Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ijo jitali jisebhu. Ijiliwa ulujinjiwa ahaliko jigabhizaga jisebhu noyi. Abhanhu abho b’alijilya jib’abishaga. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhamala ugulya bhagayombaga giki, ‘dalya jiseb’u.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhatimlyaga ng’holo abhasatu bhabho na bhanhu abho bhalinabhasatu, bho gubhawila giki abhasatu bhenabho bhagupila duhu. B’agab’achalaga gusitali bhagaping’wa na gwinhiwa b’ugota. Gashinaga lulu, akahayile kenako kalikigisije kabhanhu bhenabho ulu umo obho ainansatu, bhagahaga giki, ‘dalya jiseb’u.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higuya ya kubhalunguja bho gubhachala gusitali abhasatu bhabho, kugiki, bhapile wangu.
Yakobo 5:14-16.
KISWAHILI: TUMEKULA CHA MOTO
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula chenye moto. Chakula hicho mhusika akikitoa motoni huwa kina moto sana. Watu wanaokila huwaungaza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwafariji wagonjwa na watu wenye wagonjwa, kwa kuwaambia kwamba, wagonjwa wao watapona tu. Watu hao huwapeleka wagonjwa hospitalini kwenda kupimwa na kupatiwa matibabu sahihi. Kumbe basi, msemo huo ni namna ya kusalimiana ya watu hao, kama mmoja wao, anamgonjwa, husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwafariji vizuri wagonjwa kwa kuwapeleka hospitalini, ili wakaweze kupatiwa matibabu yanayotakiwa kwao na wapone haraka.
Yakobo 5:14-16.
ENGLISH: WE HAVE EATEN WHILE TOO HOT
This saying comes from eating hot food. When the food is released from the fire, it is usually hot. The people who eat such food get burned.That is why people say, “we have eaten while it is hot.”
The saying is compared to people who comfort the sick and the people who are taking care of them, by telling them that their patients will recover from the illness. These people also take patients to hospital for medical examination and treatment. In fact, the saying is a form of greeting to people if one of them is sick. They, therefore, say, “we have eaten while it is hot.”
The saying teaches people how to comfort patients by taking them to hospital so that they can receive treatment and recover quickly.
James 5: 14-16.