heritage

1255. UNG’WUNUYU NSEBHEJI DUHU NAWE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otumamaga nimo uyo guti gokwe. Umunhu ng’wunuyo, ogutumamaga chiza unimo gunuyo mpaga nose abhanhu bhuyuhaya giki, unimo gunuyo guli gokwe, kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Nose nuweyi agaiganika giki unimo gunuyo guli gokwe aho obhigwa bhanhu bhingi bhalihaya chene. Hunagwene abhanhu abho bhabhumanile ubhunhana bho nimo gunuyo, bhagayomba giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigimbilaga milimo iyo idiyakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga jibalubha uyihaya giki alimungunda gokwe kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gutumama mumajipande na wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo go bhangi uyiganika giki, guligokwe, kunguno nuweyi agatumamaga mujibalubha uyuhaya giki, alimungunda gokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumamila bhutengeke imilimo ya bhanhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

KISWAHILI: HUYU NAYE NI DALALI TU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu aliyekuwa akifanya kazi isiyo yake. Mtu huyo, alikuwa akiifanya vizuri kazi hiyo mpaka baadhi ya watu wakaanza kufikiria kwamba, kazi ile ni yake kwa sababu ya kuijali vizuri. Naye aliposikia watu wengi wakimsifia hivyo, alianza kuifikiria kazi hiyo kama ni yake mwenyewe. Ndiyo maana wale walioufahamu ukweli wa kazi hiyo walisema kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujivunia kazi isiyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwenye kibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye shamba lake, kwa sababu ya majivuno yake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwenye vibarua vya mashamba ya watu na majivuno yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi ya mtu mwingine, akafikiria kuwa ni yake, kwa sababu naye hufanya kazi kwenye vibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye Shamba lake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi za watu kwa uaminifu na unyofu wa kweli, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

1252. DAGELANILILE BHOSE HALUZOGA LWA MINZI.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile higulya ya bhushigani bho nigini hikanza lya gulya jiliwa. Unigini ulu obyalwa agatumilaga mabhele kunguno agabhizaga adina mino agagudula gulya jiliwa. Giko lulu, uluguzwa amino gakwe agandyaga ugulya ijiliwa kihamo na bhanhu abhatale. Agisangijaga mligele lya bhanhu bhatale. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, “dagelanilile bhose hauzoga lwa minzi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gubhakalibhusha abhichabho abho bhashiganile gwingila muluganda lobho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagisumbyaga bhabhakalibhusha abhichabho abho bhashiganile ugwingila umuluganda lobho lunulo, kunguno ya ng’wigwano gobho ugogutumama milimo kihamo chiniko, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi umukaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo ugogutumama milimo yabho kihamo umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagankalibhusha nigini gulya kihamo nabho aho gazwa amino gakwe, kunguno nabhoyi bhagabhakalibhushaga umuluganda lobho abhichabho abho bhashikanile ugwingila moyi, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dagelanilile bhose hauzoga lwa minzi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwikalibhusha kutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo.

Kutoka 2:16-19.

2Wafalme 9:17.

Ayubu 21:11.

KISWAHILI: TUMEKUTANIKA WOTE KWENYE MTUNGI WA MAJI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea juu ya ufikaji wa muda wa kula chakula kwa mtoto. Mtoto akizaliwa hutumia maziwa kwa sababu ya kutokuwa na meno ya kumwezesha kula chakula. Hivyo basi, akiota meno yake huanza kula chakula pamoja na watu wazima. Yeye huingia kwenye kundi la watu wazima. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, “tumekutanika wote kwenye mtungi wa maji.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wanaushirikiano wa kuwakalibisha wenzao wale waliofikia hatua ya kuingia kwenye kundi lao, katika maisha yao. Watu hao, hukusanyika kwa lengo la kuwakaribisha wenzao hao waliofikia kipindi cha kuingia kwenye kundi lao hilo, kwa sababu ya uelewano na ushirikiano wao huo wa kufanya kazi zao kwa pamoja, maishani mwao. Wao hupata mafanikio mengi katika familia zao hizo kwa sababu ya uelewano na ushirikiano wao huo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliomkaribisha mtoto kula pamoja nao alipoota meno, kwa sababu nao huwakaribisha wenzao wale waliofikia muda wa kuingia kwenye kundi lao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tumekutanika wote kwenye mtungi wa maji.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kukaribishana kufanya kazi zao kwa pamoja na uelewano, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao hizo, maishani mwao.

Kutoka 2:16-19.

2Wafalme 9:17.

Ayubu 21:11.

1234. UNG’WENE WINGILA GUKANO.

Imbuki ya Lusumo lunulo, ihoyelile munhu uyo uliwingila gukano. Ugukano kunuko ili gwigula uko bhanhu bhagatulaga ginhu giti mandege, Nhalanga, Nhumbu na jingi jingi ijo jilijawiza, umunumba yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agalinha mpaga ushiga ukuginhu ijawiza jinijo umugati ya numba yiniyo. Giko lulu, uweyi agaja kuwiza kunguno jilinduhu ijagulula koyi. Hunagwene abhanhu bhaganyomba giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo osabha sabho ningi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale mpaga osabha sabho ningi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo chiza na witegeleja bhutale, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza na bho wiyumilija bhutale bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agingila gukano uko bhuli uwiza bho majikolo mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza mpaga osabha majikolo mingi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “ung’wene wingila gukano.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na bho wiyumilija bhutale mpaga bhapandike sabho ningi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

KISWAHILI: HUYO AMEINGIA DARINI.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyeingia darini. Dari ni juu ambako watu huweka vitu kama mahindi, karanga, viazi na vingine vingi vilivyo vizuri ndani ya nyumba hiyo.

Mtu huyo alipanda mpaga juu ndani ya nyumba hiyo, viliko vitu hivyo vizuri. Hivyo basi, yeye aliingia kwenye uzuri kwa sababu hakuna kinachokosekana huko. Ndiyo maana watu walimuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetajirika kwa kupata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa bidii kubwa na umakini mkubwa, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi vizuri na kwa uvumilifu wa hali ya juu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeingia darini kwenye uzuri wa vitu vingi, kwa sababu naye ametajirika kwa kujibidisha kufanya kazi mpaka akapata mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuongelea kwamba, “huyo ameingia darini.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa uvumilivu mkubwa mpaka wapate mali nyingi za kutoka kutumia katika familia zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao hizo, maishani mwao.

Wakolosai 3:1-3.

Mathayo 6:19-21.

ENGLISH: THAT ONE HAS ENTERED THE CEILING.

This proverb looks at a person who entered the ceiling. The ceiling is a high place where people put things like corn, peanuts, potatoes and many other things that are good in the house.

This man climbed up into the house, where the things are good. So, he entered the beauty. That is why people said about him that, “that one has entered the ceiling.”

This proverb is related to a person who got rich by getting a lot of wealth, in his life. Such person works with great effort and great attention, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his hard working and great patience in his life.

This person is similar to the one who entered the ceiling in the beauty of many things, because he has also become rich by having to work until he got a lot of wealth in his life. That is why people talk about him saying, “that one has entered the ceiling.”

This proverb imparts in people an idea of working hard in doing their jobs well and with great patience until they get a lot of wealth for using in their families, so that they can develop their families well in their lives.

Colossians 3:1-3.

Matthew 6:19-21.

1232. JIDUMULA BHABODO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otulaga bhanhu abho abhakile amasala. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na nanha gokwe go guntulila uluumona uyo annebhije amasala kunguno ya miganiko gakwe ayo galigantuula chiniko. Uweyi agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kagalengijiyagwa kuli munhu uyo agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu uko alibhitila kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wibhoneji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhatulaga abhanhu abho abhalebhije amasala, kunguno nuweyi agabhibhonelaga abhanhu abha masala magehu umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhibhonela abhanhu abho bhadidujije umumasala gabho, bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umukaya jabho.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

KISWAHILI: MPIGA WENYE AKILI PUNGUFU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu yule aliyekuwa akiwapiga watu aliowazidi akili. Mtu huyo, alikuwa akitembea na fimbo ya kuwapigia watu hao aliowazidi akili kwa sababu ya mawazo yake kumtuma kufanya hivyo. Yeye alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaonea watu wenye akili pungufu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaonea watu hao wenye akili pungufu anakotembelea kwa sababu ya majivuno yakwe ya kuwadharau watu hao, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kusumbulia na kesi nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaonea watu hao wasiona hatia, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewapiga watu aliowazidi akili, kwa sababu naye huwaonea watu walio na akili pungufu, katika maisha yake. Ndio maana watu humuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwaonea watu wasiojiweza maishani mwao, kwa kuwasaidia vizuri watu hao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia, zao.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

ENGLISH: A HITTER OF THOSE WHO HAVE LESS INTELLIGENCE.

The source of this saying speaks of the person who used to beat people who were out of their mind. Such man walked with a stick for hitting those people because of his thoughts that caused him to do so. He was well known in his village because of such behavior. That is why people called him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying is compared to a person who oppresses the mentally retarded ones in his life. Such person treats those people who have are slow in thinking where he visits because of his pride. He gets many problems and lawsuits in his family because of oppressing those innocent people in his life.

This person is similar to the one who beat people who had less intelligent, because he also oppresses people who are slow in thinking in his life. That is why people call him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying teaches people to stop oppressing the less fortunate ones in their lives, by helping them well, so that they can receive blessings of living in peace with their people in their families.

1 Corinthians 14:11.

Romans 2:20.

1 Corinthians 14:16.

Galatians 3:3.

1229. NAGISHA NABHULICHA.

Imbuki ya ulusumo lunulo, ilolile munhu uyo agabhagiisha bhanhu abho bhalibhingi, bhuzunya bhagehu duhu. Hunagwene agayomba giki, “nagisha nabhulicha.” Umunhu ng’wunuyo, agashokela ugugiisha bho lilaka litale, huna bhuzunya bhingi.

Ugubhulicha ili gulima na gubhibha mbiyu juzwa bho kulekule, nulu yuzwa imo duhu. Giko lulu, unimi ng’wunuyo agashokelaga ugubhiza mbiyu huna jazwa nyingi niyo chiza.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gumana ushokela aho obhona giki itali ugubhelela chiza, kunguno ya witegeleja na bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gutumama milimo yakwe bho bhukamu na witegeleja bhutale bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agashokela chiza ugiisha aho bhazunya bhagehu mpaga nose bhuzunya bhingi, kunguno nuweyi agatumama milimo yakwe na witegeleja bho gushokela gutumama aho itali ugubhelela chiza, umumilimo yakwe yiniyo. Hunagwene agayombaga giki, “nagisha nabhulicha.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho na witegeleja bho gushokela chiza aho idinabhelela imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukaya jabho.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

KISWAHILI: NIMESALIMIA WAMEITIKIA WACHACHE.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache tu. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.” Mtu huyo, alirudia kuwasalimia tena hao watu kwa sauti kubwa zaidi kuliko ile aliyoitumia mwanzoni. Yeye alipofanya hivyo, waliitikia watu wengi zaidi kuliko wale wa kwanza.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa ufuatiliaji mzuri sana, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia kila pale anapoona kuwa hapajaisha vizuri, kwa sababu ya bidii yake na umakini wake huo katika kufanya kazi zake. Yeye hupata mazao mengi sana katika familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwa bidii na umakini mkubwa, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesalimia watu wengi, wakaitikia wachache, akarudia kuwasalimia watu hao kwa sauti kubwa zaidi, mpaka wakaitikia wengi, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kurudia pale anapoona kwamba hapajaisha vizuri, mpaka kazi yote inaisha. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimesalimia wameitikia wachache.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza majukumu yao kwa umakini wa kuparudia pale ambapo hapajafanyika vizuri, mpaka kazi yote imalizike vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao.

2Wakorintho 9:6.

Wagalatia 6:7-9.

ENGLISH: I HAVE GREETED A FEW OF THEM HAVE RESPONDED.

The source of the over head proverb looks at a person who greeted many people, only a few of them responded. That is why he said that, “I have greeted a few of them have responded.”

This man repeated to greet them in a louder voice than the one which he used at first. When he did that, they responded to more people than the first ones.

This proverb is compared to a person who does his works with a very good follow-up, in his life. Such person carries out his duties by repeating whenever he sees that it has not ended well, because of his diligence and his focus in doing his works. He gets a lot of crops in his family because of hard working and great focus, in his life.

This person is similar to the one who greeted many people but a few of them responded, and repeated greeting them with a louder voice, until they responded to many, because he also carries out his duties by repeating when he sees that it has not ended well, until all the work is finished. That is why he says that, “I have greeted a few of them have responded.”

This proverb teaches people about increasing enough effort to carry out their duties with the attention to repeat where it is not done well, until all the work is finished well, so that they can get a lot of success, in their families.

2 Corinthians 9:6.

Galatians 6:7-9.