Sukuma Riddles

1193. KALAGU – KIZE. KANISHISHA KULE – MPILYA.

Umpilya jili jitumamilo ijo jigang’wanguhyaga umunhu ugushiga wangau uko ajile umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agibakilaga umpilya gokwe opela na gushiga wangu uko ajile kunguno ya bhupeji bho mpilya gunuyo. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga ginhu ja gupelela uko ajile ija kunshisha wangu, umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumila ginhu guti lori, basi, ndege na jingi ijo jikolile na jinijo, kunguno ya kuhaya kushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe nululo. Uweyi agadulaga ugushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe na kutumama milimo yingi, kunguno ya gutumila jikolo ya kupelela ija kunshisha wangu jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumila mpilya mpaga ushiga kule, kunguno nuweyi agatumilaga ginhu ja gupelela na kushiga wangu uko ajile, umulugendo lokwe. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gutumila ginhu ja gupelela umukikalile kabho, kugiki bhadule gushiga wangu, uko bhagile, umuludondo lobho.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KAMENIFIKISHA MBALI – BAIKELI.

Baisikeli ni chombo cha usafiri ambacho humwezesha mtu kufika haraka kule anakoenda. Mtu huyo, hupanda baiskeli yake na kukimbia mpaka anafika haraka kule anakoenda, kwa sababu ya ukimbiaji wa baiskeli hiyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia vyombo vya usafari kwa ajili ya kumfikisha haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vyombo vya usafiri kama vile gari, basi, ndege na vingine wingi, kwa sababu anataka kufika haraka kule anakoenda, katika safari yake. Yeye hufanikiwa kufika haraka kule anakoenda mpaka anafanya kazi zingine, kwa sababu ya kutumia usafiri huo wa haraka, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetumia baiskeli mpaka akafika mbali katika safari yake, kwa sababu naye hutumia vyombo vya usafiri na kufika haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutumia vyombo vya usafiri katika safari zao, ili waweze kufika haraka kule wanakoenda, maishani mwao.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

man-471192__480

 

bicycle-7798227__480

 

old-man-2584620__480

 

 

1172. KALAGU –  KIZE. UMYAJI ALI NA MAGULU ALIYO UMYALWA ADINA MAGULU – NGOKO NI GI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola kikalile ka ngoko na bhulanhani bho bhana bhayo. Ingoko yiniyo ligashigaga likanza yatela bho gunyela magi na gugalela bho gugabhandila mpaga gapya. Ulu gapya amagi genayo gagatandukaga kafuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno ya bhudiliji wiza ubho ngoko yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji uyo agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhakula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyumilila ugubhalela abhana bhakwe bhenabho bho guhoya nabho bhuli lushigu, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhana bhakwe bhenabho. Uweyi agabhakujaga mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake kunguno ya gubhalela chiza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nkola iyo iyanyelaga magi yagabhandila chiza mpaga gapya na gufuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake yiniyo, umiwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, yalangu bhabyaji higulya ya kubhalanhana abhana bhabho bho gubhalela chiza, kugiki bhadule gubhambilija chiza umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MZAZI ANA MIGUU LAKINI MZALIWA HANA MIGUU – KUKU NA YAI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia maisha ya kuku na utunzaji wa vifaranga vyake. Kuku huyo, hufika muda wa kutaga mayai na kuyalea kwa kuyakumbatia vizuri mpaga yanaiva. Mayai hayo yakiiva hupasuka na kutoa kifaranga kila moja kwa sababu ya utunzaji mzuri wa kuku huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mzazi yule ambaye huwalea vizuri watoto wake mpaga wanakua, katika maisha yake. Mtu huyo, huvumilia katika kuwalea watoto wake hao kwa kuongea nao kila siku, kwa sababu ya upendo wake huo kwao. Yeye huwakuza vizuri watoto wake hao, mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kuwatunza kwa kuwapatia malezi mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyetaga mayaji akayatunza vizuri mpaka yakaiva na kutoa mtoto kila moja, kwa sababu naye huwatunza watoto wake kwa kuwalea vizuri mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hufundisha wazazi juu ya kuwatunza watoto wao kwa kuwalea vizuri, ili waweze kuwasaidia vyema katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

chicken-1867521__480

 

 

 

1168. KALAGU – KIZE. KAYA YA NG’WISE IDAMALAGA LUGENDO – SUNGWA/MISWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile Sungwa/miswa. ISungwa jilijisunva ijo jidamalaga lugendo kunguno jigajaga gujusuma jiliwa jagiza jilumile liswa bhuli jene, nulu ginhu josejose ijo jigachala hawikalo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagatumama milimo yabho bho bhukamu bhutale na guchala kaya yabho, amatwajo gabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu na gujichala kukaya jabho ijo bhagajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga na sabho ningi aha kaya yabho kunguno ya gwigulambija bho gutumama milimo yabho yiniyo bhuli lushigu na gujichala aha kaya yabho, ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni Sungwa kihamo ni miswa ijo jigigulambijaga gusuma jiliwa na guchala hawikalo bhojo ijo jigapandikaga, kunguno nabhoyi bhagigulambijaga gutumama milimo yabho bhuli lushigu na gujichala ahawikalo bhobho ijo bhagajikwabhaga, umubhutumami bhobho. Hungwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu, na kujichala kukaya jabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi imuwikaji bhobho.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA YA KWETU HAIMALIZI SAFARI – SIAFU/MCHWA.

Chanzo cha kitendawili hicho huangalia chungu chungu/siafu/ mchwa. Chungu chungu hao ni viumbe wadogo wagodo weusi ambao ni jamii ya siafu na mchwa. Viumbe hao hawamalizi safari kwa sababu huenda kuhemea chakula na kuleta nyumbani kwao kila mmoja kile alichokipata. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale wambao hufanya kazi kwa bidii kubwa na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, katika maisha yao. Watu hao, huenda kujibidisha kufanya kazi zao kila siku na kupeleka nyumbani kwao kile walichokipata katika kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wao huo. Wao hutajirika sana kwenye familia yao, kwa sababu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri kila siku na kukipeleka nyumbani kwao, kile walichokipata, katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale siafu na mchwa ambao hujibidisha kuhemea chakula na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwa sababu nao hujibidisha kufanya kazi zao kila siku, na kukipekeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwenye utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza vizuri majukumu yao, na kukipeleka nyumbani kwao, kile wakipatacho kwenye kazi zao hizo, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kutumia maishani mwao.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

nature-5898812__480

 

 

 

1155. KALAGU – KIZE. NTOLWA ALILAB’AGILA MUNGUNDA – LIZETI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lizeti. Ilizeti yiniyo, lilinti ilo ulu giki lyuhola ligafunyaga wilab’u b’ulab’agizu guti ntolwa uyo alifumanija kunguno nang’hwe agazwalaga jizwalo jilab’agizu chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo, igalenganiyagwa kuli ntolwa uyo agayilelaga chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga milimo yakwe chiza na gubhalanga bhanhu bhakwe nzila ja gwika chiza na bhanhu kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi abhalumanyaga chiza abhanhu abho bhidumaga bho guhoya nabho chiza kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni lizeti iyo igalab’agilaga mungunda, kunguno nuweyi alina nhungwa niza ijo jigang’wambilijaga ugubhalela chiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhitoji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza, umu kaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA.

BIBI HARUSI ANAMEREMETA SHAMBANI – ALIZETI.

Chanzo cha kitendawili hicho kinaangalia alizeti. Alizeti hiyo, ni mti ule ambao ukichanua hutoa maua ya kumeremereta kama bibi harusi anayeolewa kwa sababu naye huvaa mavazi ya kumetameta vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa bibi harusi yule ambaye huilea vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri na kuwafundisha watu wake njia za kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwapatanisha watu waliokosana kwa kuongea nao vizuri, kwa sababu ya tabia hiyo njema aliyo nayo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile alizeti iliyokuwa ikimeremeta shambani, kwa sababu naye ana tabia njema ambayo humsaidia katika kuwalea vizuri watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwalea vizuri watu wao, ili waweze kuishi vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

sunflower-1627179__480

 

 

 

1153. KALAGU – KIZE. KAGINHU KADOO KAMFULAMYA NTEMI – KAYUKI.

Oliyohi ntemi uyo agajikomya nzuki ijo jalitelile bihi na aha kaya yakwe. Inzuki jinijo jigandya gunuma untemi ng’unuyo wandya gupela mpaga ujishiga kunguno agamala gete iki, jidulile gumulaga ulu witimbilija. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – kayuki.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajidalahijaga iginhu ijidoo bho gujikorosha ijo jigabhalemelaga, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhikoroshaga abhibhabho abho bhagikalaga bhalyehile kunguno ya libhengwe lyabho linilo ukubhichabho bhenabho. Abhoyi bhagalipishiyagwa majikolo mingi kunguno ya wikorosha bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu ntemi uyo agajikomya nzuki junuma wandya kupela mpaga ujishiga, kunguno nabhoyi bhagabhikoroshaga abhanhu abhalyehu abho bhagabhakanyaka mpaga bhalipishiwa majikolo mingi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – Kayuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya guleka lib’engwe lya gujikorosha sagala ijisumva ijo jilyehile, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.

Isaya 5: 16 -17.

 

KITENDAWILI – TEGA.

MDUDU MDOGO AMEMHANGAISHA MTEMI – NYUKI.

Alikuwepo Mfalme aliyewachokoza nyuki waliokuwa wamejenga mzinga karibu na nyumbani mwake. Nyuki hao walianza kumuuma, naye akimbia mpaga akawaacha kwa sababu alielewa kabisa kwamba akibaki pale wanaweza kumuua. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvidharau vitu vidogo kwa kuvichokoza ambavyo huwashinda katika maisha yao. Watu hao huwachokoza wenzao ambao huishi kwa upole, kwa sababu ya dharau zao hizo kwa wenzao. Wao hupewa faini ya kulipa mali nyingi baada ya kushindwa kesi, kwa sababu ya ukorofi wao huo kwa wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule mfalme aliyewachokoza nyuki wakamuuma mpaga akakimbia, kwa sababu nao huwachokoza watu walio wapole ambao huwashinda kesi na kuwalipisha mali nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – nyuki.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na dharau ya kuvichokoza viumbe vilivyotulia, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Isaya 5: 16 -17.

bee-4913122__480