Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhusangiji wisenge b’o b’anhu bhab’ili. Ilisenge linilo ligolechaga bhiyaambilija bho gutumama milimo yabho kihamo. B’uli ng’wene amanile iyo ung’wiye aliitumama, kunguno bhagikalaga kihamo bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itolile, abho b’adadulile gwikelela, kunguno b’agikalaga kihamo b’uli makanza. Uwitoji bhobho abhanhu bhenabho, b’ulisawa nisenge ilo b’alisangilile umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’
Ulusumo lunulo lolanga bhitoji higulya ya gub’iza bhatungilija umukikalile ka witoji bhobho, umushigu jab’ulamu bhobho. Yigeleliwe abhanhu bhenabho bhab’ize na wigogwi bho gwikala kihamo, umuwikaji bhobho bhose.
Yohane 15:14-15.
KISWAHILI: WALIO UKUTA MMOJA HAWAFICHANI
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uchangiaji wa ukuta wa watu wawili. Ukuta huo huonesha hali ya kusaidiana kwao katika kufanya kazi zao, kwa vile wao huishi pamoja. Kila mmoja huelewa afanyacho mwenzake, kwa sababu ya kuishi pamoja maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja hawafichani.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa watu walioona wasioweza kufichana kitu kwa sababu ya kuishi kwao pamoja kila wakati. Maisha ya wana ndoa hao ni sawa na ukuta wanaouchangia katika kuishi kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja wahafichani.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu katika maisha yao ya ndoa, siku zote za maisha yao. Yafaa watu hao wawe na upendo wa kuishi pamoja katika maisha yao yote.
Yohane 15:14-15.
ENGLISH: THOSE WHO SHARE THE SAME ROOM DO NOT HIDE FROM EACH OTHER.
This proverb has its source in married couples. It shows how people who share the same room cannot hide their doings to each other. They understand each other well because they live together. This is why people say, ‘those who share the same wall do not hide from each other.’
This proverb can be compared to marriage life where husband and wife, in sharing the same wall, find themselves not capable of hiding their doings to each other.
This proverb teaches people about being faithful in marriage. They must have true love and be able to live together for the rest of their lives.
John 15: 14-15.