stories

381. JAGULYA NINGI LWA GUCHA LUMO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho jisumva ukuwelelo na bhuli b’ojo. Ijisumba jinijo jigab’izaga na shigu ningi ija gulwa ijiliwa. Aliyo lulu, ulu shigu ulo gucha, luli lumo duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jagulya ningi lwa gucha lumo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhulamu b’o ng’wa munhu ubho agikalaga nabho aha welelo. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ulya bho shigu ningi, kwingila ha gub’yalwa gokwe, ha b’ukuji na wikaji b’okwe bhose. Uweyi adebile igiki, ishiku ija gulya jinijo jili ningi, aliyo lulu, ulushigu ulo gucha, luli lumo duhu. Agabhalangaja nabhiye ugujitumila chiza ishigu jabho ija gulya jinijo. Hunagwene agab’awilaga abhiye giki ‘jagulya ningi lwa gucha lumo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gulya jiliwa ukunhu bhalitumama milimo yabho na gugab’ana ijiliwa jabho na bhichabho, kugiki bhadule gujitumila chiza ishigu jab’o ijaguya jinijo, kunguno ulushigu ulo gucha luli lumo duhu.

Muhubiri 5: 18-19.

Luka 17:17-20.

 Tajiri mpumbavu

KISWAHILI: ZA KULA NI NYINGI YA KUFA NI MOJA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya kiumbe ulimwenguni na ulaji wake. Kiumbe hicho huwa kina siku nyingi za kula chakula. Lakini basi, siku ya kufa kwa kiumbe hicho ni moja tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘za kula ni nyingi ya kufa ni moja.’

Methali hiyo hulinganishwa kwenye maisha ya mwanadamu alivyo na siku nyingi za kula, lakini siku yake ya kufa ni moja tu. Mtu huyo huwa anakula mara nyingi katika siku zake hizo, ambazo ni za kuanzia kuzaliwa kwake, kukua na kuishi kwake. Yeye hufahamu kwamba anazo siku hizo nyingi za kula, lakini siku yake ya kufa ni moja. Hivyo huwafundisha watu wake juu ya kuzitumia vizuri siku hizo za kula ili waweze kuacha historia nzuri watakapokufa. Ndiyo maana huwaambia kwamba, ‘za kula ni nyingi ya kufa ni moja.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kula chakula huku wakifanya kazi na kuwagawia wahitaji chakula chao, ili waweze kuzitumia vizuri siku zao, kwa sababu siku ya kufa ni moja.

Muhubiri 5: 18-19.

Luka 17:17-20.

food-distribution

africa uganda

 

ENGLISH: THERE’RE A NUMBER OF DAYS FOR EATING BUT ONE DAY FOR DEATH.

This saying comes from the real life of creatures that they have a number of days they can spend in eating but they have only one day for their death.

This saying can be compared to a man’s life with many days of eating, but having only one day for death. Under normal circumstances, human beings take food from birth to death which means several days (reference is made to human beings who live for quiet a long time). But, when it comes to death, it is only just a minute.

This saying, therefore, teaches people how to make good use of those eating days so that they can leave a certain legacy in life. It also teaches people to work hard and be able to donate food to the needy people because, in doing so, they will be preparing their own environment of being remembered in future.

Ecclesiastes 5: 18-19.

Luke 17: 17-20.

380. ISONGA LYALYA MASWA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulasi bho ndimu bho ningi ng’wipolu. Unasi  ondimu ng’wunuyo, ulu uifuja indimu iyo uilengaga guilaga, ilisonga lwakwe, ligachimaga maswa umo ligagwilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘isonga lyalya maswa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ufuja nhola bho gumtola munhu uyo aladadeb’ile igiki alina kajile kabhubhi. Agaimana inhungwa iyabhubhi yiniyo ya ng’wiyi aho Bitola. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘isonga lyalya maswa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwita b’ukengeji bho gudula gudeb’a chiza inhungwa ja b’itoji bhabho, haho bhali ugwitola, kugiki bhadizufuja nhola guti ni lisonga ilo ligalya maswa.

1 Samweli 20:36.

Mithali 15:3.

KISWAHILI: MSHALE UMEKULA MAJANI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uwindaji wa mnyama polini, kwa kutumia mshale. Mwindaji huyo wa wanyama poli kwa kutumia mishale, akimkosa mnyama aliye mlenga, mshale wake huangukia kwenye majani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mshale umekula majani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye alikosea kuoa kwa kumuoa mtu ambaye hakuifahamu tabia mbaya alinayo mwenzeke huyo, kabla ya kuoana. Baada ya kuona ndipo akaigundua tabia hiyo mbaya ya mwenzake. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘mshale umekula majani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kutosha kufahamu tabia za wenzi wao watarajiwa kabla ya kuoana, ili wasize wakakosea kuoa kama ule mshale ulio kula majani.

1 Samweli 20:36.

Mithali 15:3.

hadzabe

 

ENGLISH: AN ARROW HAS EATEN GRASSES.

The source of the above saying comes from the hunting of animals in the forest by using arrows. If an arrow of the hunter misses the targeted animal, its arrow falls on the grasses. That is why people say, ‘the arrow has eaten grasses.’

This saying can be compared to a person who was mistaken for marrying a bad-mannered person. He came to realize it after marriage. This is why people can sympathize with such a person by telling him that ‘the arrow has eaten grasses.’

The saying teaches people about doing enough research to understand the behavior of their prospective mates before marriage. This will help them to have a perfect marriage partner.

1 Samuel 20:36.

Proverbs 15: 3.

379. AGWILYAGA B’ULA B’OKWE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingnilile kubhukenaguji bho jikolo ja hakaya ijo jidulile gugamala amakoye genayo joyi injinikili. Iginhu jahakaya hinijo jili guti ng’ombe, ulu jukenagula jiliwa ja hakaya bho gulisha mungunda, jigahayiyagwa giki, jalyaga b’ula, kunguno, nulu ng’winikili, uyo jankenagujaga ilijilwa, agujilinja ugula ijiliwa jingi ubhiza ogamala amakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalelaga shib’i abhanhu bhakwe. Abhanhu bhenabho bhagajimalaga isabho jahakaya yiniyo bho gung’wenhela mamihayo, nulu makoye. Umunhu ng’wunuyo agajijinjaga isabho jakwe jinijo, kugiki abhaingije amakoye genayo abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhalanga kalile kabhubhi abhanhu bhabho. Yigelelilwe b’abhalele chiza, kugiki bhadule gujilang’hana chiza isabho jabho.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

KISWAHILI: AJILA UTUMBO WAKE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uharibifu wa vitu usababishwao na vitu vyenyewe ambavyo hutumika pia katika kutatua tatizo hilo. Vitu hivyo ni pamoja na ng’ombe ambao hula shamba la chakula cha mtu awamikiliye. Hali hiyo husemwa kwamba wamekula utumbo, kwa sababu mwenye ng’ombe hao aweza kuwauza na kwenda kununua chakula kwa ajili ya kumaliza tatizo la kukosa chakula kilicholiwa na ng’ombe hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumba wake.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea vibaya watu wake. Watu hao huzimaliza mali zake kwa kumletea matatizo nyumbani, hali ambayo humlazimu kutumia mali hiyo katika kuwaondolea watu wake matatizo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumbo wake.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwalea vibaya watu wao. Yafaa wawalee vizuri ili waweze kutunza vizuri mali zao.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

family1

 

ENGLISH: EATING YOUR OWN INTESTINE.

The source of the above saying comes from self-damage that can cause more problems in future. Cows, for example, can graze on the farm of their owner and in so doing the farmer will likely run shortage of food that can force him/her to sell some cows to get food. In return, the money obtained out of selling the cow can be used to buy food. This is why people can say ‘eating your own intestine’.

The saying can be likened to a person who abuses his/her people. This person may end up being in problems thus affecting his/her home and family in general. Such people are being warned by telling them that ‘eating your own intestine.’

This proverb teaches people to stop mistreating others. They should take good care of them so that they will have a good relationship in future.

Matthew 10:21.

James 3:16.

 Genesis 1: 12-22.

378. BHULUGU BHO NUMBU BHOGULYA NA BHABHUYU

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho numbu. Ubhuli bhunubho bhuli bho pye abhanhu, kunguno inumbu itiniguha. Kuyiniyo lulu, igaliyagwa nabho bhalina  bhuyu, kunguyo ya bhunogolelu bhoyo, na hangi ilindonu noyi. Abhanhu bhayitogilwe uguilya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’o gulya na b’ab’uyu.’

Akahayile kenako kayalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugub’agalila chiza abhanhu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ijo bhalijihaya abhanhu bhakwe bhenabho. Abhanhu nabho bhatogilwe ugwikala nang’hwe nungaliji obhanhu ng’wunuyo, kunguno uweyi aliobhanhu bhose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’ogulya na b’ab’uyu.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhagalila chiza pye abhanhu ,bho nduhu ugubhakomanya magele, kugiki bhadule ugujib’eja chiza ikaya jabho.

Hangi, nu Yesu adabhakomanya abhanhu abho bhali na moyo ng’wela ugwegela aha bhukaristia, pye na bhab’uyu agegeleja duhu.

Mathayo 26:26-28.

KISWAHILI: VITA VYA VIAZI NI KULA HATA VIBOGOYO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa viazi. Ulaji huo ni wa watu wote, kwa sababu viazi havina mfupa. Kwa hiyo basi, huwa vinaliwa hata na watu ambao ni vibogoyo, kwa sababu ya ulaini wake, na utamu wake pia. Watu hupenda kuvila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu kuwatunza watu wake kwa kuwaandalia vyakula vizuri. Mtu huyo afahamu mahitaji ya watu wake hao. Watu wake nao hupenda kuishi naye mtunzaji huyo mzuri wa watu wote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza watu wote bila ubaguzi wa kuwagawa katika makundi watu hao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yesu habagui watu wenye moyo safi katika kuishiri Ekaristi Takatifu, hushiriki wote hata na vibogoyo, bila ugaguzi.

Mathayo 26:26-28.

food-potatos

 

ENGLISH: THE FIGHT FOR POTATOES EVEN TOOTHLESS PEOPLE ARE INVOLVED.

The source of the above saying comes from potatoes. Potatoes as food are consumed by all people, even toothless ones because potatoes do not have bones. Children and adults as well can eat them without problems and is one of the food stuffs that is liked by the majority of the people.

The saying can be compared to someone who knows how to take care of his/her people by preparing good food. Such a person is aware of the needs of his/her people. His/her people would love to live with this wonderful caretaker of all people. This is why people can say, ‘the fight for potatoes even toothless people are involved.’

The saying teaches people to take care of all people without prejudice. They don’t have to divide people into groups rather consider them as equals before God.

Jesus does not discriminate people in sharing the Holy Eucharist. He invites them to participate in His holy union.

Matthew 26: 26-28.

377. CHELEMENGO ADALYAGA JABHUBHI

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa jawiza bho ng’wa Chelemengo. Ijiliwa jinijo jigaliyagwa bho bhuyegi, kunguno ya wiza bhojo ubho b’ugan’winhaga unii ojo, nhumbu nhale ya kujilya.

Aliyo lulu, ijiliwa ija bhub’i jiginjaga inhumbu ya gujilya, kunguno amiso ga bhali bhajo, gadatogagwa ujibhona. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nhungwa jawiza umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agabhalelaga chiza abhanhu bhakwe, kunguyo ya kikalile kakwe akagubhatogwa na gubhambilija abho bhali mumakoye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ub’i, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwikala bho mholele na b’ichab’o.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

KISWAHILI: CHELEMENGO HALI VYAKULA VILIVYO VIBAYA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula kilicho kizuri, wa Chelemengo. Chakula hicho huliwa kwa furaha na walaji wake, kwa sababu ya uzuri ambao humpa mlaji hamu ya kuendelea kukila.

Lakini basi, chakula kilicho kibaya au kichafu, huondoa hamu ya kukila kwa walaji wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa na tabia njema maishani mwake. Mtu huyo huwalea vizuri watu wake, kwa sababu ya mwenendo wake mzuri, wa kuwapenda watu na kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

steak-

ENGLISH: CHELEMENGO DOES NOT FEED ON BAD FOOD.

The source of the above saying comes from Chelemengo and its habit of eating good food. This food, because is good, it is happily eaten by its consumers and it gives them the desire to continue eating it. On the contrary, bad food takes off the consumers’appetites. This is why people say ‘Chelemango does not feed on bad food’ to mean the need for having good food in life.

This saying can be compared to someone who has good manners in life. Such a person is likely to nurture other people well because of his/her good conduct, loving people and helping others.

The above saying teaches people to break free from evil practices in their lives so that they can live in peace with others.

Luke 16: 3-4.

Luke 16:19.