Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otumamaga nimo uyo guti gokwe. Umunhu ng’wunuyo, ogutumamaga chiza unimo gunuyo mpaga nose abhanhu bhuyuhaya giki, unimo gunuyo guli gokwe, kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Nose nuweyi agaiganika giki unimo gunuyo guli gokwe aho obhigwa bhanhu bhingi bhalihaya chene. Hunagwene abhanhu abho bhabhumanile ubhunhana bho nimo gunuyo, bhagayomba giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”
Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigimbilaga milimo iyo idiyakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga jibalubha uyihaya giki alimungunda gokwe kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gutumama mumajipande na wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo go bhangi uyiganika giki, guligokwe, kunguno nuweyi agatumamaga mujibalubha uyuhaya giki, alimungunda gokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumamila bhutengeke imilimo ya bhanhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Zaburi 33:4.
2Samweli 22:7.
Maombolezo 3:23.
Mathayo 25:20-23.
Wagalatia 5:22.
Tito 2:10.
KISWAHILI: HUYU NAYE NI DALALI TU.
Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu aliyekuwa akifanya kazi isiyo yake. Mtu huyo, alikuwa akiifanya vizuri kazi hiyo mpaka baadhi ya watu wakaanza kufikiria kwamba, kazi ile ni yake kwa sababu ya kuijali vizuri. Naye aliposikia watu wengi wakimsifia hivyo, alianza kuifikiria kazi hiyo kama ni yake mwenyewe. Ndiyo maana wale walioufahamu ukweli wa kazi hiyo walisema kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujivunia kazi isiyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwenye kibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye shamba lake, kwa sababu ya majivuno yake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwenye vibarua vya mashamba ya watu na majivuno yake hayo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi ya mtu mwingine, akafikiria kuwa ni yake, kwa sababu naye hufanya kazi kwenye vibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye Shamba lake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi za watu kwa uaminifu na unyofu wa kweli, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Zaburi 33:4.
2Samweli 22:7.
Maombolezo 3:23.
Mathayo 25:20-23.
Wagalatia 5:22.
Tito 2:10.