Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kuli munhu uyo oli na lwaka lo gulya jiliwa, umukikalile kakwe. Olihoyi nkima uyo oli nke o mhimbi. Unkima ng’wunuyo, aginhwa sisa uing’wa mpaka wiguta iyingi uyibhisa mu ng’wenda gokwe.
Aliyo lulu, iki isisa jili ndoto ung’wenda gokwe gugalob’a minzi mpaka umanyika igiki wayib’isaga mu ng’wenda gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina lwaka lo bhulaku bho gulya majiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhulaku bhutale ubho gulya jiliwa ukunhu adubhiganikaga abhiye, iki agimanaga ng’winikili duhu, kunguno ya bhukalu bhokwe bhunubho ubho nduhu ugubhizuka bhiye. Uweyi agikalaga ulya jiliwa mpaga wiguta na gulisaja bho nduhu ugubhadilila abhiye, aliyo bhalinanuka na nzala aha kaya yake henaho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nke o mhimbi uyo agabhisa sisa mu ng’wenda mpaga umanyika aho yagudotya ung’wenda gunuyo, kunguno nu weyi alinaku ogulya majiliwa bho nduhu ugubhadilila abhiye abho bhali na nzala, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulaku bho gulya majiliwa ukunhu bhadubhadililaga abhichabho, kugiki bhadule gugabhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho.
2 Samweli 12:4-6.
2Samweli 12:9-10.
Zaburi 55:11.
Zaburi 78:18.
KISWAHILI: TAMAA YA MKE WA PIMBI KUFICHA CHICHA KWENYE NGUO.
Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na tamaa ya ulafi wa kula chakula, katika maisha yake. Olikuwepo mwanzamke aliyekuwa mke wa Pinbi. Mwanamke huyo, alipewa chicha akanywa mpaka akashiba na kuificha kwenye nguo yake ile iliyobaki.
Lakini kwa vile chicha hiyo ni mbichi nguo yake ililowa maji mpaka akajulikana kwa watu kuwa alikuwa ameificha chicha hiyo kwenye nguo yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa kubwa ya kula chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana ulafi wa kula chakula kwa kujifikiria yeye mwenyewe tu bila kuwajali wenzake, kwa sababu ya kutaka afaidike yeye peke yake. Yeye huwa anakula chakula mpaka anasaza bila kuwajali wenzake wanaokosa chakula kwenye familia yake.
Mtu huyo, hufanana na mke wa Pimbi aliyeficha chicha kwenye nguo yake mpaka nguo hiyo ikalowana maji, kwa sababu naye ana ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzake walio na njaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tamaa ya ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzao, ili waweze kugawana vizuri chakula wanachopata, maishani mwao.
2Samweli 12:4-6.
2Samweli 12:9-10.
Zaburi 55:11.
Zaburi 78:18.
ENGLISH: PIMBI’S WIFE’S DESIRE TO HIDE DRINKS IN CLOTHES.
The origin of the proverb can be traced back from a woman who was greedy for eating food in life. There was a woman who was Pinbi’s wife. She was given a drink and drank until she was full and hid the remaining of it in her clothes.
But since such drink was raw her clothes became wet until it became known to the people of that area. That is why people said, “pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”
This proverb is compared to a person who has a strong desire to eat, in life. Such person is obsessed with eating food without considering others because such desire for only benefiting him/herself. He/she often eats food to the point of stopping caring about his/her fellow food in the family.
This man is like the wife of Pimbi who hid drink in her clothes until the garment was wet, because he/she too is greedy enough to eat food without caring for others who are hungry in life. That is why people say to him/her that, “Pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”
This proverb teaches people about giving up the greed of eating food without caring for others in the family, so that they can nicely share the food which they get in their lives.
2 Samuel 12: 4-6.
2 Samuel 12: 9-10.
Psalm 55:11.
Psalm 78:18.
hilippians 2: 8-9.