Uncategorized

1111. KALAGU – KIZE. NAGANG’WIGWAGA ALIYO NADAMONAGA – ILAKA.

Ikalagu yiniyo ilolile ilaka ilo agaligwaga munhu bho nduhu ugulibhona. Olihoyi munhu uyo agigwa ilaka liling’witana bho nduhu ugumhona umunhu uyo alimwitana. Umunhu ng’wunuyo, agidika na gutimija iyo lyang’wilaga ililaka linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganila giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhigwaga chiza abho bhagang’wilaga mihayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumagwa gujutumama milimo na bhiye oja ugaitimija chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uwei agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agwigwa ilaka liling’witana widika bho nduhu ugumona umunhu uyo aling’witana, kunguno nuwei agiigwaga chiza imihayo iyo bhaling’wila abhiye, na guyitimija chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya nhungwa ja guigwa chiza imihayo ya bhichabho na guitimija, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NAMSIKIA LAKINI SIMUONI – SAUTI.

Kitendawili hicho huangalia sauti ambayo mtu huisikia bila kuiona. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alisikia sauti ikimuita bila kumuona mtu yule anayemuita. Mtu huyo, aliitika na kutekeleza kile alichoambiwa na ile sauti. Ndiyo maana watu walihadithiana kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikia vizuri watu wanaompatia ujumbe na kuutekeleza, maishani mwake. Mtu huyo hutumwa kwenda kutekeleza majukumu na wenzake na kuyatii vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika maisha yake. Yeye huishi kwa amani na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitii sauti iliyomuita bila kumuona mtu aliyemuita, kwa sababu naye huyasikiliza vizuri maneno anayoambiwa na wenzake na kuutekeleza ujumbe aliyopewa. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuyasikilia na kuyaelewa maneno ya wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

woman-6920629__480

parade-2657870__480

dance-5173941__480

 

 

 

 

1097. ISEBYA B’ONGO.

Akahayile kenako kalolile bhusebya bho b’ongo bho bhanhu bhalebhe. Ubhusebya bhunubho bhuli bhunogi bho wiganiki bho bhanhu abho bhaling’wila mhayo munhu uyo aduzunyaga kunguno ya nhinda jakwe.

Umunhu ng’wunuyo agabhizaga alemile ugub’igwa abhanhu bhenabho abho bhali ng’wila mhayo uyo guli go nhana, kunguno ya libhengwe lwake linilo umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinambu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga alemile ugubhigwa abhiye ulubhali ng’wila gwita ginhu kunguno ya nhinda jakwe ija gwibhona giki adebhila pye iyose umumasala gakwe genayo. Uweyi agalemaga ugutung’wa ginhu jose jose nabhiye kunguno ya bhulambu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olemaga uguyigwa imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi alina nhinda ija gulema gutung’wa ginhu nabhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhinda ja gulema gung’wa kinhu na bhangi bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

 

KISWAHILI: CHEMSHA BONGO.

Msemo huo, huangalia uchemushaji bho ubongo wa watu fulani. Uchemushaji huo ni uchovu wa kufikiri wa watu wanaomwambia kitu mtu yule ambaye hakubali kupokea kile wanachomwambia kwa sababu ya kiburi chake cha kutowasikiliza wenzake.

Mtu huyo, hukataa kuwasikia watu hao wanaomwambia kutekeleza jambo fulani ambalo ni muhimu kwa sababu ya dharau na kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi cha kutoambiwa chochote na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kuwasikiliza wenzake wanaomwambia kutekeleza jambo lolote ambalo ni muhimu kwa sababu ya kiburi chake hicho cha kujidhania kuwa anajua kila kitu. Yeye hukataa kutung’wa kufanya chochote na wenzake anaoishi nao kwa sababu ya kiburi chake hicho, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuambiwa neno lolote na wenzake mpaga wakachoka kufikiri juu yake, kwa sababu naye ana kiburi cha kukataa kutung’wa na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba yeye ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia yenye kiburi cha kutowasikiliza wengine kwa kukubali kutung’wa na wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

ENGLISH: BRAIN TEASER.

This saying looks at brain boiling of some people. Such boiling is a fatigue of thinking of people who say something to a person who does not accept what they say to him because of his pride of not listening to his colleagues.

Such person refuses to listen to people who tell him to do something that is important because of his contempt and pride. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying is equaled to a man who is proud of not being told anything by his colleagues, in his life. This person refuses to listen to good advice of his colleagues who tell him to do anything that is important because of his pride of thinking that he knows everything. He refuses to be told to do anything by his colleagues because of his pride in his life.

This man is similar to the one who refused to be told anything by his colleagues until they got tired of thinking about him, because he also has the pride of refusing to be told anything by his colleagues in his life. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying instills in people a clue of abandoning an arrogant behavior of not listening to others by accepting good advice from their nobles, so that they can raise their families well, in their lives.

Galatians 3:1-6.

Psalm 14:1.

Exodus 31:19-20.

quarrel-2847445__480

african-dancers-837346__480

 

students-377789__480

 

1081. MAGULU GANUNHA MONGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya ng’wa munhu uyo wikalaga mumongo bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oli na mabhonde mingi ayo oliolima maguha, madoke, minyemba, machungwa na gangi mingi. Uweyi wikalaga usingijaga umumabhonde gakwe genayo ayo gali mumongo kunguno ya gugalingulila na gutumama milimo moyi. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga milimo yakwe bho guyitumama chiza mpaga yang’wenhela solobho nhale, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogayitumama imilimo yakwe chiza bhuli lushigu, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga solobho nhale noyi umumilimo yakwe yiniyo, kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo odililaga mabhonde gakwe bho gwikala agugalimilaga umumongo chiniko, kunguno nuweyi agadililaga milimo yakwe bho gutumama milimo chiza mpaga opandika solobho ya gubhiza na sabho ninghi umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila milimo yabho bho guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika solobho ya kubhiza na jikolo ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

KISWAHILI: MIGUU IMENUKA MTO.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyekuwa akiishi kwenye mto kila wakati katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na bustani nyingi za miwa, ndizi, maembe, machungwa na matunda mengine mengi. Yeye alikuwa akiyatembelea mashamba yake hayo ya bustani yaliyokuwa mtoni kwa ajili ya kuyakagua na kuyatunza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jila la “miguu imenuka mto.”      

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzijali kazi zake kwa kuzitunza vizuri mpaka zinamletea faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kwenda kufanya kazi vizuri kila siku kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kutekeleza kazi zake hizo. Yeye hupata faida kubwa kutoka kwenye kazi zake hizo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitekeleza vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezijali bustani zake kwa kuzitunza vizuri, mpaga zikampatia faida kubwa, kwa sababu naye huzijali kazi zake kwa kuzitunza, mpaka zinamletea faida kubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jina la “miguu imenuka mto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho, ili waweze kupata mafanikio makubwa ya kuwasaidia vizuri, katika maisha yao.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

ENGLISH: THE FEET HAVE A SMELL OF A RIVER.

The overhead saying talks about a person who lived on the river all the time in his life. This man had many gardens of sugarcane, bananas, mangoes, oranges and other fruits. He used to visit his gardens that were on the river enough to inspect and take good care of them, during his life. That is why people called him the name of “the feet have a smell of a river.”

This saying is compared to the person who takes care about his works by visiting them until they bring him great benefits in his life. This person wakes up in the morning and goes to work well every day because of his diligence in carrying out his works. He gets a lot of profit from his works because of his focus on fulfilling them well in his life.

This person is similar to the one who took care of his gardens by visiting them, until they gave him a lot of profit, because he also takes care of his works by inspecting them, until they bring him a lot of profit, in his life. That is why people call him “the feet have a smell of a river.”

This saying teaches people about taking care of their works by carrying them out well until the end, so that they can get great success can help them well, in their lives.

Proverbs 24:27.

Proverbs 31:13-18.

Luke 14:29 – 30.

fisherman-7281429__480

man-470187__480

fishermen-in-india-1087726__480

1076. SANGILA BUGA YA B’ITOJI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya libhilinga lya bhabyaji bha bhitoji. Ulimlibhilinga linilo bhaganumanaga abhabyaji abha ku lwande lo ngosha nabha kulwande lo nkima aho bhitolelaga abhana bhabho bhenabho. Abhabyaji bhenabho bhagisumbyaga kugiki bhabhalombele lubhango lo gwikala chiza abhitoji bhenabho. Hunagwene bhagalumanaga ha “hangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga bhadebhile igiki bhali mili gumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga na ng’wigwano go gwishibhila chiza umubhupangi nu mubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gubhalela chiza abhana bhabho kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo, umukikalile kabho.

 Abhitoji bhenabho, bhagikolaga na bhabyaji bha bhitoji abho bhagalumana kihamo kubhalombela lubhango lo gwikala chiza abhana bhabho abho bhalibhitola, kunguno nabhoyi bhagikalaga na ng’wigwano go gubhalombela lubhango abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagalumanaga ha “sangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na ng’wigwano go kubhalombela lubhangu abhana bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

 

KISWAHILI: MUUNGANO WA WANAOOANA.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya mkusanyiko wa wazazi wa watoto wanaooana. Mkusanyiko huo huandaliwa na wazazi wa pande zote mbili yaani wale wa upande wa mwanaume na wale wa upande wa mwanamke.

Wazazi hao hukusanyika ili kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao hao wanaooana. Ndiyo maana husanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanandoa wale ambao huishi kwa kuelewa kuwa wao ni mwili mmoja, katika maisha yao. Watu hao huwa na uelewano wa kuheshiana vizuri katika upangaji na utekelezaji wa kazi zao, maishani mwao. Wao huwapatia Baraka watoto wao za kuishi vizuri na watu kwa sababu ya uelewano wao huo, maishani mwao.

Wanandoa hao, hufanana na wale wazazi waliokusanyika kuwaombea Baraka za kuishi vizuri na watu watoto wao hao waliokuwa wanaoana, kwa sababu nao wana muungano wa kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao. Ndiyo maana wao hukusanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na muungano wa kuwaombea Baraka watoto wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

engagement-7129147__480

 

african-couple-7403498__480

bride-5427659__480

 

ENGLISH:  A UNION OF THE MARRIED ONES.

This saying talks about the gathering of parents of children who get married. The gathering is organized by the parents of both sides, that is, those of the male side and those of the female side.

These parents gather to pray for blessings of their children who are getting married. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying is compared to those couples who live with the understanding that they are one body, in their lives. Those people have a good mutual understanding in the planning and implementation of their works, in their lives. They give blessings to their children to live well with people because of their understanding, in their lives.

Those couples are similar to those parents who gathered to pray for blessings of their children to live well with people who were getting married, because they also have a union to pray for blessings of their children to live well. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying teaches people about having a union to pray for their children’s blessings, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 5:6-14.

Mark 10:7-9.

1066. KALAGU – KIZE. LINGONGONGO LILIMUNZILA YALYO – LILELI.

Ikalagu yiniyo, yilolile leli iyo ili nzila ya gubhitila ilingongo linilo. Ileli yiniyo igalilanghanaga lingongono linilo lulu kunguno bhuli bhulitilo moblo ilyoyi. Ligabhizaga guti zipu iyo yigabhitilaga munzila yayo uluilifunga jose jose. Hunagwene abhanhu bhagayomba  giki “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhudimilaga chiza uwitanwa bhobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagikalanaga chiza amalagilo ga witanwa bhokwe umukikalile gakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga na bhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhabhudimilile ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhokwe umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni leli ijo jigalidimilaga ilingongongo lyabhita chiza umunzila yalyo, kunguno nuweyi agagadimilaga amalagilo ga nzila ya nhana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhatungilija bho gujikalana chiza inhungwa ijawiza, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA. GARI MOSHI LIMO RELINI – LELI.

Kitendawili hicho, chaangalia leli ambayo ni njia inamopitia treini hiyo. Leli hiyo, huilinda treini hiyo kwa sababu ndiyo njia yake inayoyashikilia mataili yake hayo ya chuma. Yenyewe huwa kama zipu ambayo hupitia kwenye njia yake wakati wa kufunga kitu chochote kile. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikilia vizuri njia ya kuishi kwenye maadili mema, katika maisha yake. Mtu huyo huyaishi vizuri maadili hayo kwa kufanya kazi vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuziendeleza njia hizo njema kwa kuushikiria ukweli katika kazi na katika maisha ya kila siku kwa sababu ya umakini wake huo wa kutunza familia yake.

Mtu huyo hufanana na ile leli inavyoishirikia treini yake mpaka inaweza kupita vizuri kwenye njia yake hiyo, kwa sababu naye huyashikiria vyema maadili hayo mema katika maisha yake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyaishi vyema maadili hayo mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

train-60539__480

 

 

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE TRAIN IS ON ITS RAILWAY – RAILWAY LINE.

This riddle looks at the path that the train takes. The rail protects the train because it is the way that holds its steel tires. It is like a zipper that goes through its path when closing anything. That is why people say that, “the train is on its railway – railway line.”

This paradox is compared to a person who holds well the way of living on good values, in his life. Such person lives on values ​​well by working well because of his honesty. He also teaches his colleagues to develop those good ways by holding to the truth in works and in everyday life because of his focus on taking care of his family.

This person is similar to the railway that holds the steel tires until the train manages to pass well on its path, because he also holds on good values ​​in his life. That is why people tell him that “the train is on its railway – railway line.”

This riddle imparts in people an idea of being honest by living on values, so that they can raise their families well, in their lives.

Exodus 28:2 – 5.

Proverbs 31:21b – 25.

Mark 1:6-7.

 

 

.