sayings

473. WINGA BHO MISHANGO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wingi bho ng’wa munhu, ubho bhuli bho mishango, nulu bho wangu wangu.  Uwingi bhunubho, bhudulile gubhiza bho guja akunhu alipela, nulu bhoguja agusiminzaga. Uwingi bhunubho, hubho bhuli bho mishango. Hunagwene abhanhu abho obhaleka, bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo, ‘winga bho mishango.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo otabhanyiyagwa mhayo, nulu nimo uyo guli ndito, wiyangula gwinga hoyi. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga umowitile, hunagwene agiyangulaga gwinga hoyi, kunguno ogulemelagwa umhayo, nulu unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abhanganhayaga giki, ‘winga bho mishango.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guchola nzila ja gugamala chiza, amakoye ayo bhalinago, gutinda ugugapela, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

KISWAHILI: AMETOKA MKIKIMKIKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uondokaji wa mtu ambao ni wa kazi kutoka sehemu aliyokuwepo. Uondokaji huo, waweza kuwa wa kukimbia, au wa kutembea kwa haraka. Uondoka wa anina hiyo, ndio unaoitwa wa mkikimkiki. Ndiyo maana watu wale aliowaacha mtu huyo, husema, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ameelemewa na tatizo au neno fulani, ambalo ni zito kwake, mpaka akaamua kuondoka. Mtu huyo, hushindwa kugundua njia nyingine ya kulitatulia tatizo hilo. Hali hiyo, husababisha kwake kufikia uamuzi wa kutoka kwa kazi, kwa sababu ya kulemewa na tatizo au kazi hiyo. Ndiyo maana, watu husema juu ya mtu huyo, kwamba, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kutafuta njia za kuyatatua vizuri matatizo waliyonayo, badala ya kuyakimbia, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

bhalindi bha bhabhumbi

male1

ENGLISH: ONE HAS LEFT HERE HASTLY.

The origin of the above saying is the forced departure of a person from a certain place. The departure can be through running or walking. This forced departure of an individual can make people describe it using the saying that ‘one has left here hastly.’

The saying can be compared to a person who is burdened with a problem or word, which is too heavy for him to bear until he decides to quit from it. This person might be unable to find ways to solve it as a result he/she can force himself/herself to quit the place.

The saying teaches people about having patience in order to allow them to find ways to better solve their problems. Running away from them does not help to solve them.

Matthew 2: 13-15.

Exodus 2:11 – 15.

Genesis 27:41 – 45.

472. DALI NAWE HAHA DUHU WINGA KAB’ALAKA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile munhu uyo alihoya na bhiye kihamo. Umunhu ng’wunuyo, ulu winga kakanza kadoo ukunhu alisendamila gushoka ahabhiye henaho, agahayiyagwa giki, wingaga kab’alaka. Hunagwene  abhiye abho olinabho bhenabho, bhagayombaga giki ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho kihamo, na bhowiyigwi bhutale. Abhanhu bhenabho, bhagilagaga ulu umo obho uhaya gwinga hoyi.

Abho obhalekaga, bhaganindilaga bho wisagiji ung’wichabho ng’wunuyo, kunguno, bhamanile igiki agushoga duhu umumilimo yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kugutumama milimo yabho kihamo, na gulindila bho wisagiji, amafumilo ga milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

Yohana 16:16 – 20.

KISWAHILI: TULIKWA NAYE AMEONDOKA HIVI KARIBUNI.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyekuwa anaongea pamoja na wenzake, akaondoka kwa muda. Mtu huyo akiondoka kwa dharua huku akitegemea kurudi baadaye, huelezewa kwamba, ameondoka hivi karibuni. Ndiyo maana wenzake aliowaaha hapo, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa pamoja, na kwa uelewano mkubwa. Watu hao, huagana endapo mmoja wao akitaka kuondoka hapo.

Wale aliowaacha humsubiri kwa matumaini, kwa sababu wanaelewa kwamba, atarudi ili waweze kuendelea na majukumu yao pamoja. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umoja, na kusubiri kwa matumaini, matokeo ya kazi zao hizo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yohana 16:16 – 20.

bhakima walitumama milimo

african-woman-

ENGLISH: WE WERE WITH HIM; HE HAS LEFT JUST NOW.

The source of the saying is coming from a person who was talking with his colleagues then left for a while. When the person leaves the scene with an expectation to return later, it is explained that he has left just now. That’s why his/her friends will say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying can be compared to those people who do their jobs together and with great harmony.

Those he/she has left will wait for him/her with hope, because they understand that he/she will return soon to carry on their responsibilities together. That’s why those people can say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying teaches people about doing their jobs together. This can enable them to finish their works on time and in a successful manner.

John 16:16 – 20.

466. NDILO IGIKUBHAGA MINZI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ndilo iyo igikalaga muminzi. Indilo yiniyo, igabhizaga guti ilikubha, umuzingi genayo, kunguno yigigushaga moyi na bhuyegi.

Aliyo lulu, ulu gukama aminzi genayo, igazongaga noyi, kunguno ya guduma uguweshema, mpaga nose nulu gushigila gucha, ulu gadigelaga minzi. Hunagwene abhanhu bagayomgaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alinsabhi. Umunhu ng’wunuyo adayungayungaga ukubhanhu, kunguno ya jikolo jakwe jinijo. Aliyo lulu, ulu jushila ijikolo jinijo, agabhizaga na soni, nulu guja ng’wa ng’wiye agadumaga.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na ndilo, iyo igikubhaga minzi, kunguno nang’hwe agikalaga hakaya yakwe, ayegile na sabho yakwe, ahajitali ughushila. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhahabhi, ahikanza lya bhupandiki bhobho. Igelelilwe bhikale na bhanhu bhose, bho nduhu ugubhadalaha, kunguno ya bhuhabhi bhobho.

Yohane 15:5.

KISWAHILI: SAMAKI HUOGELEA MAJINI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia samaki anavyohuishi majini. Samaki huyo, huwa anaogelea kwenye maji hayo, kwa sababu ya yeye kujisikia kuwa na furaha ndani ya wingi wa maji hayo.

Lakini basi, maji hayo yakikauka, yeye huhuzunika sana, kwa sababu ya kushindwa kupumua. Hali hiyo, yaweza hata kupelekea kifo chake, endapo maji yatakawiya kuja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri. Mtu huyo huwa hatembeyi sana kwa wenzake, kwa sababu ya mali zake hizo. Lakini basi, mali hizo zikiisha hujisikia aibu, hata kwenda kwa wenzake.

Mtu huyo hulinganishwa na samaki aogeleaye majini, kwa sababu naye huishi nyumbani kwake, akizifurahia mali zake hizo, wakati bado hazijamwishia. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau maskini, wakati wao wana mali. Yafaa waishi na watu wote vizuri, bila ubaguzi wa kuangalia mali.

Yohane 15:5.

channel-catfish

trout ndilo

ENGLISH: FISH SWIMS INTO WATER.

The source of this saying is the life of fish and how it enjoys swimming into deep water. The fish likes swimming in water because it enjoys that kind of life. When water dries, its survival can be very difficult. It can die. This is why people say ‘fish swims in water’ to indicate the absence of another life for fish out of water.

The saying can be compared to rich people who are very proud of their richness. They live in their spacious houses and every service is in their reach. But, when they run bankrupt, they suffer to the extent of seeing hell in their life. They appear like a fish that has been forced to live out of water.

The saying teaches people about how to stop despising the poor. They need to understand that possession of properties is not a permanment state rather it can change any time. Therefore properties should not separate people.

John 15: 5.

463. UYAGACHOBHAGA MBUKI ADANOGAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhoji bho mbuki ya ginhu, nulu mhayo nhebhe. Ubhuchoji bho mbuki bhonubho, bhugamanaga bhunchala bhutongi, unchoji oyo, kunguno bhuli jito, jili na guno yajo. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe yombo bhuli likanza. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na widumi na bhanhu, umukikalile kakwe, kunguno ya wikolosha bhokwe.

Uweyi, agalenganijiyagwa na munhu uyo agachobhaga mbuki bho nduhu ugunoga, kunguno nang’hwe adanogaga, uguyuyoga na bhanhu. Hunagwene abhanhu abhagang’wilaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gutoga yombo ya gwiduma na bhanhu, kugiki, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwijaji bhobho.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

KISWAHILI: MTAFUTA CHANZO HACHOKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia utafutaji wa chanzo cha kitu au neno fulani. Utafutaji huo, huendelea kumpeleka mbele mtafutaji wake huyo, kwa sababu kila tendo, au neno lina chanzo chake, au sababu ya kuwepo kwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda ugomvi kila wakati. Mtu huyo, huwa na ugomvi na watu karibu kila wakati, kwa sababu ya ukorofi wake.

Yeye hulinganishwa na mtu yule atafutaye chanzo cha kila tendo au neno, bila kuchoka, kwa sababu naye, huwa hachoki kuishi katika ugomvi na watu mbalimbali. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kupenda kelele za kutafuta ugomvi na watu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

music

masai- africa

ENGLISH: HE WHO LOOKS FOR QUARREL DOES NOT GET TIRED.

The source of this proverb is a person who looks for source of something. It makes someone keep on looking for it until he/she reaches a point of knowing the source of what he/she is looking for. Such a person can be described using the proverb that ‘he who looks for quarrel does not get tired.’

The proverb can be compared to a person who likes quarrels. Such a person always has quarrels with people because of his/her nuisance. Such a person can dig deeper without getting tired despite being hated by some people who might be not interested in that truth.

The proverb teaches people about ignoring the quarrel-seeking behaviours. This will enable people to have a peaceful life in their families.

Matthew 4: 3.

John 11: 47-48.

462. DUKOBHE IKUBHI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchoji bho likubhi. Ulu kaya yupandika ngeni, igakobhaga ikubhi bho gubhulaga ngoko, mbuli, nulu ng’ombe.

Untugo uyo gugabhulagagwa gunuyo, hilikubhi lya ngeni ng’wunuyo, ilya gulila umubhugali ubho alitengelwa. Agazugilagwa nyama ya gubhulila ubhugali bhunubho. Hunagwene abhanhu, ulu bhapandika ngeni, bhagayomgaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalina wizang’holo, bho gubhakalibhusha chiza abhageni. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagabhasumbilaga chiza, abhageni bhabho, bho gubhinha bhulalo, na jiliwa ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulu bhapandikaga bhageni, bhagayombaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizang’holo, bho gubhasumbila chiza, na gubhabhegeja jiliwa ja wiza, abhageni bhabho, kugiki bhadizukoya, umubhugeni bhobho bhunubho.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

KISWAHILI: TUTAFUTE MBOGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utafutaji wa mboga. Familia ikipata mgeni, hutafuta mboga kwa kumchinjia kuku, mbuzi, au ng’ombe.

Mfugo huo, ni nyama iyopikwa kama mboga ya mgeni huyo, ambaye huitumia wakati wa kula ugali wanaompelekea. Ndiyo maana watu wakipata mgeni, husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hulinganishwa na familia ya watu, ambao wana ukarimu wa kuwakaribisha vizuri, wageni wao. Watu waliopo kwenye familia hiyo, huwapokea vizuri wageni wao, kwa kuwapatia chakula. Ndiyo maana watu hao, wakipata wageni husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwawezesha kuwapokea vizuri, wageni wao, na kuwaandalia chakula kizuri, ili watu hao wasipate matatizo, kwenye ugeni wao huo.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

cows-

steak-

ENGLISH: LET’S LOOK FOR MEAT.

The source of this saying is looking for meat to feed the visitor. When a family gets a visitor, they are expected to look for something precious to be eaten by the visitor. It can be chicken, goat, cow, etc. Then the meat has to be cooked as sauce to be eaten with ugali. Meat is regarded as something precious to honour the visitor. This is why people will say ‘let us look for meat’ in order to show appreciation to the visitor for paying visit to their family.

The saying can be compared to a family of people who are hospitable to their visitors. The members of the family can provide visitors with good food to enjoy their stay.

The saying teaches people about generosity by welcoming visitors and giving them good food and other services that can make them enjoy their stay.

Matthew 22: 4.

Luke 15: 11-25.