Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jigitanagwa kuli, na bhutale bho ng’wa Welelo. Ikuli yiniyo igikalaga ng’wiwe, aliyo Iweleolo igaisolaga kihamo nugwib’isa goyo, ung’wiwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki adulile gung’wib’isa Uwelelo, guti kuli iyo igikalaga ng’wiwe. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhagahayaga giki bhadalacha, kunguno bhadabhumanile ubhutale bho ng’wa Welelo.
Abhanhu abho bhab’udeb’ile ub’utale bho ng’wa Welelo, bhagab’awilaga abhichabho bhenabho, giki, Uweyi adib’isagwa kunguno alintale noyi. Ulu uhaya gunsola munhu oseose, agunsola duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuzunya ubhutale bho ng’wa Welelo na gwiyangula gwikala gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 3:8-13.
Yona 1:15-17.
KISWAHILI: MUNGU NI MKUBWA AMEMLA NA MJUSI KWENYE JIWE
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho huitwa mjusi, na ukuu wa Mungu. Mjusi huyo huishi kwenye jiwe. Lakini Mungu alimchukua pamoja na kujificha kwake kwenye jiwe hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiri kwamba aweza kujificha mbele ya Mungu, kama yule mjusi aishiye kwenye jiwe. Kwa hiyo basi, watu hao husema kwamba hawatakufa, kwa sababu ya kutokuufahamu ukuu wa Mungu.
Hali hiyo huwalazimu wale waufahamuo ukuu wa Mungu, kuanza kuwaeleza juu ya ukweli huo. Hakuna awezaye kujificha mbele ya Mungu, kwa sababu ya ukuu wake. Yeye akitaka kumchukua mtu yeyote, humchukua tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kutoa malezi mema kwa watu wao juu ya ukuu wa Mungu maishani mwao, na kuamua kuishi kama atakavyo Yeye.
Mwanzo 3:8-13.
Yona 1:15-17.
ENGLISH: GOD IS GREAT, HE HAS EVEN TAKEN THE LIZARD’S LIFE
The source of this saying is the greatness of God and the life of lizard. The lizard lives in rocks. But God took its life.That is why people say, “God is great, he has even taken the lizard’s life.”
The saying is compared to a man who thinks that he can hide from the presence of God like the lizard does in rocks. So, these people do not know the greatness of God and they think that they will not die.
The people who know the greatness of God tell those who are ignorant about Him that no one can hide from God because He is great. If He wants to take anybody He will do so. That is why people say, “God is great, he has even taken even the lizard’s life.”
The saying teaches people about acknowledging God’s greatness and deciding to live as God wants them to be.
Genesis 3: 8-13.
It is 1: 15-17.