379. AGWILYAGA B’ULA B’OKWE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingnilile kubhukenaguji bho jikolo ja hakaya ijo jidulile gugamala amakoye genayo joyi injinikili. Iginhu jahakaya hinijo jili guti ng’ombe, ulu jukenagula jiliwa ja hakaya bho gulisha mungunda, jigahayiyagwa giki, jalyaga b’ula, kunguno, nulu ng’winikili, uyo jankenagujaga ilijilwa, agujilinja ugula ijiliwa jingi ubhiza ogamala amakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalelaga shib’i abhanhu bhakwe. Abhanhu bhenabho bhagajimalaga isabho jahakaya yiniyo bho gung’wenhela mamihayo, nulu makoye. Umunhu ng’wunuyo agajijinjaga isabho jakwe jinijo, kugiki abhaingije amakoye genayo abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhalanga kalile kabhubhi abhanhu bhabho. Yigelelilwe b’abhalele chiza, kugiki bhadule gujilang’hana chiza isabho jabho.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

KISWAHILI: AJILA UTUMBO WAKE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uharibifu wa vitu usababishwao na vitu vyenyewe ambavyo hutumika pia katika kutatua tatizo hilo. Vitu hivyo ni pamoja na ng’ombe ambao hula shamba la chakula cha mtu awamikiliye. Hali hiyo husemwa kwamba wamekula utumbo, kwa sababu mwenye ng’ombe hao aweza kuwauza na kwenda kununua chakula kwa ajili ya kumaliza tatizo la kukosa chakula kilicholiwa na ng’ombe hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumba wake.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea vibaya watu wake. Watu hao huzimaliza mali zake kwa kumletea matatizo nyumbani, hali ambayo humlazimu kutumia mali hiyo katika kuwaondolea watu wake matatizo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumbo wake.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwalea vibaya watu wao. Yafaa wawalee vizuri ili waweze kutunza vizuri mali zao.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

family1

 

ENGLISH: EATING YOUR OWN INTESTINE.

The source of the above saying comes from self-damage that can cause more problems in future. Cows, for example, can graze on the farm of their owner and in so doing the farmer will likely run shortage of food that can force him/her to sell some cows to get food. In return, the money obtained out of selling the cow can be used to buy food. This is why people can say ‘eating your own intestine’.

The saying can be likened to a person who abuses his/her people. This person may end up being in problems thus affecting his/her home and family in general. Such people are being warned by telling them that ‘eating your own intestine.’

This proverb teaches people to stop mistreating others. They should take good care of them so that they will have a good relationship in future.

Matthew 10:21.

James 3:16.

 Genesis 1: 12-22.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.