Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho b’alihayombo. Iyombo yiniyo ulu yukula abho bhaliyoga bhagitulaga bhiminya. Ulub’uja kwib’anza b’agubhujiwa abho bhabhona uwikenya bhobho. Hunagwene munhu umo agang’wila ung’wiye uyo olihayombo yiniyo giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kulimunhu uyo atogilwe gunwana na bhanhu abho b’alinakajile kabhub’i. Umunhu ng’wunuyo agab’akalib’ushaga abhanwani b’akwe bhenabho bhaja ahakaya yakwe, nang’hwe atogilwe gujubhahoyela ukukaya jabho. Hunagwene abhanhu abho badeb’ile ubhub’ihya bho bhanwani bhakwe bhenabho, bhagang’wilaga giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunwana na bhanhu abho b’alina kajile ka nhungwa ja wiza, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Luka 22:56-60.
KISWAHILI: ONDOKA KWENYE KELELE UTAENDA NA USHAHIDI
Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu ambao wako kwenye kelele. Kelele hiyo ikizidi wapigao kelele hiyo hupigana wakaumizana. Wakienda mahakamani, wataulizwa mashahidi waliokuwepo kwenye ugonvi huo. Ndiyo maana mtu mmoja alimwambia mwanzake aliyekuwepo kwenye kelele hiyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu apendaye kushika urafiki na watu wenye mwenendo mbaya katika jamii. Mtu huyo huwakaribisha kwenye nyumba yake marafiki hao wabaya, naye huwatembelea nyumbani kwao. Ndiyo maana watu wanaofahamu tabia za marafiki zake hao wabaya, humwambia mtu huyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta marafiki wenye tabia njema maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao wanaowazunguka.
Luka 22:56-60.
ENGLISH: LEAVE THE CHAOTIC PLACE BEFORE BEING INVOLVED AS A WITNESS
This saying comes from people who are in a chaotic place. Chaos can result into fight among people thus making those people around the fighting scene to be involved as witnesses. To avoid from being involved in the case, people will say ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’
The saying is compared to someone who likes keeping company with bad-mannered people in the society. Such people with a tendency of keeping company with bad-mannered people are being warned by telling them that ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’
The saying teaches people to find good friends who can help them to have good and friendly relationship with neighbors.
Luke 22: 56-60.