sayings

342. LUPUNDU LWA MUNDA LUDIGWIWAGWA,

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutuji bho lupundu. Ulupundu lugatulagwa na munhu uyo oyegaga. Abhanhu b’agulwigwa ulupundu lunulo. Aliyo lulu, ulu lulimugati ya ng’wa munhu ulupundu lunulo, bhadudeb’a abhangi igiki alitula lupundu. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhuyegi ubho bhulimung’holo ya ng’wa munhu.  Ulu adabhufunijije  hanze mudubhub’ona na hangi mudubhudeb’a. Gashinaga lulu ilichiza umunhu ng’wunuyo abhuyombe bho gutumila ilaka lwakwe. Huanawene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuyomba ubhuyegi bhobho bho malaka gabho.

Luka 1:14-43.

KISWAHILI: KIGELEGELE CHATUMBONI HAKISIKIWI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa vigelegele. Kigelegele hupigwa na mtu ambaye amefurahia kitu au tukio furani maishani mwake. Watu watavisikia vigelegele hivyo. Lakini basi, kigelegele hicho kikiwa ndani ya mtu furani, hawataelewa wengine kuwa mtu huyo amefurahia kitu fulani, ana sababu hiyo ya amepiga kigelegele. Ndiyo maana watu husema kwamba. ‘Kigelege cha tumboni hakisikiwi.’

Msemo huo hulinganishwa na furaha iliyomo kwenye roho ya mtu. Asipoionesha furaha hiyo hamtaelewa. Kumbe basi, ni vizuri mtu huyo aiseme furaha hiyo sauti yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelezea furaha yao kwa sauti zao wenyewe.

Luka 1:14-14.

happy people

 

ENGLISH: AN INSIDE JOY CANNOT BE HEARED.

The source of the above saying comes from someone who would like to express his/her joy. Under normal circumstances, joy is always shared with others. It can be voiced up for others to hear and enjoy as well. But when joy is internally expressed, others will not have a chance to hear or enjoy it. This is why people say, ‘an inside joy cannot be heared.’

This saying can be likened to the joy that is in someone’s soul. It cannot be heared unless one deliberately shares with others. This saying teaches people about expressing their happiness in their own words.

Luke 1: 14-14.

340. KASESEMYA MVA OKABHONELA HE?

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhusesemiwa b’o mva. Imva yiniyo ulu ugayiwa jiliwa, igasesemaga ukunhu yasamaga, kugiki ipandike hewa. Igasusub’aga uko ijile ulu yitubhile. Gashinaga lulu, inzala yayo hiyo igisesemyaga imva yinilo. Hunagwene abhanhu bhagibhujaga giki, kasesemya mva okabhonela he?’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigusijaga sabho sagala. Umunhu ng’wunuyo agitaga giko kunguno atali uguibhona inzala, ulu nioyibhona, nagajilanghanaga chiza isabho jinijo. Hungwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘akasesemya mva okabhonela he?’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujilang’hana chiza isabho ijo bhalinajo, kugiki jidule gubhagunana ha shigu ijahabhutongi.

Mwanzo 41:29 – 36,

Mathayo 6:19-21.

KISWAHILI: KAHEMESHA MBWA UMEKAONEA WAPI?

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uhemeshaji wa mbwa. Mbwa akikosa chakula huhema akiwa ameachama na kutoa ulimi wake ili aweze kupata hewa. Kumbe basi, njaa yake hiyo ndiyo ile inayomhemesha mbwa huyo. Ndiyo maana watu huulizana kwamba, ‘kahemesha mbwa umekaonea wapi?’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huzichezea mali hovyo maishani mwake. Mtu huyo hufanya hivyo kwa sababu yeye hajaona njaa inavyowatesa watu, maishani. Angekuwa ameiona angekuwa anazilinda mali hizo. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kasesemya mbwa umekaona wapi?’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa kuzilinda mali zao hizo, ili ziweze kuwasaidia katika siku za mbeleni.

Mwanzo 41:29 – 36,

Mathayo 6:19-21.

animal-dog

ENGLISH: WHERE DID YOU SEE WHAT MAKES DOGS TO SALIVATE?

The source of the saying comes from dog’s salivation. When a dog misses food it salivates. In fact, it is its hunger that stimulates the dog to salivate. This is why people ask one another, ‘where did you see what makes dogs salivate’?

The saying is compared to a person who disrespects his/her possessions in life. Such a person does so because he/she has never seen how people suffer in life. Such people are being warned by asking them that ‘where did you see what makes dogs salivate?’

The saying teaches people about understanding how to protect their property for the aim of making their prosperous future.

Genesis 41:29 – 36.

Matthew 6: 19-21.

339. INGAGA AHAYOMBO UGAJA B’UMBONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho b’alihayombo. Iyombo yiniyo ulu yukula abho bhaliyoga bhagitulaga bhiminya. Ulub’uja kwib’anza b’agubhujiwa abho bhabhona uwikenya bhobho. Hunagwene munhu umo agang’wila ung’wiye uyo olihayombo yiniyo giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kulimunhu uyo atogilwe gunwana na bhanhu abho b’alinakajile kabhub’i. Umunhu ng’wunuyo agab’akalib’ushaga abhanwani b’akwe bhenabho bhaja ahakaya yakwe, nang’hwe atogilwe gujubhahoyela ukukaya jabho. Hunagwene abhanhu abho badeb’ile ubhub’ihya bho bhanwani bhakwe bhenabho, bhagang’wilaga giki, ‘ingaga ahayombo uguja b’umbona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunwana na bhanhu abho b’alina kajile ka nhungwa ja wiza, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Luka 22:56-60.

KISWAHILI: ONDOKA KWENYE KELELE UTAENDA NA USHAHIDI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu ambao wako kwenye kelele. Kelele hiyo ikizidi wapigao kelele hiyo hupigana wakaumizana. Wakienda mahakamani, wataulizwa mashahidi waliokuwepo kwenye ugonvi huo. Ndiyo maana mtu mmoja alimwambia mwanzake aliyekuwepo kwenye kelele hiyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu apendaye kushika urafiki na watu wenye mwenendo mbaya katika jamii. Mtu huyo huwakaribisha kwenye nyumba yake marafiki hao wabaya, naye huwatembelea nyumbani kwao. Ndiyo maana watu wanaofahamu tabia za marafiki zake hao wabaya, humwambia mtu huyo kwamba, ‘ondoka kwenye kelele utaenda na ushahidi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta marafiki wenye tabia njema maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao wanaowazunguka.

Luka 22:56-60.

stick-fight

 

ENGLISH: LEAVE THE CHAOTIC PLACE BEFORE BEING INVOLVED AS A WITNESS

This saying comes from people who are in a chaotic place. Chaos can result into fight among people thus making those people around the fighting scene to be involved as witnesses. To avoid from being involved in the case, people will say ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’

The saying is compared to someone who likes keeping company with bad-mannered people in the society. Such people with a tendency of keeping company with bad-mannered people are being warned by telling them that ‘leave the chaotic place before being involved as a witness.’

The saying teaches people to find good friends who can help them to have good and friendly relationship with neighbors.

Luke 22: 56-60.

338. WANG’WIMA NG’WIYO NUB’EB’E ULAGUB’ONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulombi bho ginhu na wimiwa bhojo. Olihoyi munhu uyo olina makoye, uyo agaja gujulomba wambilijiwa kuli ng’wiye. Ung’wiye ng’wunuyo agang’wima uyo olina makoye. Abhanhu aho b’igwa igiki ong’wimaga uyo oyunombaga, bhagang’wila giki. ‘wang’wima ng’wiyo nub’e’be ulagub’ona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiming’holo. Umungu ng’wunuyo agab’imaga abhiye abho b’agajaga gujunomba. Kuyiniyo lulu, ulu nang’hwe uja gujulomba agwimiwa, kunguno nuweyi agab’imaga abhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wang’wima ng’wiyo nub’eb’e ulagub’ona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza b’izang’holo umuwikaji bhobho, kugiki nabho ulu bhalalombe ginhu bhambilijiwe, kunguno nabho bhagabhambilijiaga abhichabho.

Luka 16:38.

KISWAHILI: UMEMNYIMA MWENZIO NAWEWE UTAONA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uombaji wa kitu na kunyimwa. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na matatizo, ambaye alienda kuomba msaada kwa mwenzake. Huyo mwenzake alimnyima yule aliyekuwa na matatizo. Watu walioelewa kwamba amemnyima mhitaji huyo, walimwambia kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo maishani mwake. Mtu huyo huwanyima wenzake waendao kumuomba msaada wake. Kwa hiyo basi, akienda kuomba msaada naye atanyimwa kwa sababu naye huwanyima wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa wakarimu maishani mwao, ili nao waweze kusaidiwa watakapohitaji msaada kutoka kwa wenzao, kwa sababu nao huwasaidia wenzao hao wanaohitaji msaada wao.

Luka 16:38.

poor-kids

 

 

ENGLISH: YOU HAVE REFUSED TO HELP YOUR FELLOW, YOU ALSO SHALL SEE IT.

This saying stems from objection and deprivation. There was a person who had problems and went to seek help from his/her friend, but he/she was refused. People who knew that the needy person was refused from being helped they told him/her that, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying can be compared to someone who is greedy in his/her life. It is likened to a person who refuses to help his/her fellows. Such a person is likely not to be helped when he/she seeks for a help whenever he/she faces problems. This is why people say, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying teaches people to be generous in their lives so that they can be helped when they need help from their fellows.

Luke 16:38.

335. MHUNDU JILIGILING’HANYA HA KAWINGA KA NHYEHU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’utuji bho mhundu hawinga bho bhanhu bhalyehu. Ulu munhu uyo alitola alinhyehu, abhanhu nabho bhagayegaga bhayutula na mhundu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga chiza na bhichabho. Uwikaji bho bhanhu bhenabho bhulisawa na winga, ubho bhuli na bhuyegi bhutale, kunguno yabhoyi gwikala na b’uyegi bhunubho. Ubhunubho hu winga bho nhyehu, uyo agabhizaga na bhuyegi bhutale umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhulyehu ubhogudula gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kabho.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

KISWAHILI: VIGELEGELE VINASIKIKA KWENYE HARUSI YA MPOLE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa vigelegele kwenye harusi ya watu wapole. Mtu anayeoa akiwa mpole, watu nao hufurahia sherehe yake kwa kupiga vigelegele. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huishi vizuri na wenzao. Maisha hayo ni sawa na harusi yenye furaha kubwa, kwa sababu ya wao kuishi kwa furaha na watu wao. Hiyo ndio harusi ya mpole, ambaye huwa na furaha kubwa maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

black-and-white wedding

couples

 

ENGLISH: JOYFUL VOICES ARE HEARED AT A GENTLE’S WEDDING

The source of this saying is wedding ceremony where couples are presumed to be gentle in terms of their behaviour. When a gentle man/woman marries people enjoy his/her wedding by singing joyful songs. This is why people say, ‘joyful voices are heard at a gentle’s wedding.’

Such a saying can be compared to people who live well with their neighbours. This kind of life can be likened to happy marriage because they live happily with their neighbours.

This saying teaches people about being gentle enough in order to be able to live peacefully with others.

Revelation 19: 7 = 9.

Acts 2:46.