Olihoyi munhu uyo olinyalali o ntala gungi. Umunhu ng’wunuyo, agagalucha untala uyubhinila kuntala go ng’wa Ng’hilili kunguno ya kuchola kupandika solobho nhale umuntala gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nashoka gub’inila Ng’wang’hilili.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga nimo uyo guli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gugudebha chiza unimo uyo gudulile gung’wenhela solobho nhale ubhutumami bhokwe na guguchagula kunguno atogilwe kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kuchagula milimo ya wiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashoka gub’inila ng’wang’hilili, kunguno nuweyi agachakulaga milimo iyo idulile kung’wenhela solobho nhale umubhutumami bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nashoka gub’inila ng’wa Ng’hilili.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuchagula milimo ya gudula gubhenhela solobho nhale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.
Luka 14:25-27.
Mathayo 3:1.
Ufunuo 3:19-22.
KISWAHILI: NIMERUDI KUCHEZEA KWA NG’HILILI.
Alikuwepo mtu aliyekuwa mchezaji wa kundi fulani la ngoma. Mtu huyo, alibadilisha mawazo yake akaamua kuchelezea ngoma hizo kwenye kundi la Ng’hilili, kwa sababu ya kutaka kupata faida kubwa kwenye kundi hilo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua kazi yenye faida kubwa katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu na kuzichagua kazi hizo, kwa sababu ya kutaka kupata mafanikio makubwa katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio makubwa katika familia yake, kwa sababu ya kuchagua kazi za kuweza kumletea faida kubwa, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudi kwa Ng’hilili, kwa sababu naye huchakua kazi ziwezazo kumletea faida kubwa katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuchagua kazi za kuweza kuwaletea mafanikio makubwa katika utumishi wao, ili waweze kupata faida kubwa, maishani mwao.
Luka 14:25-27.
Mathayo 3:1.
Ufunuo 3:19-22.