Justina

850. NZUB’I ADAB’ITILAGA ILAMBO.

Ulusumo lunulo, lulilola nzub’i o shi, nulu ndilo uyo agaja ogazub’a bhuli hilambo lyene mpaga abhite hoyi, gujilola ishi. Unzub’i ng’wunuyo, agitaga giko kunguno ahayile apandike ndilo nyingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasulujaga jikolo jilebhe, uyo agab’itaga bhuli kaya yene, umubhusuluja bhokwe. Unsuluja ng’wunuyo, agajaga uliga bhuli aha kaya yene iyo aliyibhona ilugulile unyango, kunguno atogilwe amale gujijinja pye ijikolo ijo alijisuluja, umunimo gokwe gunuyo. Uweyi agapandikaga solobho mhale noyi umubhusuluja bhokwe bhunubho kunguno ya wikomeja bhokwe ubho gubhita bhuli kaya, umutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nzub’i o ndilo uyo agabhitaga bhuli ilambo, kunguno nu weyi agajaga ubhita bhuli kaya, umubhusuluja bhokwe bhunubho. Uweyi abhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja guhoya na bhanhu bhingi umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umumilimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gubhutumila pye uwasa ubho bhali nabho umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

KISWAHILI: MVUVI HAACHI KUPITIA BWAWANI.

Methali hiyo, humwangalia mvuvi wa samaki ambaye hupitia kwenye kila bwawa akitafuta samaki. Mvuvi huyo, hufanya hivyo kwa sababu anataka kupata mafanikio ya kuvua samaki wengi. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huuza vitu fulani, kwa hupitia kwenye kila familia, katika uuzaji wa biashana yake. Mfanya biashana huyo, huenda akiingia kwenye kila familia ambayo anauona mlango wake uko wazi, kwa sababu anapenda kuuza vitu vyake vyote, katika biashara yake hiyo. Yeye hupata faida kubwa sana katika kazi yake hiyo, kwa sababu ya bidii yake ya kupitia kwenye kila familia, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mvuvi wa samaki aliyepitia kwenye kila bwawa, kwa sababu naye huenda akiingia kwenye kila familia, katika biashara yake hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuongea na watu wengi katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika kazi zao. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuzitumia fursa zote walizo nazo, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

fisherman-1

people-with fish

visser-fishing zanzibar

fishpond-

ENGLISH: THE FISHER-PERSON DOES NOT JUMP A FISHPOND (TRADITIONS ARE LIKE A  LAW).

This proverb focuses on a fisherman who goes through each pond in searching for fish. He does this because he wants to be successful in catching more fish. That is why people say that, “the fisher-person does not jump a fishpond.”

This proverb is compared to the man who sells certain things by passing through every family in his trade. Such trader enters at every family which he sees that its door is open, because he likes to sell all his goods. He gets a lot of benefits from his work, because of his persistence of passing through each family that can buy his goods.

This man is like the fisherman who passed through every pond, because he too goes into every family that can buy his goods. He also teaches his people on how to communicate with many people in fulfilling their duties, so that they may be more successful in their daily activities. That is why he often tells people that, “the fisher-person does not jump a fishpond (traditions are like a law).”

This proverb teaches people on how to strive to use all the opportunities which they have in fulfilling their daily responsibilities, so that they may have more successes in their families.

Luke 24:47.

Acts 1: 8.

Romans 10:18.

Mark 16: 15-16.

849. LWAKA LO NKE O MHIMBI GUBHISA SISA MU NGOBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kuli munhu uyo oli na lwaka lo gulya jiliwa, umukikalile kakwe. Olihoyi nkima uyo oli nke o mhimbi. Unkima ng’wunuyo, aginhwa sisa uing’wa mpaka wiguta iyingi uyibhisa mu ng’wenda gokwe.

Aliyo lulu, iki isisa jili ndoto ung’wenda gokwe gugalob’a minzi mpaka umanyika igiki wayib’isaga mu ng’wenda gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina lwaka lo bhulaku bho gulya majiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhulaku bhutale ubho gulya jiliwa ukunhu adubhiganikaga abhiye, iki agimanaga ng’winikili duhu, kunguno ya bhukalu bhokwe bhunubho ubho nduhu ugubhizuka bhiye. Uweyi agikalaga ulya jiliwa mpaga wiguta na gulisaja bho nduhu ugubhadilila abhiye, aliyo bhalinanuka na nzala aha kaya yake henaho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nke o  mhimbi uyo agabhisa sisa mu ng’wenda mpaga umanyika aho yagudotya ung’wenda gunuyo, kunguno nu weyi alinaku ogulya majiliwa bho nduhu ugubhadilila abhiye abho bhali na nzala, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulaku bho gulya majiliwa ukunhu bhadubhadililaga abhichabho, kugiki bhadule gugabhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

KISWAHILI: TAMAA YA MKE WA PIMBI KUFICHA CHICHA KWENYE NGUO.

Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na tamaa ya ulafi wa kula chakula, katika maisha yake. Olikuwepo mwanzamke aliyekuwa mke wa Pinbi. Mwanamke huyo, alipewa chicha akanywa mpaka akashiba na kuificha kwenye nguo yake ile iliyobaki.

Lakini kwa vile chicha hiyo ni mbichi nguo yake ililowa maji mpaka akajulikana kwa watu kuwa alikuwa ameificha chicha hiyo kwenye nguo yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa kubwa ya kula chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana ulafi wa kula chakula kwa kujifikiria yeye mwenyewe tu bila kuwajali wenzake, kwa sababu ya kutaka afaidike yeye peke yake.  Yeye huwa anakula chakula mpaka anasaza bila kuwajali wenzake wanaokosa chakula kwenye familia yake.

Mtu huyo, hufanana na mke wa Pimbi aliyeficha chicha kwenye nguo yake mpaka nguo hiyo ikalowana maji, kwa sababu naye ana ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzake walio na njaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tamaa ya ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzao, ili waweze kugawana vizuri chakula wanachopata, maishani mwao.

2Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

black-girl

ethiopia-wine

hammer-

ENGLISH: PIMBI’S WIFE’S DESIRE TO HIDE DRINKS IN CLOTHES.

The origin of the proverb can be traced back from a woman who was greedy for eating food in life. There was a woman who was Pinbi’s wife. She was given a drink and drank until she was full and hid the remaining of it in her clothes.

But since such drink was raw her clothes became wet until it became known to the people of that area. That is why people said, “pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb is compared to a person who has a strong desire to eat, in life. Such person is obsessed with eating food without considering others because such desire for only benefiting him/herself. He/she often eats food to the point of stopping caring about his/her fellow food in the family.

This man is like the wife of Pimbi who hid drink in her clothes until the garment was wet, because he/she too is greedy enough to eat food without caring for others who are hungry in life. That is why people say to him/her that, “Pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb teaches people about giving up the greed of eating food without caring for others in the family, so that they can nicely share the food which they get in their lives.

2 Samuel 12: 4-6.

2 Samuel 12: 9-10.

Psalm 55:11.

Psalm 78:18.

hilippians 2: 8-9.

848. NDA IDI NA NZUNAYE.

Inda ya ng’wa munhu ili imo duhu iyo igabokelaga ijiliwa ijo agajilyaga umunhu ng’wunuyo. Iyoyi igabhizaga idina ng’wichayo, kunguno ili ing’wene duhu, umukikalile kayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nda idi na nzunaye.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga wimanile weyi ng’winikili duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga atogilwe gwinhiwa jikono na bhiye, aliyo lulu uweyi adabhagunanaga abhanhu abho bhali na makoye, nulu agabhiza ali na jikolo ja gudula gubhambilija, kunguno ya bhulaku na wiming’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga nulu ugwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya gogohaya kumajiwa jiliwa jakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nda iyo igimanaga yoyi duhu, kunguno nuweyi agiinikaga weyi duhu, bho nduhu ugubhambilija abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nda idi na nzunaye.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija gubhiza bhizang’holo bha gubhalisha abho bhali na nzala, umuwikaji bhobho.

2Timotheo 2:11.

Ufunuo 14:13.

1Wakorintho 9:25.

Wafilipi 2:8-9.

KISWAHILI: TUMBO HALINA MDOGO WAKE.

Tumbo la mtu ni moja tu ambalo hupokea chakula anachokila mtu huyo. Lenyewe huwa halina mwenzake kwa sababu liko peke yake muda wote. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tumbo halina mdogo wake.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujijali yeye mwenyewe tu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anapenda kupewa vitu na wenzake, lakini yeye huwa hawasaidii watu walioko kwenye matatizo, hata kama ana vitu vya kumwezesha kufanya hivyo, kwa sababu ya ulafi na uchoyo wake huo, maishani mwake. Yeye hushindwa hata kuishi wa watu wengi kwenye familia yake, kwa sababu ya kuogopa kummalizia chakula chake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na tumbo lile ambalo hujijali lenyewe tu, kwa sababu naye hujifikiria yeye mwenyewe tu, kwa kutowasaidia wenzake mali zake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tumbo halina mdogo wake.”

Methail hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa ili waweze kupata mali za kuwakarimu wenzao walio na njaa, maishani mwao.

2Timotheo 2:11.

Ufunuo 14:13.

1Wakorintho 9:25.

Wafilipi 2:8-9.

hunger-

african-child-1

food-1-

 ENGLISH: THE STOMACH HAS NO YOUNG RELATIVE.

A person’s stomach is the only one that receives the food that such person eats. It has no partner because it is alone all the time. There is no one who can eat for someone else. That is why people say that, “the stomach has no young relative.”

This proverb is compared to a man who cares only for himself in his life. He is the person who likes to be given things by others, but he does not help the people who suffer from various problems even if he has things for doing so. He does so because of his greed in his life. He fails even to live with other people in his family because of such greed.

This person is like the stomach that cares only for itself, because he is also a self-centered one who does not help others in his life. That is why people tell him that, “the stomach has no young relative.”

This proverb imparts in people an idea on how to carry out their responsibilities with great diligence so that they can acquire plenty wealth for generously helping the starving people in their lifetime.

2 Timothy 2:11.

Revelation 14:13.

1 Corinthians 9:25.

847. KABULA GUDEMA.

Akahayile kenako, kalolile bhulumbazu bho malunde ga mbula. Imbula ulu yuhaya gutula igabhejaga malunde ayo gagalumbelaga na yandya ugutula. Ubhulumbazu bho malunde genayo hubho bhugitanagwa “kabula gudema.” Hunagwene abhanhu ulu bhubhona malunde galumbalaga bhagamanaga giki imbula yahaya gutula bhaja kaya kunguno ya “kabula gudema.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhonaga mbeng’ho ja jidiku wandya gulima migunda yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alidebhile ilikanza lya gwandya ugulima, kunguno ya gujibhona imbeng’ho jinijo ija gwandya go likanza lya mbula. Uweyi agalimaga migunda mitale iyo igampandikilaga majiliwa mingi, ayo gagadulaga uguyilisha chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe ahigulya ya gulidebha ilikanza lya mbula na gulima migunda mitale iyo idulile gubhapandikila majiliwa mingi umukaya jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, bhandye gulima ahikanza lya “kabula gudema.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gulidebha ilikanza lya guitumama imilimo yabho na gulitumila chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Kutoka 24:15-18.

Luka 12:54-55.

Mhubiri 11:3a.

KISWAHILI: MVUA KUTANDA.

Msemo huo, huangalia giza la mawingu ya mvua. Mvua ikitaka kunyesha huwa inatengeneza mawingu ambayo huleta giza fulani ndipo inaanza kunyesha.  Giza hilo la mawingu ndilo linaloitwa “mvua kutanda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule mbaye huona dalili za kuanza kwa masika, na kuanza kulima mashamba yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anazielewa vizuri dalili za kuanza kwa kipindi hicho cha kulima, kwa sababu ya uchaga kazi wake. Yeye huwa analima mashamba makuwa ambayo humpatia mazao mengi ya kutoka kuilisha vizuri familia yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, huwa anawafundisha pia watu wake namna ya kuyaelewa vizuri majira hayo ya mvua na kuanza kulima mashamba makubwa, ili waweze kupata mazao mengi kwenye familia zao. Ndiyo maana, huwa anawaambia waanze kulima wakati wa “mvua kutanda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaelewa vizuri majira ya kuanza kuyatekeleza majukumu yao na kuutumia vizuri muda huo, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Kutoka 24:15-18.

Luka 12:54-55.

Mhubiri 11:3a.

umbrella-

rain-1

woman--1

ENGLISH: HEAVY RAIN CLOUDS.

This saying looks at the darkness of the rain clouds. When it is about to rain clouds appear on the sky which bring darkness to the point of starting to rain. Those dark clouds are what people call “heavy rain clouds.”

This saying is likened to a man who sees the signs of the onset of spring, and begins to cultivate his fields in his lifetime. This person is well aware of the signs of the onset of the growing season, due to his or her hard working. He cultivates the fertile fields that provide him with plenty of harvest enough to feed his family throughout the year.

This man also teaches his people on how to understand the rainy season enough to start cultivating large fields, so that they can get more products from their farms. That is why he tells them to start plowing during the “heavy rain clouds.”

This saying teaches people on how to properly understand when to start fulfilling their responsibilities for making the best use of that time in their lives, so that they can have more successes in their families.

Exodus 24: 15-18

Luke 12: 54-55.

Ecclesiastes 11: 3a.

846. GUBHINZA LUGIKO.

Akahayikle Kenako, kalolile bhubhinzi bho lugiko lo bhanhu bhalebhe. Ulugiko lunulo, lililibhilinga lya bhanhu abho bhali na bhulingisilo bho guhoyela mihayo yabho. Abhanhu bhenabho ulu bhumala uguyihoyela imihayo yabho yiniyo, bhagabhizaga ni kanza lya gubhinza lugiko. Hunagwene bhagalitanaga likanza lya “gubhinza lugiko.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na g’wigwano go guhoyela mihayo yabho na guyimala bhali halumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagiyigwilijaga chiza imihayo iyo igigelaga umukaya jabho kunguno ya bhutogwa bhobho ubho bhugabhambilijaga uguyimama bho ng’wigwano gutale imihayo yabho yiniyo. Abhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyambilija halumo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhabhinzi bha lugiko, kunguno nabho bhagibhilingaga bhayimala chiza imihayo yabho, umukikalile kabho. Hunagwene ulu bhayihoyela imihayo yabho bhagabhizaga ni kanza lya “gubhinza lugiko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwibhilinga na guyimala halumo imihayo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:45-46.

KISWAHILI: KUVUNJA BARAZA.

Msemo huo huangalia uvunjaji wa baraza walio nao watu fulani. Baraza hilo, ni mkusanyiko wa watu wenye malengo ya kuongelea masuala yao. Watu hao wakizimaliza kuziongelea hoja hizo huwa wana muda wa kuvunja baraza. Ndiyo maana huwa wanaamua “kuvunja baraza.”

Mesemo huo, hulinganishwa kwa watu wale walio na uelewano wa kuyaongelea masuala yao wakiwa pamoja, katika maisha yao. Watu hao, huwa wanajulishana vizuri masuala yaliyotokea kwenye familia zao, kwa sababu ya upendo wao unaowasaidia kuyaweka vizuri kwa ushirikiano huo wa pamoja.Wao huyatekeleza majukumu yao kwa ushirikiano huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wavunjaji wa Baraka, kwa sababu nao huwa wanakusanyika pamoja wanapotaka kuyaongelea masuala yao, katika maisha yao. Ndiyo maana wakimaliza kuyaongelea masuala hao huwa wana kuwa na muda wa “kuvunja baraza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kukusanyika kwa ajili ya kuyaongelea hadi kuyamaliza masuala yao hayo wakiwa pamoja, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Marko 6:45-46.

botswana--

people---

people2

ENGLISH: TO DISSOLVE THE MEETING.

This saying looks at the breach of the council that certain people have. This council is a gathering of people who aim at talking about their issues. When these people have finished talking about those issues, they set a time for breaking up their council. That is why they often decide “to dissolve the meeting.”

This saying is compared to people who have time for talking about their issues together in their lives. These people are well acquainted with the issues that have arisen in their families, because of their true love for each other that helps them enough to keep them well in their partnership. They fulfill their daily responsibilities because of maintaining nicely such partnership in their lives.

These people are like those who had time for dissolving their council after solving their problems, because they also gather together when they want to talk about their issues in their lives. That is why when they finish talking about those issues they have time “to dissolve the meeting.”

This saying imparts in people an idea on having a co-operative gathering for talking together about various issues until they finish them, so that they can live in peace with each other in their lives.

Mark 6: 45-46.