459. NG’WANA WA NTEMI ADAJAGA BHUSESE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhuji bho bhusese na kikalile ka bhana bha Ntemi. Abhanhu, akale bhajaga bhusese, abho bhadi bhatale umuchalo jabho.

Aliyo lulu, abhana bha bhatale bhali bhadajaga ubhusese bhunubho, kunguno nabho bhadulile gubhiza bhatale, aha shigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘ng’wana wa ntemi adajaga bhusese.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wana o ntale guti ntemi. Ung’wana ng’wunuyo adikomile uguja ubhusese, nulu guchola milimo iyo ikolile na bhusese, kunguno ali ng’wana o ntale. Gashinaga lulu, ung’wana o ntale nang’hwe ali ntale. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘ng’wana wa ntemi adajaga bhusese.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhatale bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, nabhichabho, umuwikaji bhbho.

Yohane 15:15.

 Wagalatia 4:7

KISWAHILI: MTOTO WA MAFALME HAENDI UTUMWANI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendaji wa utumwani, na maisha ya watoto wa mfalme. Hapo zamani, watu walipelekwa utumwani, hasa wale ambao hawakuwa viongozi wakubwa.

Lakini basi, watoto wa wafalme, hawakuenda utumwani kwa sababu nao wanaweza kushika nafasi ya ukubwa huo wa kuwa wafalme, kwenye siku za mbeleni. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtoto wa mfalme haendi utumwani.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mtoto wa kiongozi mkubwa, anayelingana na mfalme. Mtoto huyo hawezi kuchukuliwa kwenda utumwani. Wala hawezi kufanya kazi za watumwa, kwa sababu ni mtoto wa mkubwa. Kumbe mtoto wa mkubwa, naye ni mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtoto wa mfalme haendi utumwani.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wao, hasa wakubwa wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yohane 15:15.

 Wagalatia 4:7.

slave-castle

ENGLISH: THE KING’S SON CANNOT BE TAKEN AS A SLAVE.

The source of the proverb looks at the way the son of the King can be treated different from other people. In the past, during slave trade period, sons of Kings could not be taken as slaves. One of the reasons for them being reserved from been abducted is, they were potential of becoming Kings in future. Therefore, this scenario of protecting royal families was summarized using the proverb ‘the King’s son cannot be taken as a slave.’

This proverb can be likened to a man who is a son of a great leader, like the king. The child can neither be taken into captivity nor do works of slaves because they can also occupy positions held by their fathers in future.’

This proverb teaches people to respect their people and their positions, especially their elders, so that they can live in peace with their neighbours in their lives.

John 15:15.

Galatians 4: 7.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.