stories

461. MHUNGA NJOBHA IGAKOBHAGA MHEMBE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile mbuli yamhunga, na kalwile kayo. Imbuli yiniyo, idina mapembe, aliyo imanile noyi ugulwa, kunguno iyoyi igakobhaga mhembe ijo jili nhali guti ja nja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kukaya ya ng’wa munhu, uyo aling’wobha. Ikaya yiniyo igabhizaga imanile uguchola nzila ja gwipija na bhanishi bhayo, kihamo nija gwiyinja umumakoye ga bhuli mbika.

Iyoyi, igalenganijiyagwa na mbuli ya mhunga, iyo igakobhaga mhembe guti ja nja, kunguno nayo, ikaya yiniyo igabhalanghanhaga abhanhu bhayo, bho gutumila nzila ningi.

Iyoyi imanile ugulwa na bhanishi bhayo, mpaga igabhapyenaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhugagaja, bho gujilanghana jinagujilela chiza, ikaya jabho, kugiki, jikije ugukenagulwa na bhanhu, abho bhali miganiko mabhi.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

MBUZI MWOGA HUJUA NAMNA YA KUJIHAMI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mbuzi asiye na pembe, na kupigana kwake. Mbuzi huyo, hana pembe, lakini anafahamu sana kupigana na adui zake, kwa sababu yeye, hutafuta pembe zilizokali kama za paa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.’

Msemo huyo hulinganishwa na familia ambao ni wa mtu mwoga. Familia hiyo, inafahamu namna ya kutafuta njia za kupigana na adui, pamoja na zile za kutatua matatizo ya wanafamilia wake.

Familia hiyo, hulinganishwa na mbuzi mwoga aliyetafuta pembe za paa kwa kupigana na adui zake, kwa sababu nayo, hutafuta njia mbalimbali za kuwalinda wanafahamilia dhidi ya watu waovu.

Yenyewe hutatua matazizo ya wanafamilia. Hivyo, yenyewe inaelewa namna ya kupigana na adui, mpaka kumshinda. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kuwawezesha kuzilinda familia zao, kwa kuzilea vizuri, ili zisiharibiwe na watu wenye nia mbaya.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

goats fighing

goats-

ENGLISH: A COWARD GOAT KNOWS HOW TO DEFEND HIMSELF.

The source of this saying is a hornless goat that defends itself from enemies when fighting. This hornless goat, when fighting with its enemies, knows which trick to use to defeat its enemy. It can even borrow sharp horns like those of gazelle and be able to outwit its enemy. This is why people can describe this scenario using the saying that ‘a coward knows how to defend himself.’

The saying can be compared to a coward family that knows how to protect itself against external forces that are likely to disturb it. This family can have its tactics of defence in the same way the goat does in defending itself to the extent of borrowing weapons from other animals. Therefore, this family can have its own ways of solving problems without depending on others.

The saying teaches people about being creative to protect their families by raising them properly. They raise their family members in a way that ensures that they are not destroyed by evil-minded people.

Luke 19: 1-4.

Luke 16: 3-7.

460. GUICHOBHELA MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchoji bho ginhu, bho gutumila magulu. Ulu munhu alichola ginhu jilebhe, adulile gutumila nzila ningi, nulu magulu, kugiki adule gujipandika ijo alijichola. Abhanhu ulu bhubhona alikulagula bho magulu gakwe genayo, bhaguyomba giki, wandya ‘guicholela magulu,’ isabho yiniyo.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adalendaga aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyunga uko nuko, ijo agajicholaga agabhizaga ajimanile weyi ng’winikili. Ulu ukenya hanhu, abhanhu bhagung’wila giki, otogagwa weyi ‘guichobhela magulu,’ imihayo yiniyo.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhuyungi bho nduhu nguno, kugiki bhadizichobhela mamihayo ga sagara, nulu makoye gagwiyenhela bhoyi, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 11:1-27.

 Waebrania 13:4.

KUITAFUTIA KWA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia utafutaji wa kitu kwa kutumia miguu. Mtu akiwa anatafuta kitu fulani, aweza kutumia njia nyingi, hata kutumia miguu yake, ili aweze kukipata kile anachokitafuta.

Watu wakimuona akikwaluza ardhi kwa kutumia miguu yake hiyo, katika kutafuta kwake, watasema kwamba, ameanza ‘kuitafutia miguu,’ mali hiyo.

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, hatulii nyumbani kwake. Mtu huyo, huwa anazunguka kwa kuzurura katika sehemu mbalimbali, akitafuta kile anachokifahamu mwenyewe.  Lakini akizua ugomvi, au matatizo fulani, watu watasema kwamba, amependa mwenyewe, ‘kuitafutia miguu,’ kesi hiyo.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuzurura bila sababu, ili wasijitafutie matatizo ambayo, ni ya kujitakia wenyewe, maishani mwao.

2 Samweli 11:1-27.

Waebrania 13:4.

feet

outdoor girl

ENGLISH: SEARCHING IT BY USING LEGS.

The source of this saying is searching something using one’s legs. When a person is looking for something, he/she can use many means, even using his feet to find out what he/she is looking for.

When people see him/her scratching the land, searching using his own feet they will say that he/she has begun ‘to search it by using legs.’

This saying can be comparable to a person who doesn’t settle in his/her house rather wanders around, looking for something he/she knows himself/herself. When he/she encounters problems, people will say, he/she loved himself/herself to be in problems. In other words, he/she searched for her own problems.

The proverb teaches people to stop wandering for no reason. They need to stay home where necessary in order to avoid some unnecessary problems.

2 Samuel 11: 1-27.

Hebrews 13: 4.

459. NG’WANA WA NTEMI ADAJAGA BHUSESE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhuji bho bhusese na kikalile ka bhana bha Ntemi. Abhanhu, akale bhajaga bhusese, abho bhadi bhatale umuchalo jabho.

Aliyo lulu, abhana bha bhatale bhali bhadajaga ubhusese bhunubho, kunguno nabho bhadulile gubhiza bhatale, aha shigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘ng’wana wa ntemi adajaga bhusese.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wana o ntale guti ntemi. Ung’wana ng’wunuyo adikomile uguja ubhusese, nulu guchola milimo iyo ikolile na bhusese, kunguno ali ng’wana o ntale. Gashinaga lulu, ung’wana o ntale nang’hwe ali ntale. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘ng’wana wa ntemi adajaga bhusese.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhatale bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, nabhichabho, umuwikaji bhbho.

Yohane 15:15.

 Wagalatia 4:7

KISWAHILI: MTOTO WA MAFALME HAENDI UTUMWANI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendaji wa utumwani, na maisha ya watoto wa mfalme. Hapo zamani, watu walipelekwa utumwani, hasa wale ambao hawakuwa viongozi wakubwa.

Lakini basi, watoto wa wafalme, hawakuenda utumwani kwa sababu nao wanaweza kushika nafasi ya ukubwa huo wa kuwa wafalme, kwenye siku za mbeleni. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtoto wa mfalme haendi utumwani.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mtoto wa kiongozi mkubwa, anayelingana na mfalme. Mtoto huyo hawezi kuchukuliwa kwenda utumwani. Wala hawezi kufanya kazi za watumwa, kwa sababu ni mtoto wa mkubwa. Kumbe mtoto wa mkubwa, naye ni mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtoto wa mfalme haendi utumwani.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wao, hasa wakubwa wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yohane 15:15.

 Wagalatia 4:7.

slave-castle

ENGLISH: THE KING’S SON CANNOT BE TAKEN AS A SLAVE.

The source of the proverb looks at the way the son of the King can be treated different from other people. In the past, during slave trade period, sons of Kings could not be taken as slaves. One of the reasons for them being reserved from been abducted is, they were potential of becoming Kings in future. Therefore, this scenario of protecting royal families was summarized using the proverb ‘the King’s son cannot be taken as a slave.’

This proverb can be likened to a man who is a son of a great leader, like the king. The child can neither be taken into captivity nor do works of slaves because they can also occupy positions held by their fathers in future.’

This proverb teaches people to respect their people and their positions, especially their elders, so that they can live in peace with their neighbours in their lives.

John 15:15.

Galatians 4: 7.

458. NGOMIKALA AGAJA NG’WA MIKANGAYO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa Ngomikala ng’wa Mikangayo, uyo ajikala hoi bho shigu ningi. UNgomikala agangeniha uMikangayo ugigasha hoyi nang’hwe mpaka jibhita shiku ningi, kunguno bhalibhanwanile. Hunagwene aho jakwila ishigu alikunuko, abhanhu bhuyomba giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitogilwe, umubhunwani bhobho. Abhanhu bhenabho bhagigenihaga bhagikala kihamo bho shigu ningi.

Abhoyi bhagabhonaga jidamu ugulekana, kunguno ya witogwi bhobho, umubhunwani bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi na bhanhu bhabho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

KISWAHILI: NGOMIKALA ALIENDA KWA MIKANGAYO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Ngomikala kwa Mikangayo, aliyeishi huko kwa muda wa siku nyingi. Nkomikala alimtembelea Mikangayo akaenda kukaa naye mpaka zikapita siku nyingi, kwa sababu walikuwa marafiki. Ndiyo maana watu walipogundua hivyo walisema  kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana katika urafiki wao. Watu hao, hutembeleana na kwenda kuishi pamoja kwa muda wa siku nyingi.

Wao hujisikia vigumu kuachana kwa sababu ya upendo walio nao kati yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

people-familiy

ENGLISH: NGOMIKALA WENT TO MIKANGAYO.

The source of the saying comes from Gomikala and Mikangayo who used to be good friends. Nkomikala visited Mikangayo and stayed with her until many days later, because they were friends. That is why when people found out, they said, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying can be compared to those people who love each other in their friendship. Such people visit each other and go to live together for some days.

They feel difficult to separate because of the love they have between them. That is why people say, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying teaches people about having love that enables them to live together for the wellbeing of their families and their lives as well.

Proverbs 17:17.

Romans 12:10 Phil 1: 9.

John 10:11.

457. NG’HWAJA NG’HULYA AGALYA HA NSALE GUDI GOKWE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhuli bho ng’wa ng’hwaja, muchalo ijo jidi jakwe. Umunhu ng’wunuyo olinyungi ogumana uja mumakaya ga muchalo umo oyungilaga.

Umo mubhuyungi bhokwe bhunubho, nose agalya ng’wigunguli ilo lidi lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ng’hwaja ng’hulya agalya ha nsale gudi gokwe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nshiya, nulu ng’wibhi. Umunhu ng’wunuyo agalenganijiyagwa na Ng’hwaja ung’hulya, uyo agalya higunguli ilo lidi lyakwe, kunguno nang’hwe agalyaga ijo jidi jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘Ng’hwaja ng’hulya agalya ha nsale gudi gokwe.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhushiya, na wibhi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 6:25-26.

 Waebrania 13:4.

 Yeremia 2:9.

KISWAHILI: NG’HWAJA MZURURAJI ALIKULA KWENYE KIJIJI KISICHOKUWA CHAKE.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia ulaji wa Ng’hwaja kwenye kijiji ambacho siyo chake. Mtu huyo alikuwa mzururaji ambaye alikuwa anakwenda kula kwenye miji ya watu vijijini.

Mwishowe, alikula kwenye kijiji kisichokuwa chake katika uzururaji wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ng’hwaja mzururaji alikula kwenye kijiji kisichokuwa chakwe.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mzinzi, au mwizi. Mtu huyo hulinganishwa na Ng’hwaja mzururaji aliyekula  kwenye kitongoji kisichokuwa chake, kwa sababu naye huyo, hula visivyokuwa vyake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ng’hwaja mzururaji alikula kwenye kijiji kisichokuwa chakwe.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uzinzi na wizi, ili waweze kuishi vizuri na watu wao, maishani mwao.

Mithali 6:25-26.

 Waebrania 13:4.

 Yeremia 2:9.

infidelity

divorce

ENGLISH: NG’HWAJA, THE WANDERER ATE AT THE VELLAGE THAT WAS NOT HIS.

The source of the proverb looks at Ng’waja’s wandering behaviour that made him develop behaviour of eating food in a village far from his home. Such a wanderer is being described in this proverb as someone who eats food far from his home village.

This proverb can be likened to an adulterous person or a thief. These are people who take other peoples’ belongings without their permissions. Such people with this undesirable behaviour are being warned using this proverb that ‘Ng’hwaja, the wanderer ate at the vellage that was not his.’

The proverb teaches people to break free from sexual immorality and theft. This will help people to have a very peaceful society.

Proverbs 6: 25-26.

Hebrews 13: 4.

Jeremiah 2: 9.