stories

466. NDILO IGIKUBHAGA MINZI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ndilo iyo igikalaga muminzi. Indilo yiniyo, igabhizaga guti ilikubha, umuzingi genayo, kunguno yigigushaga moyi na bhuyegi.

Aliyo lulu, ulu gukama aminzi genayo, igazongaga noyi, kunguno ya guduma uguweshema, mpaga nose nulu gushigila gucha, ulu gadigelaga minzi. Hunagwene abhanhu bagayomgaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alinsabhi. Umunhu ng’wunuyo adayungayungaga ukubhanhu, kunguno ya jikolo jakwe jinijo. Aliyo lulu, ulu jushila ijikolo jinijo, agabhizaga na soni, nulu guja ng’wa ng’wiye agadumaga.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na ndilo, iyo igikubhaga minzi, kunguno nang’hwe agikalaga hakaya yakwe, ayegile na sabho yakwe, ahajitali ughushila. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhahabhi, ahikanza lya bhupandiki bhobho. Igelelilwe bhikale na bhanhu bhose, bho nduhu ugubhadalaha, kunguno ya bhuhabhi bhobho.

Yohane 15:5.

KISWAHILI: SAMAKI HUOGELEA MAJINI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia samaki anavyohuishi majini. Samaki huyo, huwa anaogelea kwenye maji hayo, kwa sababu ya yeye kujisikia kuwa na furaha ndani ya wingi wa maji hayo.

Lakini basi, maji hayo yakikauka, yeye huhuzunika sana, kwa sababu ya kushindwa kupumua. Hali hiyo, yaweza hata kupelekea kifo chake, endapo maji yatakawiya kuja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri. Mtu huyo huwa hatembeyi sana kwa wenzake, kwa sababu ya mali zake hizo. Lakini basi, mali hizo zikiisha hujisikia aibu, hata kwenda kwa wenzake.

Mtu huyo hulinganishwa na samaki aogeleaye majini, kwa sababu naye huishi nyumbani kwake, akizifurahia mali zake hizo, wakati bado hazijamwishia. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau maskini, wakati wao wana mali. Yafaa waishi na watu wote vizuri, bila ubaguzi wa kuangalia mali.

Yohane 15:5.

channel-catfish

trout ndilo

ENGLISH: FISH SWIMS INTO WATER.

The source of this saying is the life of fish and how it enjoys swimming into deep water. The fish likes swimming in water because it enjoys that kind of life. When water dries, its survival can be very difficult. It can die. This is why people say ‘fish swims in water’ to indicate the absence of another life for fish out of water.

The saying can be compared to rich people who are very proud of their richness. They live in their spacious houses and every service is in their reach. But, when they run bankrupt, they suffer to the extent of seeing hell in their life. They appear like a fish that has been forced to live out of water.

The saying teaches people about how to stop despising the poor. They need to understand that possession of properties is not a permanment state rather it can change any time. Therefore properties should not separate people.

John 15: 5.

465. NKINDA MAHAGALA AKABYALA MHANGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujigano ja ng’wa Sayayi, uyo ocholaga bhusabhi. Usayayi ng’wunuyo, agabhuta ntwe go ng’ombe, nu nkila goyo, ugajichimika mubhulolo.

Aho amala ugwita chiniko, agalija ng’wano, aliyomba giki, ‘ng’ombe yakwe yalibhilaga muludefu. Abhanhu bhagaga hoyi bhingi, bhugidima unkila na mapembe gayo, huna bhandya lulu uguidubula. Aho bhaduta, bhugudubula ntwe nu nkila  gunuyo duhu.

Usayayi ubhawila giki, bhanipe, kunguno bhayibhudikijaga ing’ombe yakwe mubhulolo. Bhaganipa ng’hana, ng’ombe ningi, mpaga ubhiza nsabhi ntale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkinda mahagala agabyala mhanga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga jikolo, bho gubhalemba abhanhu. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga bhushilimu bho gugalucha mihayo iyo idulile gumpandikila sabho, ija gufumila ukubhiye bhenabho.

Uweyi agalenganijiyagwa na sayayi, uyo agabhalemba abhanhu bho bhushilimu bhokwe, mpaga bhunipa ng’ombe ningi, kunguno nang’hwe agabhutumilaga ubhushilimu bhokwe mpaga opandika sabho, ija gufumila ukubhiye bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nkinda mahagala agabyala mhanga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka gusola sabho ja bhanhu bho gubhalembagula, kugiki bhadule guitumama imilimo iyo idulile gubhapandikila sabho ja gutumila umuwikaji bhobho.

Luka 16:1-8

KISWAHILI: MCHOMEKA PEMBE ALIZAA WAZIMA

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye hadithi ya Sungura, aliyekuwa akitafuta utajiri. Sungura huyo, alikata kichwa cha ng’ombe, na mkia wake, akavichomeka kwenye matope.

Alipomaliza kufanya hivyo, alipiga yowe, akisema kwamba, ng’ombe wake amedidimia kwenye matope. Watu wengi walifika kwenye tukio hilo, wakashika pembe na mkila ili waweze kumtoa ng’ombe huyo kwenye matope hayo. Walipomvuta walitoa kichwa na mkia tu, bila mwili wake.

Sungura aliwaambia wamlipe, kwa sababu wamemkata ng’ombe wake kwenye matope hayo. Watu hayo, kweli walimlipa ng’ombe wengi, mpaka akawa tajiri mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mchomeka pembe alizaa wazima.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye hupata mali kwa kuwadanganya watu. Mtu huyo, hutumia ujanja wa kugeuza maneno yale yawezayo kumpatia mali za kutoka kwa wenzake hao.

Yeye hulinganishwa na Sungura yule aliyewadanganya watu kwa ujanja wake, mpaka wakamlipa ng’ombe wengi, kwa sababu naye, hutumia ujanja wake ambao humwezesha kupata mali za kutoka kwa wenzake hao. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mchomeka pembe alizaa wazima.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kuchukua mali za watu kwa kuwadanganya, ili waweze kufanya kazi zile ziwezazo kuwapatia mahitaji yao, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

rung'wando

cow meat

464. KIMBULU NG’WIFA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile nyabhu ya mumapolu. Inyabhu yiniyo, igikalaga ibhisile mumafa, kunguno ya gogoha gutulwa na bhanhu. Ulu yumhona munhu, igibhisaga kunguno igacholaga gulya ngoko ja bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagiitanaga ‘kimbulu ng’wifa,’ kunguno ya gwikala goyo umumafa munumo.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ogalucha inhungwa jakwe, jibhiza jabhubhi. Ubhubhi bhunuyo, bhuli kihamo  na gwibha jikolo ja bhanhu.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni kimbulu iyo igalyaga ngoko ja bhanhu, kunguno nang’hwe, agandyaga gwibha jikolo ja bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagangwitanaga giki, ‘kimbulu ng’wifa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja wibhi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15.

KISWAHILI: PAKA SHUME.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye paka wa polini. Paka huyo, huishi kwa kujificha kwenye majani, kwa sababu ya kuogopa kupigwa na watu.

Akimuona mtu, hutafuta sehemu ya kujificha, kwa sababu ya yeye kuwa na lengo la kumwibia kuku wake.  Ndiyo maana watu humwita, ‘paka shume.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amebadilika kitabia na kuwa na tabia mbaya. Tabia hiyo mbaya, ni pamoja na ile ya kuiba mali za watu.

Mtu huyo, hulinganishwa na paka shume ambaye hula kuku za watu, kwa sababu naye, huanza kuiba mali za watu. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kuwa ni ‘paka shume.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za wizi, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:15.

paka shume

cats

ENGLISH: A WILD CAT IN THE GRASS.

The source of this saying is a wild cat that tends to hide for fear of being killed for stealing people’s chicken. When the wild cat sees a human being, it hides itself in grasses.

 This saying can be likened to a person who has changed his/her behaviour and attitude. This includes being a thief and other forms of misconducts. Such a person can be compared to a wild cat.

The proverb teaches people to break free from the habits of robbery, which can make them to always live in fear. Rather, they have to respect one another.

Matthew 7:15.

463. UYAGACHOBHAGA MBUKI ADANOGAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhoji bho mbuki ya ginhu, nulu mhayo nhebhe. Ubhuchoji bho mbuki bhonubho, bhugamanaga bhunchala bhutongi, unchoji oyo, kunguno bhuli jito, jili na guno yajo. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe yombo bhuli likanza. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na widumi na bhanhu, umukikalile kakwe, kunguno ya wikolosha bhokwe.

Uweyi, agalenganijiyagwa na munhu uyo agachobhaga mbuki bho nduhu ugunoga, kunguno nang’hwe adanogaga, uguyuyoga na bhanhu. Hunagwene abhanhu abhagang’wilaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gutoga yombo ya gwiduma na bhanhu, kugiki, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwijaji bhobho.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

KISWAHILI: MTAFUTA CHANZO HACHOKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia utafutaji wa chanzo cha kitu au neno fulani. Utafutaji huo, huendelea kumpeleka mbele mtafutaji wake huyo, kwa sababu kila tendo, au neno lina chanzo chake, au sababu ya kuwepo kwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda ugomvi kila wakati. Mtu huyo, huwa na ugomvi na watu karibu kila wakati, kwa sababu ya ukorofi wake.

Yeye hulinganishwa na mtu yule atafutaye chanzo cha kila tendo au neno, bila kuchoka, kwa sababu naye, huwa hachoki kuishi katika ugomvi na watu mbalimbali. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kupenda kelele za kutafuta ugomvi na watu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

music

masai- africa

ENGLISH: HE WHO LOOKS FOR QUARREL DOES NOT GET TIRED.

The source of this proverb is a person who looks for source of something. It makes someone keep on looking for it until he/she reaches a point of knowing the source of what he/she is looking for. Such a person can be described using the proverb that ‘he who looks for quarrel does not get tired.’

The proverb can be compared to a person who likes quarrels. Such a person always has quarrels with people because of his/her nuisance. Such a person can dig deeper without getting tired despite being hated by some people who might be not interested in that truth.

The proverb teaches people about ignoring the quarrel-seeking behaviours. This will enable people to have a peaceful life in their families.

Matthew 4: 3.

John 11: 47-48.

462. DUKOBHE IKUBHI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchoji bho likubhi. Ulu kaya yupandika ngeni, igakobhaga ikubhi bho gubhulaga ngoko, mbuli, nulu ng’ombe.

Untugo uyo gugabhulagagwa gunuyo, hilikubhi lya ngeni ng’wunuyo, ilya gulila umubhugali ubho alitengelwa. Agazugilagwa nyama ya gubhulila ubhugali bhunubho. Hunagwene abhanhu, ulu bhapandika ngeni, bhagayomgaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalina wizang’holo, bho gubhakalibhusha chiza abhageni. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagabhasumbilaga chiza, abhageni bhabho, bho gubhinha bhulalo, na jiliwa ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulu bhapandikaga bhageni, bhagayombaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizang’holo, bho gubhasumbila chiza, na gubhabhegeja jiliwa ja wiza, abhageni bhabho, kugiki bhadizukoya, umubhugeni bhobho bhunubho.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

KISWAHILI: TUTAFUTE MBOGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utafutaji wa mboga. Familia ikipata mgeni, hutafuta mboga kwa kumchinjia kuku, mbuzi, au ng’ombe.

Mfugo huo, ni nyama iyopikwa kama mboga ya mgeni huyo, ambaye huitumia wakati wa kula ugali wanaompelekea. Ndiyo maana watu wakipata mgeni, husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hulinganishwa na familia ya watu, ambao wana ukarimu wa kuwakaribisha vizuri, wageni wao. Watu waliopo kwenye familia hiyo, huwapokea vizuri wageni wao, kwa kuwapatia chakula. Ndiyo maana watu hao, wakipata wageni husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwawezesha kuwapokea vizuri, wageni wao, na kuwaandalia chakula kizuri, ili watu hao wasipate matatizo, kwenye ugeni wao huo.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

cows-

steak-

ENGLISH: LET’S LOOK FOR MEAT.

The source of this saying is looking for meat to feed the visitor. When a family gets a visitor, they are expected to look for something precious to be eaten by the visitor. It can be chicken, goat, cow, etc. Then the meat has to be cooked as sauce to be eaten with ugali. Meat is regarded as something precious to honour the visitor. This is why people will say ‘let us look for meat’ in order to show appreciation to the visitor for paying visit to their family.

The saying can be compared to a family of people who are hospitable to their visitors. The members of the family can provide visitors with good food to enjoy their stay.

The saying teaches people about generosity by welcoming visitors and giving them good food and other services that can make them enjoy their stay.

Matthew 22: 4.

Luke 15: 11-25.