Sukuma Proverbs

1178. NULU UGADIMA UGUTYUJA.

Ulusumo lunulo, lunhoyelile munhu uyo ugatyuja umulinti ugugwa hasi. Umunhu ng’wunuyo, aliolinha umulinti lya minyembe kugiki atone minyembe ya gulya. Ohayimanile otyuja ugwa hasi aliyo oliodima chiza. Hunagwene agayonmba giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ohubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija aliyo lulu agahubhiyagwa na bhiye abho bhali na nhungwa ja bhubhi kunguno agayelaga nabho, umubhutumami milimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga mamihayo gagwenhelejiwa na bhiye bhenabho abha miito gabhubhi, kunguno ya gwikala nabho, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatyuja ugwa hasi aliyo oliodima, kunguno nuweyi alintungilija aliyo agahubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwilalanhana na bhanhu abho, bhagatumamaga milimo yabho kugiki bhadizuhubhibhiwa nabho, umuwikaji bho bhutungilija bhobho bhunubho.

Mwanzo 3:1-7.

KISWAHILI: HATA UKISHIKA UTATELEZA.

Methali hiyo, humuongelea mtu aliyekuwa ameshikilia kwenye mti akateleza na kuanguka chini. Mtu huyo, alipanda kwenye mti wa miembe ili achume maembe ya kula. Kwa bahati mbaya aliteleza akaanguka chini, pamoja na kwamba alikuwa ameshikilia vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwanamifu ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake wenye mtendo maovu kwa sababu ya kutembea nao, katika kazi zake. Yeye hupata matatizo ya kusababishwa na wenzake hao wenye matendo maovu, kwa sababu ya kufanya kazi pamoja nao, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa ameshika kwenye mti akateleza na kuanguka chini, kwa sababu naye ni mwaminifu, ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake ambao wana matendo maovu, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujilinda na watu wanaofanya kazi pamoja nao, ili wasikoseswe na wao, katika maisha yao hao ya uaminifu.

Mwanzo 3:1-7.

mango-5326504__480

1175. NG’WASANGA LYAB’ELWA ILIWE.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhub’eji bho liwe. Ubhub’eji bhunubho bhugitwa na munhu uyo ulina nguzu ningi ija gudula gulib’inzagula iliwe linilo haho bhatali abhangi ugwiza. Uweyi agandya gugutumama unimo gunuyo mpaga ugumala wangu na bhushiga abhiye bhenabho. Hunagwene agabhawila aho bhashiga giki, “ng’wasanga lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo usabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana bhakwe, aha kaya yake yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ijo ojilanhanaga chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agasabha majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo haho atali ugupandika abhana, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalib’inzagula iliwe bho nguzu jakwe, haho bhatali abhiye ugwiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo chiza mpaga osabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene agabhawilaga abhana bhakwe giki, “ng’wasansa lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila sabho ja gubhambilija abhana bhabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

KISWAHILI: MUMEKUTA JIWE LIMEVUNJWA.

Methali hiyo, huongelea juu ya uvunjaji wa jiwe. Uvunjaji huo, ulifanywa na mtu mmoja aliyekuwa na nguvu nyingi za kuweza kulivunja jiwe hilo kabla ya wengine kufika kwenye kazi hiyo. Yeye alianza kuifanya kazi hiyo mpaka akaimaliza haraka ndipo wakafika wenzake. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametajirika kwa kupata mali nyingi kabla ya kupata watoto, kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpaga onapata mali ambazo huzitunza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu mwenye nguvu aliyelipasua jiwe peke yake kabla wenzake hawajafika, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali nyingi, kabla ya kupata watoto katika familia yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watoto wake kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wapate mali za kutoka kuwaachia watoto wao, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

hike-986020__480

1170. YAPYAGA INDULU.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ndulu iyo yapyaga. Indulu yiniyo igikalaga munda ya mitugo nulu ndimu iyo agailujaga inyama yayo ulu yutinikila mumho mugati ahikanza ilya guibhaga inyama yiniyo. Iyoyi igaikenagulaga chiniko inyama ya ndugo gunuyo ulu yubhagwa bho nduhu witegeleja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “yapyaga indulu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga bho nduhu uguyangulwa nulu okenyiyagwa hadoo duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapelanaga wangu nulu ukenyiyagwa bho kamhayo kadoo duhu, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agabhakoyaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya gulema guyangulwa bhuli makanza ulu upelanaga, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ndulu iyo igakumiyaga hadoo duhu yatanduka mpaga yayiluja pye inyama, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu opelana mpaga olema uguyangulwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “yapyaga indulu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka upelanu bho gulema guyangulya ulu bhakenyiyagwa nulu hadoo duhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 19:45-48.

Luka 22:47-50.

Luka 14:21.

 

KISWAHILI: NYONGO IMEIVA.

Methali hiyo, huongelea juu ya nyongo iliyoiva. Nyongo hiyo, hupatikana tumboni mwa mifugo ambayo hufanya nyama iwe chungu endapo itapasukia ndani wakati wa kumchuna huyo mnyama. Yenyewe huiharibu hivyo hiyo nyama yote, asipokuwa na uangalifu mchunaji wa mnyama huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “nyongo imeiva.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika upesi mpaka kufikia hatua ya kukataa kuamriwa hata anapokesowa kwa jambo dogo tu, katika maisha yake. Mtu huyo, hukasirishwa haraka na hata kwa jambo dogo tu, na kukataa kuamriwa kwa sababu ya hasira yake hiyo. Yeye huwahangaisha watu wa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukali wake huo wa kukataa kuamriwa na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile nyongo ambayo huguswa kidogo na kupasuka mpaka inaiharibu nyama yote, kwa sababu naye hukasirishwa hata na jambo dogo tu, na kukataa kuamriwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “nyongo imeiva.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira ya kukasirika upesi kwa sababu ya jambo dogo tu na kukataa kuamriwa, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 19:45-48.

Luka 22:47-50.

Luka 14:21.

stick-fight-412666__480

1169. ALINA NKONO NDITO.

Olihoyi munhu uyo alina nkono ndiko uyo wikalaga muchalo ja Miyuguyu. Umunhu ung’wunuyo agubhuchaga unkono gokwe bho hado hado na witegeleja bhutale kinguno ya bhudito bhogo bhunubho. Uweyi wikalaga chene nose abhanhu bhagandebha kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe hado hado iyo agayimalaga chiza aliyo wikanza lilihu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe hado hado mpaka oyimala chiza bho nduhu ugulekela nulu hadoo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi bhuli ng’waka kunguno ugutumama na witegeleja bhutale imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ali na nkono ndito uyo otumamaga hado hado mpaga oyimala chiza imilimo yakwe, kunguno nuweyi agatumama na witegeleja bhutale mpaga uyimala chiza imilimo yake yiniyo, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika, matwajo mingi, umumilimo yabho.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

KISWAHILI: ANA MKONO MZITO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na mkono mzito katika kijiji cha Miyuguyu. Mtu huyo, alikuwa akiubeba mkono wake huo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu ya uzito wake huo. Yeye aliishi hivyo mwishowe watu walimfahamu kutokana na namna yake hiyo ya kuishi. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake pole pole mpaga anazimaliza vizuri bila kuacha sehemu hata ndogo. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake pole pole mpaga anatumia muda mrefu kuyamaliza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi kila mwaka katika familia yake kwa sababu ya kuwa na umakini huo mkubwa katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mzito ambaye aliyatekeleza pole pole mpaga akayamaliza vizuri majukumu yake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake kwa umakini mkubwa mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa wa kuwawezesha kuyakamilisha vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

farmer-2832679__480

1165. SHULI MAB’ELE HA NYANGO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’ombe ja mab’ele aha kaya ndebhe, kunguno ishuli hi ng’ombe. Yalihoyi kaya imo iyo yali na ng’ombe kaganda umuchalo ja Sanjo. Ikaya yiniyo yikalaga yuliila mab’ele bhuli lushugu kunguno ya mitugo ijo bhali najo jinijo umukikalile kabho. Hunagwene bhayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilanhanaga chiza imitugo jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajichilulaga diyu imitugo jabho jinijo bhagajidima mpaga jiguta buli lushigu kunguno bhayidebhile isolobho ya mitugo jabho jinijo, umubhulamu bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhuliila mab’ele bhuli lushugu aha kaya yabho yiniyo kunguno ya gujilabhila chiza imitugo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni kaya iyo yali na ng’ombe kaganda ja mab’ele kunguno nabhoyi bhagajilanhanaga chiza ing’ombe jabho ijo jigabhinhaga mab’ele bhuli lushugu, umukikalile kabho kenako. Hunagwene bhagayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza imitugo yabho kugiki jidule gubhambilija chiza, umubhulamu bhobho.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

KISWAHILI: NG’OMBE MAZIWA KWENYE MLANGO.

Methali hiyo, huongelea juu ya ng’ombe wa maziwa kwenye familia fulani. Ilikuwepo familia moja iliyokuwa na ng’ombe kiasi katika kijiji cha Sanjo. Familia hiyo, ilikuwa ikitumia maziwa kila siku kwa sababu ya uwepo wa mifugo hao katika maisha yao. Ndiyo maana walisema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwatunza vizuri mifugo wao, maishani mwao. Watu hao, huwapeleka ng’ombe wao kwenye malisho asubuhi na mapema ambako huwalisha mpaka wanashiba kila siku kwa sababu wanazielewa faida za ng’ombe hao, kwenye maisha yao. Wao hutumia maziwa kila siku kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya kuwatunza vizuri ng’ombe wao hao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ile familia iliyokuwa na mifugo kiasi wa maziwa, kwa sababu nao wanao mifugo hao wanaowapatia watu hao mazima kila siku kwenye familia yao hiyo, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri migugo wao ili waweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

glass-1587258__480