342. LUPUNDU LWA MUNDA LUDIGWIWAGWA,

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutuji bho lupundu. Ulupundu lugatulagwa na munhu uyo oyegaga. Abhanhu b’agulwigwa ulupundu lunulo. Aliyo lulu, ulu lulimugati ya ng’wa munhu ulupundu lunulo, bhadudeb’a abhangi igiki alitula lupundu. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhuyegi ubho bhulimung’holo ya ng’wa munhu.  Ulu adabhufunijije  hanze mudubhub’ona na hangi mudubhudeb’a. Gashinaga lulu ilichiza umunhu ng’wunuyo abhuyombe bho gutumila ilaka lwakwe. Huanawene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuyomba ubhuyegi bhobho bho malaka gabho.

Luka 1:14-43.

KISWAHILI: KIGELEGELE CHATUMBONI HAKISIKIWI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa vigelegele. Kigelegele hupigwa na mtu ambaye amefurahia kitu au tukio furani maishani mwake. Watu watavisikia vigelegele hivyo. Lakini basi, kigelegele hicho kikiwa ndani ya mtu furani, hawataelewa wengine kuwa mtu huyo amefurahia kitu fulani, ana sababu hiyo ya amepiga kigelegele. Ndiyo maana watu husema kwamba. ‘Kigelege cha tumboni hakisikiwi.’

Msemo huo hulinganishwa na furaha iliyomo kwenye roho ya mtu. Asipoionesha furaha hiyo hamtaelewa. Kumbe basi, ni vizuri mtu huyo aiseme furaha hiyo sauti yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘lupundu lwa munda ludigwiwagwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelezea furaha yao kwa sauti zao wenyewe.

Luka 1:14-14.

happy people

 

ENGLISH: AN INSIDE JOY CANNOT BE HEARED.

The source of the above saying comes from someone who would like to express his/her joy. Under normal circumstances, joy is always shared with others. It can be voiced up for others to hear and enjoy as well. But when joy is internally expressed, others will not have a chance to hear or enjoy it. This is why people say, ‘an inside joy cannot be heared.’

This saying can be likened to the joy that is in someone’s soul. It cannot be heared unless one deliberately shares with others. This saying teaches people about expressing their happiness in their own words.

Luke 1: 14-14.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.