Imbuki ya kahayile kenako yilolile ng’wana uyo obyalagwa wikala shigu ngehu duhu uzumalika. Ung’wana agalengajiyagwa na jikolo ijo jib’itile kunguno ya gwikala shigu ngegu duhu uzumaliza. Abhanhu bhagabhalungujaga abho bhazumalikilagwa bho gubhawila giki, “ijinijo jalijib’itile duhu.”
Akahayile kenako kagalenagnijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gubhalunguja chiza abhiye abho bhapandikaga makoye, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumilaga amasala gakwe bho gubhalunguja abho bhapandika mayange ga guzumalikilwa na bhatogwa bhabho kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako. Uweyi agadujaga ugubhalunguja abhanhu bhakwe abho bhapandikaga makoye kunguno ya wigeteleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhalunguja abho bhagazumalikiwa na ng’wana obho, kunguno nuweyi agadujaga ugubhalunguja abhiye abho bhapandikaga makoye ga guzumalikilwa na bhatogwa bhabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “ijinijo jalib’itile duhu.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bho gudebha igiki, abhanhu dulibhab’iti duhu aha welelo henaha, kugiki bhadule gwita mihayo ya wiza ukubhichabho haho bhatali ugwinga umusi, umuwikaji bhobho bhunubho.
Ayubu 1: 21.
Ayubu 14: 1-2.
Ayubu 2: 10-12.
KISWAHILI: HICHO KILIKUWA KINAPITA TU.
Chanzo cha msemo huo huangalia mtu aliyezaliwa akakaa siku chache na kufariki. Mtoto huyo hulinganishwa na kitu kilichopita kwa sababu naye hukaa siku chache tu na kufariki. Hivyo watu huwafariki wale waliofiwa kwa kuwaambia kwamba “hicho kilikuwa kinapita tu.”
Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uelewa wa kuwafariji vizuri wenzake waliopata matatizo, maishani mwake. Mtu huyo, hutumia akili zake kwa kuwafariki wale walioondokewa na wapendwa wao kwa sababu ya uelewa wake huo, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kuwatuliza wenzake waliopata matatizo kwa sababu ya uelewa wake huo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale waliowafariji vizuri wale waliofiwa na mtoto wao siku chache baada ya kuzaliwa kwake, kwa sababu naye pia hufanikiwa kuwatuliza wenzake waliopata matatizo ya kupotelewa na wapendwa wao, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu wake kwamba, “hicho kilikuwa kinapita tu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuelewa ukomo wa mwanadamu kuishi hapa dunia, kwamba, watu wote ni wapitaji tu, ili waweze kuwatendea mema wenzao kama namna mojawapo ya kujiandaa vyema wakiwa hapa duniani, maishani mwao.
Ayubu 1: 21.
Ayubu 14: 1-2.
Ayubu 2: 10-12.
ENGLISH: THAT WAS JUST PASSING.
The origin of this saying looks at a person who passed away few days after been born. This child is compared to something that has passed because he also lives for a few days and passed away. So people comfort those who have lost their baby by telling them, “that was just passing.”
This saying is equated to a person who has an understanding to properly comfort his colleagues who have had problems in his life. That person uses his intelligence enough to comfort those who have lost their loved ones because of his understanding, in his life. He succeeds in comforting his colleagues who have had problems because of his understanding, in his life.
This person is similar to those who well comforted those who lost their child a few days after his birth, because he also succeeds in comforting his colleagues who have had problems of losing their loved ones, in his life. That is why he tells his people that, “that was just passing.”
This saying imparts in people an idea of being intelligent enough to understand limitations of human life on this earth, that all people are just passers-by, so that they can do good to their fellows as a way as preparing themselves well to pass way, by while they are here on earth, in their lives.
Job 1: 21.
Job 14: 1-2.
Job 2: 10-12.