Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa Ngomikala ng’wa Mikangayo, uyo ajikala hoi bho shigu ningi. UNgomikala agangeniha uMikangayo ugigasha hoyi nang’hwe mpaka jibhita shiku ningi, kunguno bhalibhanwanile. Hunagwene aho jakwila ishigu alikunuko, abhanhu bhuyomba giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitogilwe, umubhunwani bhobho. Abhanhu bhenabho bhagigenihaga bhagikala kihamo bho shigu ningi.
Abhoyi bhagabhonaga jidamu ugulekana, kunguno ya witogwi bhobho, umubhunwani bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi na bhanhu bhabho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho.
Mithali 17:17.
Warumi 12:10 Fill 1:9.
Yohana 10:11.
KISWAHILI: NGOMIKALA ALIENDA KWA MIKANGAYO.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Ngomikala kwa Mikangayo, aliyeishi huko kwa muda wa siku nyingi. Nkomikala alimtembelea Mikangayo akaenda kukaa naye mpaka zikapita siku nyingi, kwa sababu walikuwa marafiki. Ndiyo maana watu walipogundua hivyo walisema kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana katika urafiki wao. Watu hao, hutembeleana na kwenda kuishi pamoja kwa muda wa siku nyingi.
Wao hujisikia vigumu kuachana kwa sababu ya upendo walio nao kati yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Mithali 17:17.
Warumi 12:10 Fill 1:9.
Yohana 10:11.
ENGLISH: NGOMIKALA WENT TO MIKANGAYO.
The source of the saying comes from Gomikala and Mikangayo who used to be good friends. Nkomikala visited Mikangayo and stayed with her until many days later, because they were friends. That is why when people found out, they said, ‘Komikala went to Mikangayo.’
The saying can be compared to those people who love each other in their friendship. Such people visit each other and go to live together for some days.
They feel difficult to separate because of the love they have between them. That is why people say, ‘Komikala went to Mikangayo.’
The saying teaches people about having love that enables them to live together for the wellbeing of their families and their lives as well.
Proverbs 17:17.
Romans 12:10 Phil 1: 9.
John 10:11.