heritage

1480. ALICHENE.

Bhalihoyi bhanhu bhabhili abho bhahoyaga chiza. Abhanhu bhenabho bhilomelaga mihaya ya nhana kunguno bhahayaga gujibheja chiza ikaya jabho. Abhoyi bhali na bhutogwa bhutale ukubhanhu bhabho ni kaya jabho umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene bhagayombaga mihayo ya nhana bhizunilija giki, “alichelene.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhatungilija umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhalangaga abhanhu bhabho bho gubhawila mihayo ya nhana iyagubhambilija ugwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo kunguno ya bhutungilija bhobho ubho gubhalela chiza abhanhu bhabho bhenabho umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhajibhejaga chiza ikaya jabho bho guyomba bhunhana, kunguno nabhoyi bhagajilelaga ikaya jabho bho guyomba mihayo ya nhana mpaga bhayikala na bhuyeji umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagiwilaga mihayo ya nhana bho guyomba giki, “alichene.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 8:7.

Mithali 12:19.

Zakaria 8:16.

Yohana 8:7, 32.

KISWAHILI: KWELI/HAKIKA.

Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakiongea vizuri. Watu hao waliongea maneno ya ukweli kwa sababu walitaka kuziendeleza vizuri familia zao hizo. Wao walikuwa na upendo mkubwa kwenye familia zao, maishani mwao. Ndiyo maana walipoongea ukweli huo walikubaliana kwa kusema kwamba, “kweli/hakika.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uaminifu katika maisha yao. Watu hao huwalea watu wao kwa kuwafundisha watu wao kusema ukweli unaowasaidia kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya uaminifu wao huo maishani mwao. Wao huishi kwa furaha kubwa katika familia zao kwa sababu ya uaminifu wao huo wa kuwalea vizuri watu wao, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliozilea familia zao kwa kuzifundisha ukweli, kwa sababu nao pia huzilea familia zao kwa kuongea maneno ya kweli mpaka wakayishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao. Ndiyo maana wao huelezana maneno ya kweli kwa kusema, “kweli/hakika.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuzilea familia zao katika maadili mema, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao hizo, maishani mwao.

Mithali 8:7.

Mithali 12:19.

Zakaria 8:16.

Yohana 8:7, 32.

 

ENGLISH: TRUTH, TRUTH

There were two people who spoke wisely and truthfully. They spoke words of truth because they wanted to build and strengthen their families. They loved their families deeply and desired peace and unity in their homes. Whenever they agreed with each other in honesty, they would confirm it by saying, “Truth, truth.”

This saying is compared to people who live honest lives. Such people teach their families to speak the truth and act with integrity. Because of their honesty, they help their families live peacefully with others. Their homes are filled with happiness because they are founded on truth.

These people are like parents who raise their children by teaching them to value truth in every situation. By consistently speaking and practicing the truth, they create strong and joyful families. That is why they affirm one another by saying, “Truth, truth.”

This saying teaches us to be faithful and honest in raising our families with good morals. When truth guides a home, peace and happiness follow.

Book of Proverbs 8:7 “For my mouth will speak truth; wickedness is an abomination to my lips.”

Book of Proverbs 12:19 “Truthful lips endure forever, but a lying tongue is but for a moment.”

Book of Zechariah 8:16 “Speak the truth to one another; render in your gates judgments that are true and make for peace.”

Gospel of John 8:7, 32  “Let him who is without sin cast the first stone… And you shall know the truth, and the truth shall set you free.”

 

 

1473. OGAYIWA NG’HINGO GITI NG’ONGE JILIPUGANYA MU GITI.

Oliyoyi munhu uyo ulina nhingo nguhi. Umunhu ng’wunuyo, agakoyaga ugumila ing’honge kunguno ya bhuguhi bho ng’hingo yakwe yiniyo. Uweyi obhizaga guti inhonge ijo jibhisanyaga mugiti. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ogayiwa ng’hingo giti ng’onge jilipuganya mu giti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitola muludugu lobho, umukikalile kabho. Abhitoji bhenabho bhali bhadimanile chiza umuludugu lobho kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gwita bhukengeji bho gwidebha chiza umubhudugu bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagadumaga uguilela chiza ikaya yabho kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gwidebha chiza umubhudugu bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni ng’honge ijo jibhisanyaga mugiti, kunguno nabhoyi bhitola mubhudugu bhobho bho nduhu ugwidebha chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ogayiwa ng’hingo giti ng’honge jilipuganya mugiti.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwidebha chiza umubhudugu bhobho haho bhatali ugwitola, kugiki bhadule ugujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Wakorintho 8:38-39.

KISWAHILI: UMEKOSA SHINGO KAMA TONGE KUCHENGANA GIZANI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na shingo fupi. Mtu huyo, alipata shida ya kumeza tonge kwa sababu ya ufupi wa shingo yake. Yeye alifanana na tonge zilizopishana kwenye giza. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekosa shingo kama tonge kuchengana gizani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu waliooana ndani ya undugu wao katika maisha yao. Wana ndoa hao, hawakuuelewana vizuri katika undugu wao kabla ya kuoana kwa sababu ya kukosa umakini wa kuuelewa vizuri undugu wao, maishani mwao. Wao hushindwa kuilea vyema familia yao, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuuelewa vizuri undugu wao kabla ya kuoana, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile tonge zilizopishana gizani kwenye shingo fupi, kwa sababu nao wameoana ndani ya undugu wao bila ya kuelewana vizuri, maishani mwao. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “umekosa shingo kama tonge kuchengana gizani.”

Msemo huyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kufanya utafiti wa kuwaolewa ndugu zao kabla ya kuoana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 8:38-39.

 

ENGLISH: YOU HAVE A SHORT NECK LIKE PIECES OF STIF FOOD PASSING EACH OTHER IN THE DARK.

There was once a man who had a very short neck. Because of this, he struggled to swallow food easily. People described his condition in a figurative way, saying it was like “pieces of food passing each other in the dark.” From this image came the saying: “You have a short neck like pieces of stif food passing each other in the dark.”

This saying is compared to people who marry within their own close family without first taking time to understand one another well. Before marriage, they do not carefully examine their relationship, their differences, or their responsibilities. Because of this lack of understanding, they may later struggle to build and guide their family properly.

Just as food passing in a short neck faces difficulty, these couples face confusion and misunderstanding in their marriage. The “darkness” in the saying symbolizes a lack of knowledge, preparation, and wisdom before entering into marriage.

Therefore, this saying teaches that people should be careful and thoughtful before marriage. They should take time to understand one another deeply, seek guidance, and prepare themselves well so that they can raise their families in peace and unity throughout their lives.

The teaching also connects with the spirit of love and responsibility found in First Epistle to the Corinthians 8:38–39, which reminds believers about the importance of acting in love and wisdom in their relationships.

Hence, marriage requires understanding, preparation, and wisdom. Entering it without knowledge and careful thought can lead to unnecessary struggles.

1469. NH’UMO GO HUMILA WILALI.

Golihoyi mongo uyo gohumaga wilali ijidiku ni chu bho nduhu ugukama. Umongo gunuyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugutinika kunguno ya wingi bho minzi gago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudimilaga mhayo go ng’wa mulungu bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudimilaga umhayo go ng’wa Mulungu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yake kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’wa Sebha, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mongo uyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugukama, kunguno nuweyi agasalilaga pye amakanza bho nduhu ugunoga, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu bhuli makanza bho nduhu ugunoga, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha ng’wigulu.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

KISWAHILI: MTIRIRIKO UMETIRIRIKA KIMOJA.

Ulikuwepo mto ambao ulikuwa ukitiririka kimoja wakati wote wa kiangazi na wa masika bila ya kukoma. Mto huo ulitiririka wakati wote bila ya kukatika kwa sababu ya wingi wa maji yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulishikiria neno la Mungu kila wakati, katika maisha yake. Mtu huyo, hulishikilia neno la Mungu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya unyofu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuliishi vyema neno la Mungu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na ule mto uliotiririka wakati wote bila kukoma, kwa sababu naye hulishikiria neno la Mungu kila wakati bila kushoka, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi maagizo ya Mungu wakati wote bila kushoka, ili waweze kupata baraka za kuwafikisha mbinguni.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

 

ENGLISH: THE FLOW HAS FLOWED ALL THE TIME.

There was a river that flowed continuously throughout summer and winter without ever stopping. It flowed at all times because it had an abundance of water. For this reason, people said, “The flow has flowed all the time.”

This saying is compared to a person who holds firmly to the Word of God at all times in his life. He remains faithful by following God’s instructions and living well with other people. Because of his honesty and obedience, he receives blessings and lives peacefully and happily with his family.

That person is like the river that never stops flowing. Just as the river flows continuously, he continues to live according to God’s Word without giving up. That is why people say about him, “The flow has flowed all the time.”

This saying teaches people to remain faithful to God’s commandments at all times without failing, so that they may receive blessings and inherit eternal life.

Matthew 24:35 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Mark 13:31 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

Luke 21:33 – “Heaven and earth will pass away, but My words will never pass away.”

 

 

 

1446. JIGAFULAGWA JILINA MATU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo olina matu gawiza. Abhanhu bhang’wilaga imihayo oigwa chiza kunguno olina matu ayo gigwaga chiza pye imihayo yabho. Umunhu ng’wunuyo aliadinhalali umuwikaji bhokwe kunguno ya wigwi bhokwe bhunubho ubho wiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala masoga agagwiigwa chiza na bhanhu na gugikalana chiza amalange ayo agalangagwa na bhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhudegelekaga na guwikalana chiza ubhulungwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe bhenabho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya masala gakwe agawiza genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina matu gawiza ayo giyigwaga chiza imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi agawikalanaga chiza ubhulangwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

KISWAHILI: HUFUNDISHWA ALIYE NA MASIKIO.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu yule ambaye ana masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri. Watu hulimweleza maneno yao ambayo huyasikia vizuri kwa sababu ana masikio yenye uwezo wa kuyasikia vizuri. Mtu huyo hakuwa mbishi katika maisha yake kwa sababu ya masikio yake kuwa na uwezo mzuri wa kusikia maneno ya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili nzuri za kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza kwa makini na kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake hao, kwa sababu ya akili nzuri alizonazo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa vizuri katika kuilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya akili yake hiyo nzuri katika kuyaishi vizuri malezi aliyofundishwa na walezi wake.

Mtu hiyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri maneno aliyoambiwa na wenzake, kwa sababu naye ana akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi anayopewa na walezi wake, maishani mwake. Ndiyo maana  watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi wanayopewa na walezi wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8.

 

ENGLISH: THE ONE WHO HAS EARS IS TAUGHT.

The source of this proverb refers to a person who has ears that can hear well. Such a person listens carefully when others speak to him, and people take time to explain things to him because he understands and values what he hears. He is not careless or foolish in his life, because his ability to listen well enables him to learn from his peers. That is why people say, “the one who has ears is taught.”

This proverb is related to a person who has a good mind and is able to live according to the upbringing taught to him by his guardians. Such a person listens attentively, understands the guidance given to him, and practices it faithfully in his life. Because of this good mind and willingness to learn, he succeeds in raising his own family well, applying the values and discipline he received from his caregivers.

This person is like the one who has ears that hear clearly the words spoken by others. In the same way, he has a mind that is open to instruction and wisdom. Because he listens, understands, and puts into practice what he is taught, people say of him, “the one who has ears is taught.”

This proverb imparts in people an importance of having an open and attentive mind, so that they may live well according to the upbringing given to them by their caregivers and, in turn, raise their families well in life.

Matthew 13:1–8.
Mark 4:1–9.
Luke 8:4–8.

 

1444. B’UH’I NA B’UH’I.

Akahayile kenako kaholelile wingi bho bhanhu abho bhalikuminga hali ntale obho. Abhanhu bhenabho bhanumbilijaga untale obho ng’wunuyo kunguno ya gubhalanhana chiza umuchalo jabho jinijo. Hunagwene bhanhu bhagawitana uwingi bho bhanhu bhenabho giki “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagikumingaga kunamya na gumnumbilija Mulungu unanhani obho, umuwikaji bhobho. Abhazunya bhenabho, bhagisumbyaga gunyanya Mungu, gudegeleka mhayo gokwe bho gusoma shandikwa shela, na kunumbilija kuwiza bhokwe ubho gubhalanhana chiza umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagapandikaga nema na mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho kunguno ya guwikalanga chiza ubhuzunya bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalibhikuminga kunumbilija untale obho uyo agabhalanhana chiza, kunguno nabho bhagikumingaga kunamya na gunumbilija Mulungu uyo agabhalanhanaga chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga uwikumingi bhobho giki, “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya guwikalana chiza ubhuzunya bhobho bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige Ng’wigulu.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

KISWAHILI: UMATI NA UMATI.

Msemo huo, huongelea wingi wa watu waliokusanyika kwa kiongozi wao. Watu hao, walikusanyika kwa lengo la kumshukuru kiongozi wao huo kwa kuwaongoza na kuwalinda vizuri katika kijiji chao hicho. Ndiyo maana watu waliuita wingi wa watu hao jina la “umati na umati.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wakristo wale ambao hukusanyika kumuabudu na kumshukuru Mungu awalindaye, maishani mwao. Wakristo hao, hukusanyika, kumwabudu Mungu, kumsikiliza kwa kusoma Biblia, na kumshukuru kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, katika maisha yao. Wao hufanikiwa kupata nema na baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, kwa sababu ya kuuishi vyema ukristo wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliokusanyika kumshukuru kiongozi wao aliyewalinda vyema, kwa sababu nao hukusanyika kumwabudu na kumshukuru Mungu kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, maishani mwao. Ndiyo maana watu huuita mkusanyika wao huo jina la “umati na umati.”

Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuuishi vyema ukristo wao kwa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao, na kufika Mbinguni.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

 

ENGLISH: CROWD AND CROWD.

This saying refers to a large gathering of people assembled around their leader. The people come together to thank their leader for guiding them well and protecting their village. Because of the great number of people gathered in unity, this assembly is called “crowd and crowd.”

This saying is compared to Christians who gather together to worship and thank God, who protects them in their lives. These Christians come together to praise God, and listen to Him through reading the Bible, as well as giving thanks for His goodness and protection. By living their Christian faith faithfully, they receive blessings and graces that enable them to live happily and peacefully in their families.

Just as the people gathered to thank their leader for his care and protection, Christians also gather to worship and thank God for His constant goodness and protection in their lives. For this reason, their gathering is also called “crowd and crowd.”

This saying teaches Christians the importance of living their faith well by obeying God’s commandments. By doing so, they receive blessings in their family life and are guided on the path that leads to Heaven.

Revelation 7:9.

Genesis 1:28–31.

Genesis 15:4–6.