sayings

331. LYALAGILWE MPELANU MOKONO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalagilwe ka ng’waka na mpelanu. Ung’waka gunuyo gugab’izaga go nduhu mbula. Ulu mbula gukija utula ng’waka ngima, abhanhu bhagiganikaga giki, Uwelelo uyo ugulaga ung’waka gunuyo oliapelanile. Gashinaga imyaka igab’izaga guti giki igalagagwa na Welelo nayiza. Hunagwene abhanhu ulu ng’waka gub’iza gub’i, uyo mbula gukija gutula, bhagayombaga giki, ‘lyalagilwe mpelanu mokono.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile gutumila nzila ningi ija gwipandikila jiliwa. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na jiliwa, nulu ng’waka guga’biza gu’bi, ugo nduhu mbula gutula. Uweyi agalangaga na bhiye bhadizusendamila mbula duhu umilimo yab’o, bho gubhawila giki, ‘lyalagilwe mpelanu mokono.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gumana milimo mingi ya gubhapandikila ijiliwa, na guitumama kugiki, bhadizucha na nzala, ahikanza lya nduhu mbula.

Mwanzo 41:30-31.

Mwanzo 42:5.

Luka 4:25-26.

KISWAHILI: LIMEAGWA NA MWENYE HASIRA MWAKA HUU

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kuagwa kwa mwaka na mwenye hasira. Mwaka huo huwa hauna mvua. Mvua ikiacha kunyesha mwaka mzima, yule aliyeuaga hufikiriwa kama ni mwenye hasira. Kumbe miaka huwa na inaagwa na yule aiagizaye kuja. Ndiyo maana mwaka ukiwa mbaya, watu husema kwamba, ‘umeagwa na mwenye hasira mwaka huu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu afahamuye kutumia njia mbalimbali za kujipatia chakula. Mtu huyo huwa na chakula cha kutosha, hata kama mwaka ukiwa mbaya ambao hauna mvua. Yeye hufundisha hata wenzake juu ya kutokutegemea mvua pekee, kwa kuwaambia kwamba, ‘umeagwa na mwenye hasira mwaka huu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa kazi mbalimbali ziwezazo kuwapatia mahitaji yao, yakiwemo yale ya chakula, na kuzitekeleza ili wasife kwa njaa kwa sababu ya kutegemea mvua pekee, kwenye kazi zao.

Mwanzo 41:30-31.

Mwanzo 42:5.

Luka 4:25-26.

seller banana

ENGLISH: THIS YEAR HAS BEEN ORDERED BY THE ANGRY ONE

This saying comes from the unfortunate year that is believed to be ordered by the angry one. In such a year the rain does not rain throughout the year. When it happens so, people will always say, it is a bad year and therefore labeled as being ordered by the angry one.

The saying can be compared to a person who knows how to cultivate a variety of foods. Such a person is likely to have enough food to eat, even if the year is bad; with no rain. Such a farmer can even teach his/her colleagues about not relying on rain alone by telling them that ‘this year has been ordered by the angry one,’ as a way to encourage others to look for other alternatives of getting food rather than waiting for rain.

Genesis 41: 30-31.

Genesis 42: 5.

Luke 4: 25-26.

330. UDALYAGE B’ULA B’UGWIGONZOLA UWINGA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho b’ula bho mitugo. Ikale  yalihoyi migilo ya b’anakale ya kuleka gulya b’ula nulu b’utumbo, abho b’atali bhadoo. Ub’ula bhunub’o b’alyaga b’agikulu iki b’adinamino. Ab’ado yaliyaya ugulya kunguno b’adudila gulwa. Hunagwene abhanakale bhab’awilaga abhadoo giki, ‘udalyage b’ula b’ugwigonzola uwinga.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina malange gagub’alanga abhanhu bhab’o kugiki bhab’one gub’akuja ab’atale b’ab’o. Abhanhu bhenabho bhagab’utumilaga ub’umani bhob’o bho gubhalekela nhungwa niza ija gudula gwikala na bhanhu chiza. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhabho giki, udalyage b’ula b’ugwigonzola uwinga.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’alanga abhichab’o gwikala nikujo ukubhanhu bhab’o. Akikalile kenako kagubhambilija ijinakubhalanghana chiza abhatale bhabho.

KISWAHILI: USILE UTUMBO HARUSI ITASUASUA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa utumbo wa mifugo. Zamani ilikuwepo miiko ya watu wa zamani, ya vijana kutokula utumbo. Utumbo huo uliliwa na vikongwe kwa vile hawana meno. Vijana hawakuruhusiwa kula kwa ya kuepuka kuolea mbali. Waliambiwa kwamba, wakila wataolea mbali. Ndiyo maana watu wa zamani waliwaambia vijana kwamba, ‘usile utumbo harusi itasuasua.’

Msemo huo hufananishwa kwa watu ambao wana malezi mema ya kufundisha watu wao namna ya kuwaheshimu wakubwa wao. Watu hao hutumia uelewa wao vizuri katika kuwaachia watoto wao, malezi ya kuwa na tabia njema za kuwawezesha kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu wao huwaambia hivi, ‘usile utumbo harusi itasuasua.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri watu wao, kwa kuishi nao kwa heshima. Maisha hayo yatawasaidia watu wao katika kuwatunza vizuri wazee wao.

uganda

 

ENGLISH: NEVER EAT OFFALS/ INTESTINE, YOUR MARRIAGE WILL HAVE PROBLEMS

The source of this saying is eating animal offals/intestines. In the past there were taboos forbidding young people from eating offals/intestines. The offals/intestines were eaten by the elderly people who are toothless. The people warned young people against eating offals/intestines by saying, “never eat offals/intestines, your marriage will have problems.”

The saying is similar to people who have good morals for teachimg their young people to respect their elders. These people use their knowledge to teach their people good morals so as to enable them to get along well with other people. That is why they tell their people that, “never eat offals/intestines, your marriage will have problems.”

The saying teaches people how to respect others. This will help children to take good care of older people

328. WELELO NHALE YANHYA NA KULI NG’WIWE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jigitanagwa kuli, na bhutale bho ng’wa Welelo. Ikuli yiniyo igikalaga ng’wiwe, aliyo Iweleolo igaisolaga kihamo nugwib’isa goyo, ung’wiwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki adulile gung’wib’isa Uwelelo, guti kuli iyo igikalaga ng’wiwe. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhagahayaga giki bhadalacha, kunguno bhadabhumanile ubhutale bho ng’wa Welelo.

Abhanhu abho bhab’udeb’ile ub’utale bho ng’wa Welelo, bhagab’awilaga abhichabho bhenabho, giki, Uweyi adib’isagwa kunguno alintale noyi. Ulu uhaya gunsola munhu oseose, agunsola duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuzunya ubhutale bho ng’wa Welelo na gwiyangula gwikala gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

KISWAHILI: MUNGU NI MKUBWA AMEMLA NA MJUSI KWENYE JIWE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho huitwa mjusi, na ukuu wa Mungu. Mjusi huyo huishi kwenye jiwe. Lakini Mungu alimchukua pamoja na kujificha kwake kwenye jiwe hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiri kwamba aweza kujificha mbele ya Mungu, kama yule mjusi aishiye kwenye jiwe. Kwa hiyo basi, watu hao husema kwamba hawatakufa, kwa sababu ya kutokuufahamu ukuu wa Mungu.

Hali hiyo huwalazimu wale waufahamuo ukuu wa Mungu, kuanza kuwaeleza juu ya ukweli huo. Hakuna awezaye kujificha mbele ya Mungu, kwa sababu ya ukuu wake. Yeye akitaka kumchukua mtu yeyote, humchukua tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutoa malezi mema kwa watu wao juu ya ukuu wa Mungu maishani mwao, na kuamua kuishi kama atakavyo Yeye.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

lizard

 

ENGLISH: GOD IS GREAT, HE HAS EVEN TAKEN THE LIZARD’S LIFE

The source of this saying is the greatness of God and the life of lizard. The lizard lives in rocks. But God took its life.That is why people say, “God is great, he has even taken the lizard’s life.”

The saying is compared to a man who thinks that he can hide from the presence of God like the lizard does in rocks. So, these people do not know the greatness of God and they think that they will not die.

The people who know the greatness of God tell those who are ignorant about Him that no one can hide from God because He is great. If He wants to take anybody He will do so. That is why people say, “God is great, he has even taken even the lizard’s life.”

The saying teaches people about acknowledging God’s greatness and deciding to live as God wants them to be.

Genesis 3: 8-13.

It is 1: 15-17.

 

327. UDALYAGE WIMBA UGUTOLELA KULE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo alilya jiliwa ukunhu alimba. Umunhu ng’wunuyo agasamaga na gufunya mate umunomo gokwe. Gashinaga lulu, ulu alilya ukunhu wimba abhiye bhadutogwa ugumona alifunya jiliwa na mate umunomo gokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bhakwe nhungwa ja wiza, kugiki bhab’ize ni kujo ahikanza lya gulya. Abhanhu bhenabho bhadebhile igiki ililange yilyagwiza ligenhaga ikujo ukubhanhu bha munzengo. Nulu bhagahaya gutola abhanhu bhab’o, bhagutolela nulu bhagupandikila bihi, ab’itoji bhab’o.

Aliyo lulu, umunhu uyo adalangile chiza adab’izaga nikujo ubhanhu. Nulu agahaya gutola, umunhu ng’wunuyo agutolela kule uko bhadandeb’ile akajile kakwe. Hunagwene bhagab’alangaga abhanhu bhabho bho gubhawila giki ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukubhanhu umuwikaji bhobho. Yigelelilwe bhabhalange nhungwa ja wiza abhanhu bhabho.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

KISWAHILI: USILE UNAIMBA UTAOLEA MBALI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu alaye chakula huku akiimba. Mtu huyo huachama na kutoa mate mdomoni mwake. Kumbe basi, akila huku akiimba, wenzake hawatapenda kumuona akitoa chakula na mate kutoka kwenye mdomo wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufundisha watu wake kuwa na tabia njema ili wawe na heshima wakati wa kula chakula. Watu hao hufahamu kwamba malezi mema huleta heshima kwa wanakijiji wenzao. Wenye malezi hayo, hata wakitaka kuoa, wataolea karibu na kwao kwa sababu tabia zao hujulikana kwa wenzao, zilivyo njema.

Lakini watu wenye tabia mbaya hufikiriwa kama watu ambao hawakupata malezi mema kutoka kwa walezi wao. Hivyo, hawana heshima kwa watu. Wenye tabia hiyo mbaya wakitaka kuoa wataolea mbali kule ambako hawazifahamu tabia zao kuwa ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu maishani mwao. Yafaa watu hao wawafundishe watu wao tabia njema ya kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

people singing

 

ENGLISH: NEVER SING WHILE EATING, YOU WILL MARRY FAR AWAY

The source of this saying is a person who eats food while singing. Such a person opens his/her mouth and saliva comes out of his/her mouth. So, as as he/she eats that way, his/her companions do not feel good to see food and saliva from his/her mouth. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying is compared to a man who teaches his people good table manners so that they observe them. They know that good upbringing will bring about a moral upright society. People with good manners, if they want to marry, they will be able to get suitors in their neighbourhoods because their good character is known.

But the people who were not brought up properly are never respected by their fellows. When these people want to marry, they have to go far away from their village where their characters are not known. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying teaches people about having good character in their lives. These people should also teach their people good manners in order to enable them to live in harmony with others.

Ephesians 6: 4.

Joel 1: 3.

326. DALYA JISEB’U

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ijo jitali jisebhu. Ijiliwa ulujinjiwa ahaliko jigabhizaga jisebhu noyi. Abhanhu abho b’alijilya jib’abishaga. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhamala ugulya bhagayombaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhatimlyaga ng’holo abhasatu bhabho na bhanhu abho bhalinabhasatu, bho gubhawila giki abhasatu bhenabho bhagupila duhu. B’agab’achalaga gusitali bhagaping’wa na gwinhiwa b’ugota. Gashinaga lulu, akahayile kenako kalikigisije kabhanhu bhenabho ulu umo obho ainansatu, bhagahaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higuya ya kubhalunguja bho gubhachala gusitali abhasatu bhabho, kugiki, bhapile wangu.

Yakobo 5:14-16.

KISWAHILI: TUMEKULA CHA MOTO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula chenye moto. Chakula hicho mhusika akikitoa motoni huwa kina moto sana. Watu wanaokila huwaungaza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwafariji wagonjwa na watu wenye wagonjwa, kwa kuwaambia kwamba, wagonjwa wao watapona tu. Watu hao huwapeleka wagonjwa hospitalini kwenda kupimwa na kupatiwa matibabu sahihi. Kumbe basi, msemo huo ni namna ya kusalimiana ya watu hao, kama mmoja wao, anamgonjwa, husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwafariji vizuri wagonjwa kwa kuwapeleka hospitalini, ili wakaweze kupatiwa matibabu yanayotakiwa kwao na wapone haraka.

Yakobo 5:14-16.

hot food

 

ENGLISH: WE HAVE EATEN WHILE TOO HOT

This saying comes from eating hot food. When the food is released from the fire, it is usually hot. The people who eat such food get burned.That is why people say, “we have eaten while it is hot.”

The saying is compared to people who comfort the sick and the people who are taking care of them, by telling them that their patients will recover from the illness. These people also take patients to hospital for medical examination and treatment. In fact, the saying is a form of greeting to people if one of them is sick. They, therefore, say, “we have eaten while it is hot.”

The saying teaches people how to comfort patients by taking them to hospital so that they can receive treatment and recover quickly.

James 5: 14-16.