Songs

719. LING’WAKA MI, LYANG’WANA NCHEMBE.

“Matondo, Ng’wana Nchembe, oli ningi nkumuku uyo agasekwa kunguno ya bhugokolo bhokwe, na ningi ng’wiye Sengwa, ng’wana Jibishi uyo agimba: “Nagudula ginehe uguhoyela higulya ya ng’waka go nduhu mbula.

Makanza gose gali sawa ukuli weyi unduguone “Ung’wana Nchembe.” Ukuli weyi nduhu ubhuheke ahagati ya mbula ningi ni nduhu mbula. Uweyi adina lubhango, pye ishigu jili ja nduhu mbula.

Iligembe ugalibhonelaga soni ndugu one “Ng’wana Nchembe.” Nulu mpini adamanile ugugudima  inyagosha, ubhugokolo udikumiligijage. Uguleka gulimana ilikanza lya nduhu mbula, udafaile gose gose, ndugu one Ng’wana Nchembe!” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 93.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Untaguso Untale go Vaticano ya Kabhili gokomelejaga bhanhu gutumama milimo bho bhukamu: “Bhazunya yigelelilwe bhishugulishe na guyiregebisha idunia yiniyi ibhize ipande liza lya gwikala” (Bhutume bho Bhalei).

Ubhugokolo bhodalahagwa na bhanhu guti Ng’wana Nchembe umo agadarahilwa na ningi ng’wiye Ung’wana Jibishi. Hangi bholemilwe nu Mulungu.

Umu bhupangi bho ng’wa Mulungu yili higulya yakwe bhuli munhu ugutumama milimo kubhukamu kugiki atimije uwajibhu ubho winhiwa gufumila kuli Mulungu. Nimo gose gose uyo duligutumama guli na solobho ya heke ukubhise nu ku miso ga ng’wa Mulungu.” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 94.

Mwanzo 2:15.

Mhubiri 11:4.

Mithali 6:9.

2Wathesalonike 3:10.

KISWAHILI: MWAKA MBAYA WA NG’WANA NCHEMBE.

“Matondo, mwana Nchembe, Manju maarufu alichekwa kwa sababu ya uvivu wake na Mangu mwenzie Sengwa, mwana Jibishi akiimba: “Nitawezaje kujadili juu ya mwaka wa ukame.

Majira yote ni sawa kwake ndugu “Ng’wana Nchembe.” Kwake hakuna tofauti, kati ya neema na ukame. Yeye hakuna Baraka, siku zote ni ukame. Jembe hulionea soni (aibu) ndugu yangu “Ng’wana Nchembe.”

Wala mpini hajui kuushika kianaume, uvivu usijivunie. Kutotambua ukame, hufai kitu chochote, rafiki yangu “Ng’wana Nchembe!” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 93.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Mtaguso Mkuu wa Vatikano wa Pili umewahimiza watu kufanya kazi kwa bidii: “Waumini hawana budi kujishughulisha na kuirekebisha dunia hii iwe mahali pazuri pa kuishi” (Utume wa Walei).

Uzembe umedharauliwa na watu kama mwana Nchembe alivyodharauliwa na Manju mwenzake mwana Jibishi. Tena umekataliwa na Mungu. Katika mpango wa Mungu ni juu yake kila mtu kufanya kazi kwa bidii ili atimize wajibu aliopewa kutoka kwa Mungu. Kazi yoyote tunayofanya inayo thamani ya pekee kwetu na machoni mwa Mungu.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 94.

Mwanzo 2:15. “BWANA Mungu akamchukua huyo mtu akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.”

Mhubiri 11:4. “Ye yote atazamaye upepo hatapanda, ye yote aangaliaye mawingu hatavuna.”

Mithali 6:9. “Ewe mvivu, utalala hata lini?  Utaamka lini kutoka katika usingizi wako?”

2Wathesalonike 3:10. “Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri ili kwamba: ‘‘Mtu ye yote asiyetaka kufanya kazi, wala asile.””

festival.1

people-

festival.2

festival.4

 

ENGLISH: THE BAD YEAR OF NCHEMBE’S SON.

Nchembe’s son, the famous traditional singer, was laughed at by his fellow traditional singer,  Jibishi’ son, through the song: ” How can I discuss the year of drought?

According to Nchembe’s son, all seasons of the years are the same. To him there is no difference between grace and drought. Also, to him, there is no blessing; the world is full of drought. He feels ashamed of touching a hoe.

Nchembe’s son is futher described as someone who cannot handle well his hoe to demonstrate that he is not masculine enough to dig for his family. Failure to know the seasons of year makes Nchembe’s son appear as someone who doesn’t fit in the society (Refer to Kugundua Mbegu za Injili, which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 93).

This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Patriarch Donald Sybertz, M.M., and Patriarch Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

The Second Ecumenical Council of the Vatican urged people to work hard:” Believers must work to make this world a better place to live ”(Apostolate of the Laity ).

Negligence is despised by people as Nchembe’s son was despised by his fellow Jibishi’s son. It’s In God’s plan for everyone of us to work hard to fulfill our God-given responsibilities. Any work we do has a special value to us and in God’s eyes (See ‘Discovering Gospel Seeds,’ page 94).

Genesis 2:15. Ecclesiastes 11: 4. Proverbs 6: 9. 2Thessalonians 3:10

709. BHUJINGI WAKO NG’WANA INYAMI WALEMA KOYA.

“Umulyimbo linili ilya jisuguma Ningi umo Makwenu aganhugula ningi ng’wiye, Jibishi Ng’wana Inyami, ahigulya ya bhubhi bho kajile kakwe umuwikaji nono umubhujingi.

Ilyimbo linulo liligiki, “Ubhujingi bhoko nwani one Ng’wana Inyami walema koya. Nulu, duyombe ologelejiwa kubhujingi? Sengwa ishigu jako jilingehu, jidi kule makumi atano. Mujigila ugujikwa ndugu one, Ng’wana Inyami. Ugucha guti mva, iginhu jako ija bhujingi. Abhiyo hambohambo ng’ombe, ubhebhe isonga munhumbi. Sengwa lekaga ubhujingi bhoko, ishigu jako jidikule. Mujigila ugujikwa ndugu one, Ng’wana Inyami.” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 46.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Gwandija kale Ikanisa igadulangaga gwikala jitakatifu na guduhugula ahigulya ya kajile akabhubhi umuwikaji. Ulushigu lo bhatizimu yise dugazunya gubhuzula ubhumunhu wise ubho kale kihamo na miito gabho gose agabhubhi na gunzwala Yesu Kristo.

 Hangi giki, jilihoyi iginhu ijingi ijabhubhi ijojigajilanijaga na bhujingi, dugemele guti bhusatu bho BHUKIMWI (AIDS) ubho bhugagubhinhyaga bhupanga.

Nono ishigu jiniji bhuli nyanda nulu ng’waniki, alanhale ubhupanga bhokwe jisoga na abhize na bhulumani bho mugati nu Mulungu. Na bhose bhizuke giki umo guli unpango go ng’wa Mulungu umu witoji ya jizunya, ali ngosha umo na nkima umo. Uguyela na ungi ili hanze ya npango go ng’wa Mulungu.”  Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 47.

Mathayo 5:27-28.

Mathayo 15:19.

1Wakorintho 6:18.

Wakolosai 3:8.

KISWAHILI: UASHERATI WAKO UMEZIDI RAFIKI YANGU MWANA INYAMI.

“Katika wimbo huu wa Kisukuma manju mmoja Makwenu anamwonya manju mwenzake, Jibishi mwana Inyami, kuhusu ubaya wa mwenendo wake maishani, hasa uasherati. Tafsiri ya wimbo huo kwa Kiswahili ni hii:

“Uhuni wako umezidi rafiki yangu, Mwana Inyami. Ama, tuseme umelogwa kwa hayo mambo ya kihuni? Sengwa siku zako chache, siyo mbali hamsini. Kaburini utazikwa ndugu yangu, Mwana Inyami. Utakufa kama mbwa, kwa mambo hayo ya kihuni. Wenzio bora ng’ombe, wewe mshale tumboni. Sengwa acha wako uhuni, siku zako siyo mbali. Kaburini utazikwa ndugu yangu, Mwana Inyami.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 46.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Tangu zamani kanisa linatufundisha kuishi kitakatifu na kutuonya kuhusu mwenendo mbaya maishani. Siku ya ubatizo wetu tulikubali kuvua utu wetu wa kale pamoja na matendo yake yote mabaya na kumvaa Yesu Kristo.

Tena kuna mambo mengine mabaya yanayoambatana na uasherati, kwa mfamo, ugonjwa wa UKIMWI (AIDS) unaofupisha maisha.

Hasa siku hizi kila kijana achunge maisha yake vizuri na awe na uhusiano wa ndani na Mungu. Pia wote wakumbuke kwamba kadiri ya mpango wa Mungu katika ndoa ya Kikristo kuna mume mmoja na mke mmoja. Kutembea na mwingine ni nje ya mpango wake Mungu.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 47.

Mathayo 5:27-28. “Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini’. Lakini mimi nawaambia: kwamba ye yote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.”

Mathayo 15:19. “Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.”

1Wakorintho 6:18-20. “Ikimbieni zinaa. Dhambi nyingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe. Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe, kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu.”

Wakolosai 3:8. “Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote, yaani: Hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.”

singing flutes music sound

AFRICAN DANGIN GROUP

 

people singing

 

ENGLISH: YOUR FORNICATION BEHAVIOUR MY FRIEND INYAMI’S SON IS TOO MUCH.

This saying comes from one of the Sukuma song where a singer, Makwenu, warns his fellow singer Inyami’s son about his evil deeds; being a fornicator. The song goes as follows:

Your fornication is too much my friend  Inyami’s son. Are you bewitched? Stay away from your fornication, you have few days to live on eath, not more than fifty from now. You will soon be buried my brother, Inyami’s son. You will die like a dog, with those evil things (Refer to Kugundua Mbegu za Injili, which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 46).

This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

The church has long taught us to live holy and has warned us about the bad ways of life. On the day of our baptism we agreed to strip off our old personality with all its evil deeds and put on Jesus Christ.

There are also other negative consequences associated with fornication, such as AIDS.

Every young man should look at his life well and have a close relationship with God. All should also remember that, according to God’s plan, for Christians, marriage has to do with one man, one woman. Having extramarital relationship is not God’s plan (See ‘Discovering Gospel Seeds,’ page 47).

Matthew 5: 27-28. Matthew 15:19. 1 Corinthians 6:18. Colossians 3: 8.

707. “MAYU, MAYU, KUBYALA SHAWIZA ILINILUMBI” (MWANZA). MAYU, MAYU, GUBYALA JAWIZA ILINILUMBI” (SHINYANGA).

Lilihoyi Lyimbo limo lya Jisuguma ili lihaile giki, “Kubyala mayu kubyala jawiza (shawiza) ilinilumbi.”

Ilyimbo linili lilidulanga giki, ugubyala lulilubhango, nulu ugubyala ili solobho. Ligimbagwa ahikanza lya myaji alipandika wambilijiwa bho gufumila kuli ng’wana okwe na gunumbilija.

Dugemele guti ng’wana ulu utola, umayu okwe agalumbaga, kunguno opandikaga ng’wambilija aha kaya. Ung’wana ulu utolwa, abhabyaji bhagalumbaga kunguno bhapandikaga ng’ombe.” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 37.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

Ilyimbo linilo, ligalangaga bhanhu giki, “Ugubyala lulibhango. Uyo adabyalile adina ng’wambilija; giki ogaiyagwa umunhu uogung’wambilija umumakoye gakwe nulu umubhunamhala bhokwe.

Uyo alina ng’wana, agalumbaga ahikanza lya gwambilijiwa. Ugubyala jili ginhu ja gutogisha na guyeja umu Si ja Africa. Jili jisambo na lubhango lo gufumila kuli Mulungu. Umunhu uyo adina bhana agabyedagwa umuwikaji bhokwe.

Ugumyala Ng’wana o ng’wa Mulungu jili ginhu ja gutogisha noyi. Jili ginhu ja bhuyegi na ja solobho ukubhanhu bhose na idi kubhabyaji duhu. “Mdizoogoha! Nang’wenhelaga nhulu jawiza na bhuyegi bhutale ukubhanhu bhose. Iki ilelo yiniyi umulingini lwa ng’wa Daudi obyalagwa Nkomoji kulwing’we, hu Kristo Sebha (Luka 2:10-11).

UBikira Maria aho agawilwa nu Elizabeti giki, ulimfua gukila abhakima bhose agabhiza na bhuyegi bhutale noyi na unkumilija Mulungu bho lyimbo. Lolaga “Lyimbo lya ng’wa Maria.” (Luka 1:46-55). “Mayu, mayu, ugubyala shawiza (jawiza) ilinilumbi. Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 38.

Zaburi 127:3-5.

Luka 1:7, 24-25.

Luka 1:41-42.

Luka 1:47,

Luka 11:27.

KISWAHILI: MAMA, MAMA, KUZAA NI VIZURI. KUNA SHUKRANI.

Kuna wimbo mmoja wa Kisukuma: “Kubyala mayu kubyala jawiza (shawiza) ilinilumbi.”

Tafsiri yake kwa Kiswahili ni: “Oh! Utamu ulioje kuwa na mtoto! Mwanangu niletee maji, Nipate kutoa kiu. Shukrani nyingi kwa Mola! Kuwa na mtoto shukrani.”

Wimbo huu unatufundisha kwamba kuzaa ni Baraka au kuzaa ni faida. Unaimbwa wakati mzazi anapopata msaada kutoka kwa mtoto wake na kumshukuru.

Kwa mfano, mtoto akioa, mama yake hushukuru kwa sababu amepata msaidizi nyumbani. Mtoto akiolewa, wazazi hushukuru kwa kuwa wamepokea ng’ombe.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 37.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

Wimbo huo, hufundisha watu kwamba, “Kuzaa ni Baraka. Asiyezaa hana msaidizi; yaani amekosa mtu wa kumsaidia katika shida zake au katika uzee wake. Aliye na mtoto, wakati wa kusaidiwa, anatoa shukrani. Kuzaa ni jambo la kupendeza na kufurahisha katika nchi za Afrika. Ni zawadi na Baraka kutoka kwa Mungu. Mtu asiye na watoto hudharauliwa maishani.

Kumzaa mwana wa Mungu ni jambo la kupendeza zaidi. Ni jambo la furaha na la faida kwa binadamu wote na siyo kwa wazazi tu. “Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote. Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana” (Luka 2:10-11).

Bikira Maria alipoambiwa na Elizabeti kwamba amebarikiwa kuliko wanawake wote alikuwa na furaha kubwa mno na kumsifu Mungu kwa utenzi. Tazama, “Utenzi wa Maria.” (Luka 1:46-55). “Mama, mama kuzaa ni vizuri, kuna shukrani.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 38.

Zaburi 127:3-5. “Wana ni urithi utokao kwa  BWANA,  watoto ni zawadi kutoka kwake. Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake. Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao.   Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.”

Luka 1:7, 24-25. “Lakini walikuwa hawana watoto, kwa sababu Elizabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa wazee sana. Baada ya muda si mrefu Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano. Akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea aliponiangalia kwa upendeleo na kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.”

Luka 1:41-42. “Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu, akapaza sauti kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa amebarikiwa.”

Luka 1:46b-47, ““Moyo wangu wamwadhimisha Bwana, nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu,”

Luka 11:27. “Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”

women group

mother son

ENGLISH: GIVING BIRTH IS A GOOD THING.

There is a Sukuma song that goes like: “mother, mother, to give birth is a good thing.” This song praises someone for having children because, through children, one can get help easily like fetching water, etc.

This song teaches us that giving birth is a blessing or giving birth is advantageous in life. Such a song is sung when someone has received a present from his/her child. In this scenario, the advantages he/she can get out of female child: fetching water, attracting more cows when she marries, and aso helping mothers in their household chores (Refer to Kugundua Mbegu za Injili,’ which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 37).

This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

The song teaches people to be proud of their children because of the help they render in their families. The barren ones do not have helpers and therefore they are likely to suffer during their old days. Childbearing is an exciting and enjoyable experience in African countries. It is a gift and a blessing from God. A childless woman is despised in life.

To give birth to a son of God is the most wonderful thing. It is a happy and beneficial thing for all human beings and not just for parents. “Don’t be afraid! I bring you good news of great joy to all people. For unto you is born this day in the city of David a Savior, which is Christ the Lord ”(Luke 2: 10-11).

When the Virgin Mary was told by Elizabeth that she was blessed above all women she was overjoyed and praised God (See “Mary’s song,” Luke 1: 46-55)” (See ‘Discovering Gospel Seeds,’ page 38).

Psalm 127: 3-5. Luke 1: 7, 24-25. Luke 1: 41-42. Luke 1:47. Luke 11:27.

704. LIWELELO LITINA NDUGUYE. LIKATULYAGA PYE.

Lilihoyi lyimbo limo lya Jisuguma: “Liwelelo lidinabhukomanya. Ayise bhose dugucha nubhebhe mfumu. Aliyo ingelelo ugujikwa hasi. Lekaga namuwile unene. Iliyohoyi nzila imo duhu iya bhanhu. Mdizilemba giki bhulihoyi bhugota bho guhangija lufu. Ubhugota pye ubhose mugubhuleka.”

Ubhulangwa bho lyimbo linilo bhuli hape: Bhuli munhu agucha. Hunagwene ung’wimbi agimba giki, ‘Liwelelo litina nduguye. Likatulyaga pye.’ Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 24.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Ilyimbo linilo lilidulanga higulya ya lufu. Ulufu luhihoyi bhuli lwande. Lulihoyi mubhuli nyango. Lulihoyi kulibhebhe lulihoyi kuli nene. Lugadukumyaga ayise bhose. Lugadulekanyaga na bhadugu bhise. Lugadupinihajaga noyi. Ludina bhugota nulu jaguluhangija. Ahigulya ya lufu dudina go gwita (lolaga Waebrania 9:27).

Aliyo ahigulya ya nzila ya gwikala dulinago ugogwita. Dudulile gwikala dulumanile nu Sebha. Uludikala dulumanile nu Sebha, ulufu lugwenha bhuyegi (lolaga Ufunuo 14:13).

Ilijidamu ukubhise ayise bhanhu ugugabokela amayange amatale guti lufu. Aliyo dulidakilwa gugabokela bho nduhu ugulalamika kunguno guli npango go ng’wa Mulungu ukubhise, na gudi npango ng’wa munhu oseose.” Lolaga Kugungua Mbegu za Injili, ukurasa 25.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 1:21.

Mathayo 10:28.

Wafilipi 1:21.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: MUNGU HANA UBAGUZI. SISI SOTE TUTAKUFA.

Kuna wimbo mmoja wa Kisukuma: “Liwelelo litina nduguye. Likatulyaga pye.” Tafsiri yake kwa Kiswahili ni:

“Mungu hana ubaguzi.  Sisi sote tutakufa hata uwe mganga. Lakini mwisho Utazikwa ardhini. Acha niwaambie mimi. Kuna njia moja tu ya watu. Msijidanganye kuwa mna dawa ya kuzuia kifo. Dawa zote mtaziacha.”

Maana ya mimbo huu ni wazi: Kila mtu atakufa. Ndiyo maana mwimbaji aliimba kwamba, ‘Mungu hana ubaguzi. Sisi sote tutakufa.’ Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 24.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Wimbo huu unatufundisha kuhusu kifo. Kifo kipo kwenye kila sehemu. Kipo kwenye kila mlango. Kipo kwako kipo kwangu. Kinatugusa sisi sote. Kinatuachanisha na wenzetu. Kinatuhuzunisha mno. Hakina dawa au kizuio. Kuhusu kifo hatuna la kufanya (tazama Waebrania 9:27).

Lakini kuhusu namna ya kuishi tunalo la kufanya. Tunaweza kuishi tumeungana na Bwana. Ikiwa tunaishi tumeungana na Bwana, kifo kinaleta heri (tazama Ufunuo 14:13).

Ni vigumu kwetu sisi binadamu kuyapokea matatizo makubwa kama kifo. Lakini yatusapa kuyapokea bila kulalamika kwa kuwa ni mpango wa Mungu kwetu, na siyo mpango wa mtu yeyote.” Rejea Kugungua Mbegu za Injili, ukurasa 25.

Mwanzo 3:19. “Kwa jasho la uso wako utakula chakula chako hadi utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo, kwa kuwa wewe u mavumbi na mavumbini wewe utarudi.”

Ayubu 1:21. Ayubu alisema, “…‘‘Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi,   nami nitaondoka uchi, BWANA alinipa, naye BWANA ameviondoa, jina la BWANA litukuzwe.’’”

Mathayo 10:28. “Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanam.”

Wafilipi 1:21. “Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida.”

Ufunuo 14:13. “Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wale wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka katika taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.’’”

bhabhini bha benini

singing musicians-

 

singing

ENGLISH: GOD DOES NOT SEGREGATE PEOPLE; ALL OF US ARE SUBJECT TO DEATH.

There is a Sukuma song that goes like “God is not seggregative . We will all die.” This means that human beings are mortal beings; they are subject to death however much they can avoid it. Even traditional doctors who provide medicines to cure people they will one day face death. The song goes further narrative that human beings should not deceive themselves that they won’t die (Refer to Kugundua Mbegu za Injili, which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 24). This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

This song teaches us about death. Death is everywhere. It’s on every door. It touches us all. It sets us apart from our fellows. It hurts us a lot. There is no medication or restriction. Regarding death we have nothing to do (see Hebrews 9:27).

About how the way we live, there is one thing we can do; we can live in union with the Lord. If we live in union with the Lord, death brings happiness (see Revelation 14:13).

It is difficult for us humans to accept such serious problems as death. But it does help us to accept it without complaining because it is God’s plan for us, not anyone else’s plan (See Discovering the Gospel Seeds, page 25).

Genesis 3:19. Job 1:21. Matthew 10:28. Philippians 1:21. Revelation 14:13.

243. LIGELE LYA B’AKENGEJI LILIMBA LYIMBO LYA B’ULUMBI KULI MULUNGU NU KUB’ANZILISHI B’AB’UKENGEJI

LIGELE LYA B’AKENGEJI LILIMBA LYIMBO LYA B’ULUMBI KULI MULUNGU NU KUB’ANZILISHI B’AB’UKENGEJI.

Balikihamo na bha: Rev. Joseph Healey, (Ng’wana Healey), Rev. Donald Sybertz, (Ng’wana Helena), Rev. Sandu, Martin,  Mabula, Clement na bhangi b’ingi.

 

KISWAHILI: KIKUNDI CHA KAMATI YA UTAFITI NDOLELEJI, KIKIIMBA WIMBO WA SHUKRANI KWA MUNGU, NA KWA WAANZILISHI WA UTAFITI.

Hao ni pamoja na: Rev. Joseph Healey, (Ng’wana Healey), Rev. Donald Sybertz, (Ng’wana Helena), Rev. Sandu, Martin, Mabula, Clement na wengine wengi.

ENGLISH: NDOLELEJI RESEARCH COMMITTEE GROUP SINGING A GRATITUDE SONG TO GOD AS WELL AS TO THE RESEARCH FOUNDERS. Video

They include: Rev. Joseph Healey, (Ng’wana Healey), Rev. Donald Sybertz, (Ng’wana Helena), Rev. Sandu, Martin, Mabula, Clement and others. Video of the research committee group singing. Video

 

IMG_20190704_092150_0