1110. KALAGU – KIZE. NINA BHANA BHATANO INGOFILA BIYIKOJIJE – NJALA.

Ikalagu yiniyo iholelile higulya ya wiikoji bho njala na katumamila kajo. Injala ijamumakono nija kumagulu jiniyo jigikalaga jiikolile kunguno jili tano ijo jigatumama milimo bho gwiyambilija chiza. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu bhagikalaga bhidebhile chiza umukatumamile ka milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhutumama milimo bho witogwi bhutale kunguno ya ng’wigwano gobho uyo bhalinago umuwikaji bhobho. Abhoyi bhabhakujije abhichabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni njala ijo jiikojije ni ngofila na kiyambiligije ka bhutumami bho milimo, kunguno na bhoyi bhali na nhungwa jawija pye abhose ijo jigabhambilijaga kutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gutumama milimo kihamo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

 

KISWAHILI: KITENGAWILI –  TEGA.

NINA WATOTO WATANO KOFIA ZAO ZINAFANANA – KUCHA.

Kitendawili hicho huongelea juu ya ufananaji wa kucha na utendaji wake wa kazi. Kucha za miguuni na zile za mikononi zinafanana kwa sababu ni tano ambazo hufanya kazi kwa kusaidiana vizuri. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa watu wale ambaho wanaelewana vizuri katika utekelezaji wa kazi zao. Watu hao hufanya kazi kwa pamoja na kwa upendo mkubwa kwa sababu ya uelewano huo wao maishani mwao. Watu hao huwaheshimu wenzao vizuri kwa sababu ya tabia yao hiyo kuwa nzuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile kucha zenye kofia za kufanana na ambazo hushirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu nao wana tabia njema ambayo huwasaidia kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao wakisaidiana vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

mug-2568355__480

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.