stories

386. B’ADALYAGA MIHAYO B’ADILYAGA MINO.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile mihayo na amino. Imihayo yiniyo mumo yigakwilila, idadulile ugubhigutya abhanhu, kunguno abhanhu bhenabho b’adalyaga mihayo. Ulu bhaliyihoyela imihayo yiniyo, b’agasegaga mpaga bhuli ng’wene agabhona amino ga ng’wiye. Gashinaga lulu, umumahoya genayo bhagatub’aga abho abhanhu bhenabho, kunguno b’adalyaga mihayo nulu, bhadilyaga mino. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’adalyaga mihayo b’adilyaga mino.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aliming’holo aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo ulu bhanhu bhungeniha, agayombaga mihayo mingi, ukunhu agusekaga, aluguzuga nduhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘b’adalyaga mihayo b’adilyaga mino.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja wiming’holo, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gubhagalila chiza ab’ageni bhab’o.

Yakobo 2:15-17.

 1 Yohane 3:18.

 Mathayo 15: 8-9.

KISWAHILI: HAWALI MANENO HAJIILI MENO.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia maneyo na meno. Maneno hayo hata yawe mengi namna gani, hayawezi kuwashibisha watu, kwa sababu watu hao hawali maneno. Waongeapo maneno hayo, watu hao hucheka hali ambayo humuwezesha kila mmoja kuyaona meno ya mwenzake. Kumbe katika maongezi hayo watu hayo hujisikia njaa, kwa sababu hawali maneno wala hawajiili meno. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hawali maneno hawajiili meno.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo nyumbani kwake. Mtu huyo akifikiwa na wageni nyumbani kwakwe, huendelea kuongea maneno mengi, huku akicheka, bila kuwapikia chakula wageni wake hao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘hawali maneno hawajiili meno.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uchoyo maishani mwao, ili waweze kuwa wakarimu wa kuwatunza  vizuri wageni wao.

Yakobo 2:15-17.

 1 Yohane 3:18.

 Mathayo 15: 8-9.

joy-of-life

 

ENGLISH: THEY NEITHER EAT WORDS NOR TEETH.

The source of the above saying is how someone can receive a visitor through words and teeth. When the two individuals meet, they can converse in sweet words to the extent of causing laughter; exposing their teeth. Those words and teeth cannot cure people’s hunger.  At the end, these people will still feel hungry.

This saying can be compared to greedy people who, when visited by guests, end up talking mere words with a lot of laughters without cooking food for them/visitors. Such people are being warned by telling them that ‘they neither eat words nor teeth.’

The saying teaches people to avoid selfishness in their lives rather embrace the habit of caring guests who visit their homes.

James 2: 15-17.

1 John 3:18.

Matthew 15: 8-9.

385. B’ANANGWA B’ALYA NA MBOZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukikalile ka b’anangwa. Ikale bhaliho b’atongeji ab’o b’itanagwa b’anangwa. Ulu munhu wiliwa b’ujiku olalaga hali ng’wanangwa. Mumo agab’izila umunhu ng’wunuyo, nulu ab’ize alina mbiji, adupejiwa. Hunakub’iza kahayile igiki, ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adakomanyaga abhanhu aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agab’abokelaga pye abhanhu na gub’agola chiza bho gub’achumbela majiliwa. Uweyi agalyaga na b’iza na bhab’i. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki. ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gub’akomanya abhanhu, kunguno  ya kigelele kab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

KISWAHILI: WAJUMBE WALA NA VILIVYOOZA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya wajumbe wa vitongoji. Zamani walikuwepo viongozi waliojulikana kama wajumbe. Mtu akifika usiku kwenye kitongoji hicho, alilala kwa wajumbe hao. Watu wa aina mbalimbali walilala, hata na wale wenye ukoma walilala kwa wajumbe hao. Ndiyo ukawa msemo kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye habagui watu nyumbani kwake. Mtu huyo huwakaribisha wote na kuwatunza kwa kuwapatia chakula kizuri. Yeye hula na wazuri na wabaya pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hufundisha watu juu kuacha tabia za kubagua watu kwa sababu ya muonekano wao mbaya, ili waweze kuishi kwa amani wa wenzao maishani mwao.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

 

racial-segregation

migration

 

ENGLISH: CHIEFS EAT WITH EVERYONE.

This saying has its origin in village where chiefs used to receive people of different calibers. These chiefs used to receive guests who visited them and they could eat together without considering their differences in terms of social classes. It included rich, poor and leper visitors. When this was happening, people could describe this scenario that ‘chiefs eat with everyone.’

The saying can be compared to someone who does not discriminate people in his/her home. Such people can welcome others and take care of them by providing them with all necessities for their stay in the compound.

The saying teaches people to stop discriminating others because of their appearance. In so doing, they will be able to live a decent life without quarreling with others.

Matthew 11:28.

Acts 10:34.

384. NG’WANA GAHI AGALALA HA MAMBO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhukalib’usha bho bhageni ha indili yakwe, ung’wana Gahi, uyo agalala ha mambo. Imambo gali manti ayo gagapunzagwa gakomelwa ndili. Ulu Yuma indili yiniyo, gasagaga hoi mapundu ayo ung’wana Gahi agawilya na b’iye aha b’alib’alile giki, ‘egelelaga koyi,’ nose agashiga kumhelo ya ndili, niyo ni yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ng’wana Gahi agalala ha mambo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wizang’holo bho mpaga gujiyib’a nu weyi. Umunhu ng’wunuyo agabhabhonelaga jisa abhageni b’akwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wana Gahi agalala ha mambo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wizang’holo bho gub’akalib’usha abhageni bhab’o na gub’agola chiza, kugiki bhadizuluha abhanhu bhabho bhenabho.

I Petro 2:18 -25.

I Pet 3:16 -19.

Ufunuo 2:3.

KISWAHILI: NG’WANA GAHI ALILALA PEMBENI KWENYE MITI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ukaribishaji wa wageni katika ngozi yake ng’wana Gahi, aliye lala pembeni kwenye miti. Miti hiyo huchongwa kiasi cha kutosha kupigiliwa kwenye ngozi kwa lengo la kuikausha. Ngozi hiyo ikikauka, miti hiyo huacha matundu ambayo ng’wana Gahi aliyalalia. Alikuwa akiambiwa ‘sogea huko’ mwishowe akalila kwenye matundu hayo yaliachwa na miti hiyo ya kukaushia ngozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ng’wana Gahi alilala pembeni kwenye miti.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwenye ukarimu wa kuwakaribisha wageni mpaka anajisahamu yeye mwenyewe.  Mtu huyo huwahurumia wageni wake zaidi kuliko ajihurumiavyo yeye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ng’wana Gahi alilala pembeni kwenye miti.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni na kuwatunza vizuri, ili wasiteseke watu wao hao.

I Petro 2:18 -25.

I Pet 3:16 -19.

Ufunuo 2:3.

baby sleeping

hospital

 

ENGLISH: NG’WANA GAHI SLEPT ON THE CORNER ENDS.

The source of this saying comes from the reception of strangers. A host who is used to sleep on the animal hide receives his/her visitor and they both sleep on the animal hide. Because of the small size of the hide, the host is forced to squez himself/heself to the extent of sleeping on holes used for pegging the hide. When this happened, people could say, ‘ng’wana Gahi slept on the corner ends’ to mean extreme kindness to the visitor.

The saying can be likened to a hospitable person who feels remorse for others. Such a person feels more pity for his guests than for himself/herself. That is why such people are being described as people who ‘sleep on the corner ends.’

The saying teaches people about generosity and hospitality to others.

I Peter 2:18 -25.

I Pet 3:16 -19.

Revelation 2: 3.

383. KAYA YALILE MASANGU.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuli bho masangu bho kaya. Ubhuli bho masangu bhunubho bhub’ukilile ha mbina ya b’akima. Imbina yiniyo ulushigu ulo igushulaga, b’alyaga masangu na gubalasana. Hunagwene ulu bhanhu bhali kihamo ulu b’ubalasana, abhanhu bhagayombaga giki, ‘kaya yalile masangu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanu abho bhali b’itolile, ulu b’iduma kaya yabho ucha, b’agahayaga giki, ikaya yiniyo yalile masangu. Gashinaga ikaya ugulya masangu, mumho gwiduma na gub’ulaga kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu ulu bhubhona b’itoji widumile na gub’ulaga kaya yab’o, bhagayombaga giki, ‘kaya yalile masangu.’

Ulusumo lunulo lolanga b’itoji higulya ya kuleka widumi bho gub’ulaga kaya yabho, kugiki bhadule gwikala b’itolile pye shigu ja wikaji bhobho.

Yeremia 3:18.

Isaya 50:1.

Malaki 2:14-16.

Ezra 10:3.

KISWAHILI: KAYA IMEKULA MAKANDE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa makande wa kaya. Ulaji huo wa makande ulianzia kwenye mchezo wa wanawake. Mchezo huo au ngoma hiyo, ilikuwa na desturi ya kula makande siku ya kumaliza mchezo. Baada ya kula walisambaa kila mmoja kwenda nyumbani kwake. Ndiyo maana watu wakiona wenzao waliokuwa pamoja wamesambaa, husema kwamba, ‘kaya imekula makande.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu waliooana, wakakosana na kuachana, kwa maana ya kuvunja mji. Mji huo huelezewa kwamba umekula makande. Kumbe kula makande ni kuvunja mji, baada ya kukosana kwa waliooana hao. Ndiyo maana watu wakiona watu walioona wamekosana na kuachana, husema kwamba, ‘kaya imekula makande.’

Methali hiyo hufundisha watu walioona juu ya kuacha ugomvi wa kuvunja mji wao, ili waweze kuishi pamoja siku zote za maisha yao.

Yeremia 3:18.

Isaya 50:1.

Malaki 2:14-16.

Ezra 10:3.

woman preparing food

ENGLISH: THE FAMILY HAS EATEN MASANGU/ (MIXED MAIZE AND BEANS).

The source of this saying comes from eating cooked grains. The saying can be traced from the female dance where people were accustomed of eating cooked grains (masangu) at the end of the dance. After eating, each one of them could find his/her own way; leave the place. It is through this departure; going back to their respective homes that people can say ‘the family has eaten cooked grains (masangu)’ to mean departure.

The saying can be compared to married people, who appear to quarrel and finally separate. Their separation can be described by the saying that ‘the family has eaten cooked grains (masangu)’ to mean break up in marriage.

The saying teaches people about not involving in quarrelsome acts that may result into break ups in friendship or marriage. In so doing, they will be able to live together in peace and harmony throughout in their lives.

Jeremiah 3:18.

Isaiah 50: 1.

Malachi 2: 14-16.

Ezra 10: 3.

382. KALYA KANITUMBUKILA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku jisumva ijo jigalyaga jiguta na kundosa uyo ojilishaga. Ijisumva jinijo jigatub’aga na gwandya kulomba jiliwa ja gulya kubhichajo. Aliyo lulu, ulujinhiwa ijiliwa jinijo, julya mpaga jiguta, jigandosaga uyo ojilishaga b’o gwandya gundukila sagala. Hunagwene uyo ujilishiga agayombaga giki. ‘kalya kanimbukila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atina bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga. Umunhu ng’wunuyo uyo wambilijiwa mpaga winga umumakoye, agandyaga gung’witila ya bhub’i uyo ong’wambilijaga, kihamo na gung’wima ginhu josejose ung’wambilija okwe ng’wunuyo. Hunagwene umunhu uyo ong’wambilijaga agayombaga giki, ‘kalya kanitumbukila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na b’ulumbi ukub’anhu abho bhagab’ambilijaga ugwinga umumakoye gabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

 Yohane 13:18.

KISWAHILI: KAMEKULA KAKANITUKANA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hulishwa chakula na kumtukana yule aliyekilisha chakula hicho. Kiumbe hicho hushikwa njaa sana kiasi cha kufikia hatua ya kuomba chakula hicho kwa wale walicho nacho. Lakini baada ya kupewa chakula hicho kikala na kushiba, huanza kumtukana yule aliye kisaidia. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana shukrani kwa watu waliomsaidia, mpaka akatoka kwenye matatizo yaliyokuwa yakimsumbua. Mtu huyo huusahau wema aliotendewa ambaye huanza kumtukana mtu aliyemsaidia, hata humunyima chochote amombacho yule aliyempatia msaada huo. Ndiyo maana mtu huyo, humwambia yule aliyekosa shukrani kwamga, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na shukrani kwa watu waliowasaidia maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

kneeling

 

ENGLISH: EATEN AND ABUSED THE COOK.

This saying originates from people who get food and in return abuse the cook. It is built in the context that someone, who is hungry enough and in need of food but after having eaten to his/her satisfaction, he/she turns against the cook and abuses him/her. Such people can be warned by this saying that they have ‘eaten and abused the cook.’

The saying can be compared to a person who is ungrateful to the people who helped him/her. Such people tend to forget easily the help they get from others.

The saying teaches people about being thankful to the people who helped them in their lives so that they can live in peace with others.

Proverbs 21:24.

Psalm 9: 4.