Ikalagu yiniyo ilolile ilaka ilo agaligwaga munhu bho nduhu ugulibhona. Olihoyi munhu uyo agigwa ilaka liling’witana bho nduhu ugumhona umunhu uyo alimwitana. Umunhu ng’wunuyo, agidika na gutimija iyo lyang’wilaga ililaka linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganila giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhigwaga chiza abho bhagang’wilaga mihayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumagwa gujutumama milimo na bhiye oja ugaitimija chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uwei agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agwigwa ilaka liling’witana widika bho nduhu ugumona umunhu uyo aling’witana, kunguno nuwei agiigwaga chiza imihayo iyo bhaling’wila abhiye, na guyitimija chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya nhungwa ja guigwa chiza imihayo ya bhichabho na guitimija, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho.
Luka 3:4-6.
Luka 1: 46-47.
Yohane 1: 29 – 34.
Zaburi 55: 1-6.
Luka 3:22.
Yohane 10:1-5.
Warumi 20:18.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
NAMSIKIA LAKINI SIMUONI – SAUTI.
Kitendawili hicho huangalia sauti ambayo mtu huisikia bila kuiona. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alisikia sauti ikimuita bila kumuona mtu yule anayemuita. Mtu huyo, aliitika na kutekeleza kile alichoambiwa na ile sauti. Ndiyo maana watu walihadithiana kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”
Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikia vizuri watu wanaompatia ujumbe na kuutekeleza, maishani mwake. Mtu huyo hutumwa kwenda kutekeleza majukumu na wenzake na kuyatii vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika maisha yake. Yeye huishi kwa amani na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitii sauti iliyomuita bila kumuona mtu aliyemuita, kwa sababu naye huyasikiliza vizuri maneno anayoambiwa na wenzake na kuutekeleza ujumbe aliyopewa. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuyasikilia na kuyaelewa maneno ya wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.
Luka 3:4-6.
Luka 1: 46-47.
Yohane 1: 29 – 34.
Zaburi 55: 1-6.
Luka 3:22.
Yohane 10:1-5.
Warumi 20:18.