Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ndilo iyo igikalaga muminzi. Indilo yiniyo, igabhizaga guti ilikubha, umuzingi genayo, kunguno yigigushaga moyi na bhuyegi.
Aliyo lulu, ulu gukama aminzi genayo, igazongaga noyi, kunguno ya guduma uguweshema, mpaga nose nulu gushigila gucha, ulu gadigelaga minzi. Hunagwene abhanhu bagayomgaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alinsabhi. Umunhu ng’wunuyo adayungayungaga ukubhanhu, kunguno ya jikolo jakwe jinijo. Aliyo lulu, ulu jushila ijikolo jinijo, agabhizaga na soni, nulu guja ng’wa ng’wiye agadumaga.
Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na ndilo, iyo igikubhaga minzi, kunguno nang’hwe agikalaga hakaya yakwe, ayegile na sabho yakwe, ahajitali ughushila. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhahabhi, ahikanza lya bhupandiki bhobho. Igelelilwe bhikale na bhanhu bhose, bho nduhu ugubhadalaha, kunguno ya bhuhabhi bhobho.
Yohane 15:5.
KISWAHILI: SAMAKI HUOGELEA MAJINI.
Chanzo cha msemo huo, chaangalia samaki anavyohuishi majini. Samaki huyo, huwa anaogelea kwenye maji hayo, kwa sababu ya yeye kujisikia kuwa na furaha ndani ya wingi wa maji hayo.
Lakini basi, maji hayo yakikauka, yeye huhuzunika sana, kwa sababu ya kushindwa kupumua. Hali hiyo, yaweza hata kupelekea kifo chake, endapo maji yatakawiya kuja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘samaki huogelea majini.’
Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri. Mtu huyo huwa hatembeyi sana kwa wenzake, kwa sababu ya mali zake hizo. Lakini basi, mali hizo zikiisha hujisikia aibu, hata kwenda kwa wenzake.
Mtu huyo hulinganishwa na samaki aogeleaye majini, kwa sababu naye huishi nyumbani kwake, akizifurahia mali zake hizo, wakati bado hazijamwishia. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘samaki huogelea majini.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau maskini, wakati wao wana mali. Yafaa waishi na watu wote vizuri, bila ubaguzi wa kuangalia mali.
Yohane 15:5.
ENGLISH: FISH SWIMS INTO WATER.
The source of this saying is the life of fish and how it enjoys swimming into deep water. The fish likes swimming in water because it enjoys that kind of life. When water dries, its survival can be very difficult. It can die. This is why people say ‘fish swims in water’ to indicate the absence of another life for fish out of water.
The saying can be compared to rich people who are very proud of their richness. They live in their spacious houses and every service is in their reach. But, when they run bankrupt, they suffer to the extent of seeing hell in their life. They appear like a fish that has been forced to live out of water.
The saying teaches people about how to stop despising the poor. They need to understand that possession of properties is not a permanment state rather it can change any time. Therefore properties should not separate people.
John 15: 5.