1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480

 

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.