707. “MAYU, MAYU, KUBYALA SHAWIZA ILINILUMBI” (MWANZA). MAYU, MAYU, GUBYALA JAWIZA ILINILUMBI” (SHINYANGA).

Lilihoyi Lyimbo limo lya Jisuguma ili lihaile giki, “Kubyala mayu kubyala jawiza (shawiza) ilinilumbi.”

Ilyimbo linili lilidulanga giki, ugubyala lulilubhango, nulu ugubyala ili solobho. Ligimbagwa ahikanza lya myaji alipandika wambilijiwa bho gufumila kuli ng’wana okwe na gunumbilija.

Dugemele guti ng’wana ulu utola, umayu okwe agalumbaga, kunguno opandikaga ng’wambilija aha kaya. Ung’wana ulu utolwa, abhabyaji bhagalumbaga kunguno bhapandikaga ng’ombe.” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 37.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

Ilyimbo linilo, ligalangaga bhanhu giki, “Ugubyala lulibhango. Uyo adabyalile adina ng’wambilija; giki ogaiyagwa umunhu uogung’wambilija umumakoye gakwe nulu umubhunamhala bhokwe.

Uyo alina ng’wana, agalumbaga ahikanza lya gwambilijiwa. Ugubyala jili ginhu ja gutogisha na guyeja umu Si ja Africa. Jili jisambo na lubhango lo gufumila kuli Mulungu. Umunhu uyo adina bhana agabyedagwa umuwikaji bhokwe.

Ugumyala Ng’wana o ng’wa Mulungu jili ginhu ja gutogisha noyi. Jili ginhu ja bhuyegi na ja solobho ukubhanhu bhose na idi kubhabyaji duhu. “Mdizoogoha! Nang’wenhelaga nhulu jawiza na bhuyegi bhutale ukubhanhu bhose. Iki ilelo yiniyi umulingini lwa ng’wa Daudi obyalagwa Nkomoji kulwing’we, hu Kristo Sebha (Luka 2:10-11).

UBikira Maria aho agawilwa nu Elizabeti giki, ulimfua gukila abhakima bhose agabhiza na bhuyegi bhutale noyi na unkumilija Mulungu bho lyimbo. Lolaga “Lyimbo lya ng’wa Maria.” (Luka 1:46-55). “Mayu, mayu, ugubyala shawiza (jawiza) ilinilumbi. Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 38.

Zaburi 127:3-5.

Luka 1:7, 24-25.

Luka 1:41-42.

Luka 1:47,

Luka 11:27.

KISWAHILI: MAMA, MAMA, KUZAA NI VIZURI. KUNA SHUKRANI.

Kuna wimbo mmoja wa Kisukuma: “Kubyala mayu kubyala jawiza (shawiza) ilinilumbi.”

Tafsiri yake kwa Kiswahili ni: “Oh! Utamu ulioje kuwa na mtoto! Mwanangu niletee maji, Nipate kutoa kiu. Shukrani nyingi kwa Mola! Kuwa na mtoto shukrani.”

Wimbo huu unatufundisha kwamba kuzaa ni Baraka au kuzaa ni faida. Unaimbwa wakati mzazi anapopata msaada kutoka kwa mtoto wake na kumshukuru.

Kwa mfano, mtoto akioa, mama yake hushukuru kwa sababu amepata msaidizi nyumbani. Mtoto akiolewa, wazazi hushukuru kwa kuwa wamepokea ng’ombe.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 37.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

Wimbo huo, hufundisha watu kwamba, “Kuzaa ni Baraka. Asiyezaa hana msaidizi; yaani amekosa mtu wa kumsaidia katika shida zake au katika uzee wake. Aliye na mtoto, wakati wa kusaidiwa, anatoa shukrani. Kuzaa ni jambo la kupendeza na kufurahisha katika nchi za Afrika. Ni zawadi na Baraka kutoka kwa Mungu. Mtu asiye na watoto hudharauliwa maishani.

Kumzaa mwana wa Mungu ni jambo la kupendeza zaidi. Ni jambo la furaha na la faida kwa binadamu wote na siyo kwa wazazi tu. “Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote. Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana” (Luka 2:10-11).

Bikira Maria alipoambiwa na Elizabeti kwamba amebarikiwa kuliko wanawake wote alikuwa na furaha kubwa mno na kumsifu Mungu kwa utenzi. Tazama, “Utenzi wa Maria.” (Luka 1:46-55). “Mama, mama kuzaa ni vizuri, kuna shukrani.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 38.

Zaburi 127:3-5. “Wana ni urithi utokao kwa  BWANA,  watoto ni zawadi kutoka kwake. Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake. Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao.   Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.”

Luka 1:7, 24-25. “Lakini walikuwa hawana watoto, kwa sababu Elizabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa wazee sana. Baada ya muda si mrefu Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano. Akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea aliponiangalia kwa upendeleo na kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.”

Luka 1:41-42. “Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu, akapaza sauti kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa amebarikiwa.”

Luka 1:46b-47, ““Moyo wangu wamwadhimisha Bwana, nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu,”

Luka 11:27. “Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”

women group

mother son

ENGLISH: GIVING BIRTH IS A GOOD THING.

There is a Sukuma song that goes like: “mother, mother, to give birth is a good thing.” This song praises someone for having children because, through children, one can get help easily like fetching water, etc.

This song teaches us that giving birth is a blessing or giving birth is advantageous in life. Such a song is sung when someone has received a present from his/her child. In this scenario, the advantages he/she can get out of female child: fetching water, attracting more cows when she marries, and aso helping mothers in their household chores (Refer to Kugundua Mbegu za Injili,’ which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 37).

This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

The song teaches people to be proud of their children because of the help they render in their families. The barren ones do not have helpers and therefore they are likely to suffer during their old days. Childbearing is an exciting and enjoyable experience in African countries. It is a gift and a blessing from God. A childless woman is despised in life.

To give birth to a son of God is the most wonderful thing. It is a happy and beneficial thing for all human beings and not just for parents. “Don’t be afraid! I bring you good news of great joy to all people. For unto you is born this day in the city of David a Savior, which is Christ the Lord ”(Luke 2: 10-11).

When the Virgin Mary was told by Elizabeth that she was blessed above all women she was overjoyed and praised God (See “Mary’s song,” Luke 1: 46-55)” (See ‘Discovering Gospel Seeds,’ page 38).

Psalm 127: 3-5. Luke 1: 7, 24-25. Luke 1: 41-42. Luke 1:47. Luke 11:27.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.