Umpilya jili jitumamilo ijo jigang’wanguhyaga umunhu ugushiga wangau uko ajile umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agibakilaga umpilya gokwe opela na gushiga wangu uko ajile kunguno ya bhupeji bho mpilya gunuyo. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga ginhu ja gupelela uko ajile ija kunshisha wangu, umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumila ginhu guti lori, basi, ndege na jingi ijo jikolile na jinijo, kunguno ya kuhaya kushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe nululo. Uweyi agadulaga ugushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe na kutumama milimo yingi, kunguno ya gutumila jikolo ya kupelela ija kunshisha wangu jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumila mpilya mpaga ushiga kule, kunguno nuweyi agatumilaga ginhu ja gupelela na kushiga wangu uko ajile, umulugendo lokwe. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gutumila ginhu ja gupelela umukikalile kabho, kugiki bhadule gushiga wangu, uko bhagile, umuludondo lobho.
Matendo ya mitume 27:1-3, 13.
Kutoka 14:17.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
KAMENIFIKISHA MBALI – BAIKELI.
Baisikeli ni chombo cha usafiri ambacho humwezesha mtu kufika haraka kule anakoenda. Mtu huyo, hupanda baiskeli yake na kukimbia mpaka anafika haraka kule anakoenda, kwa sababu ya ukimbiaji wa baiskeli hiyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”
Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia vyombo vya usafari kwa ajili ya kumfikisha haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vyombo vya usafiri kama vile gari, basi, ndege na vingine wingi, kwa sababu anataka kufika haraka kule anakoenda, katika safari yake. Yeye hufanikiwa kufika haraka kule anakoenda mpaka anafanya kazi zingine, kwa sababu ya kutumia usafiri huo wa haraka, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyetumia baiskeli mpaka akafika mbali katika safari yake, kwa sababu naye hutumia vyombo vya usafiri na kufika haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutumia vyombo vya usafiri katika safari zao, ili waweze kufika haraka kule wanakoenda, maishani mwao.
Matendo ya mitume 27:1-3, 13.
Kutoka 14:17.