletea matatizo katika utekelezaji wa kazi zake kwa sababu ya ugumu wake wa kukubali kushauriwa na wenzake, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kushindwa kuilea vizuri familia yake hiyo, kwa sababu ya ugumu wake huo wa kupokea ushauri wa wenzake, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyelazimisha kuvukia mto penye kina kirefu, kwa sababu naye hufanya mambo yawezayo kumletea matatizo katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “usivukie pale zilipovujia damu puani utazama.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kukubali kushauriwa na wenzao wanapokosea katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.
1Samweli 12:20-21.
2Wafalme 17:13.