sayings

458. NGOMIKALA AGAJA NG’WA MIKANGAYO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa Ngomikala ng’wa Mikangayo, uyo ajikala hoi bho shigu ningi. UNgomikala agangeniha uMikangayo ugigasha hoyi nang’hwe mpaka jibhita shiku ningi, kunguno bhalibhanwanile. Hunagwene aho jakwila ishigu alikunuko, abhanhu bhuyomba giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitogilwe, umubhunwani bhobho. Abhanhu bhenabho bhagigenihaga bhagikala kihamo bho shigu ningi.

Abhoyi bhagabhonaga jidamu ugulekana, kunguno ya witogwi bhobho, umubhunwani bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi na bhanhu bhabho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

KISWAHILI: NGOMIKALA ALIENDA KWA MIKANGAYO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Ngomikala kwa Mikangayo, aliyeishi huko kwa muda wa siku nyingi. Nkomikala alimtembelea Mikangayo akaenda kukaa naye mpaka zikapita siku nyingi, kwa sababu walikuwa marafiki. Ndiyo maana watu walipogundua hivyo walisema  kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana katika urafiki wao. Watu hao, hutembeleana na kwenda kuishi pamoja kwa muda wa siku nyingi.

Wao hujisikia vigumu kuachana kwa sababu ya upendo walio nao kati yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

people-familiy

ENGLISH: NGOMIKALA WENT TO MIKANGAYO.

The source of the saying comes from Gomikala and Mikangayo who used to be good friends. Nkomikala visited Mikangayo and stayed with her until many days later, because they were friends. That is why when people found out, they said, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying can be compared to those people who love each other in their friendship. Such people visit each other and go to live together for some days.

They feel difficult to separate because of the love they have between them. That is why people say, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying teaches people about having love that enables them to live together for the wellbeing of their families and their lives as well.

Proverbs 17:17.

Romans 12:10 Phil 1: 9.

John 10:11.

453. KWILUNGU BHADAJAGA LWA KABHILI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuzugi bho walwa ubho bhudapile. Ulu walwa bhuzuga, aliyo bhukija ugupya chiza, ilihumbi lyabho lidashokejiyagwa. Gashinaga lulu, ibhelelile bhuzugwe bhungi uwalwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo, nulu milimo yakwe, bho nduhu ugwita bhukengeji bho gudula gung’wambilija uguimala chiza.

Uweyi agitimbukilagwa wandyaga nimo, nulu mhayo, bho nduhu ugugamana amakoye ayo gadulile gwilonga, umunimo, nulu mhayo gunuyo. Hunagwene abhanhu, ulu gigela makoye umunimo gokwe, bhagayomgaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho milimo yabho chiza, haho bhatali ugwitumama, kugiki bhadule ugugiliga amakoye ayo gakomile gwigela, umubhutumami bho milimo yabho.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

KISWAHILI: MPIKO WA POMBE YA KIENYEJI HAURUDIWI MARA YA PILI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upikaji wa pombe ambayo haijaiva. Pombe ikipikwa ikakosewa kupikwa ikawa haijaiva vizuri, hairudiwi kupikwa tena. Kumbe basi, yafaa ipikwe pombe nyingine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye hufanya kazi zake bila kufanya utafiti wa kumwezesha kuzimaliza vizuri.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kukurupuka, bila kuangalia kwanza matatizo ambayo, yaweza kutokea kwenye kazi hiyo, ili kuzifahamu njia za kuyatatulia.

Ndiyo maana akitapata matatizo kwenye kazi anayoifahanya mtu huyo, watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kazi wanazotaka kuzifanya, kabla ya kuzianza, ili waweze kuyakwepa matatizo ambayo yanaweza kutokea kwenye kazi hizo.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

IMG_20190709_111321_5

ENGLISH: THE COOKING OF THE TRADITIONAL BREW IS NOT REPEATED.

The source of the saying comes from half-cooked local brew. If a cook hasn’t cooked properly her local brew, there is no possibility of orrecting the mistake. The solution is to cook another brew. This is why people say ‘the cooking of the traditional beer is not repeated’.

The saying can be compared to a person who performs his/her tasks without doing research that can enable him/her to finish it properly. Such people perform their tasks without first looking at problems that may arise and find ways to resolve them.

The saying teaches people about researching before engaging in actual performance of tasks one wants to do. This can help them to avoid problems in future.

Heb 9:12.

Mark 14:25.

452. ICHEMBILE INGELE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kungele iyo yatinwa yugeha. Ingele jilijipimilo ja wiguliji bho jiliwa guti: bhusiga, mandege,  ng’haranga na jingi ningi.

Ingele yiniyo, ulu yutinwa igadohaga yilema ugutumilwa hangi, kunguno ulu yupimilwa, idulile gubhagopa abhiguliji. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa giko bho mbisila, kunguno, ulu umana igiki aliwilwa adina go amasala, adulile gukolwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo, lya guichagula mihayo iyo iliyawiza, ulu bhalihoya na bhichabho, kugiki bhadule ugwikala chiza nabho.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

KISWAHILI: KIPIMO KIMEKATWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kipimo kilichokatwa kikapungua ukubwa wake. Kipimo ni kitu kinachotumika wakati wa kuuziana mazao ya chakula kama vile: mtama, mahindi, karanga na vingine vingi.

Kipimo hicho kikikatwa hupungua ukubwa wake. Hali hiyo hukifanya kisifae tena kutumika katika kupimiana mauziano, vinginevyo watapunjana wale wanaouziana kitu hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Mtu huyo huambiwa hivyo, kwa mafumbo na wenzake, kwa sababu akigundua kuwa, watu wanamwambia kuwa, hana akili, atakasirika. Ndiyo maana watu kusema kwamba, mtu huyo ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuchagua maneno yaliyo mazuri, wakati wanaongea na wenzao, ili waweze kuishi vizuri nao.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

horizontal-scale1

african ichembile

ENGLISH: THE SCALE HAS BEEN CUT.

The source of the saying comes from a cut-off dimension. The scale is something used when selling food products such as: sorghum, maize, nuts and many others.

When the scale is cut, it decreases its size. This makes it no longer useful for measuring the items to be sold. That’s why people can say, ‘the scale has been cut’ to mean reduction of its actual size.

The saying can be compared to a person who has no sense. Such a person is told in parables in order to make him/her not understand that his/her ability to think is relatively low. The saying teaches people about the wisdom of choosing the right words when talking to their peers. This can help them to have peace all the time.

Jeremiah 4:26.

Ecclesiastes 10:3.

451. CHEMBELAGA AHA IKAYA YANE NHALE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhaligabhanha nyama. Aliyo lulu, umubhugabhani bho nyama yiniyo, uumo obho aligongeja guchembelwa nyama nhale, gitumo atogelilwe uweyi. Hunagwene agayombaga giki, ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga ginhu bho lugoto, nulu bho gung’ang’anila. Uweyi ahayile nulu gwisolela nu wei ng’winikili, kunguno ya wigongeja bhokwe, ubho guhaya apandike iginhu ginijo, gitumo atogelilwe weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki. ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gulomba ginhu bho gung’ang’anila, kugiki bhadule gwinhiwa ijo bhalijilomba. Igeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhizuke na bhichabho, ulu bhalilomba ginhu jilebhe.

Zaburi 78:15.

Yakobo 1:15.

2Petro 3:3.

Yuda 1:18-21.

KATIA HAPA MJI WANGU NI MKUBWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu wanaogawana nyama kwa kukatiana. Lakini basi, katika kugawiana kwa nyama hiyo, mmoja wao hutaka kukatiwa kipande kikubwa kama atakavyo yeye. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba kitu kwa kung’ang’ania. Yeye hutaka hata kujichukulia mwenyewe, badala ya kusubiri kupewa na mhusika, kwa sababu ya ung’ang’nizi wake.

Yeye hutaka kupewa kipande kikubwa cha nyama hiyo, kama atakavyo yeye, bila kuwajali wenzake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuomba kitu kwa kung’ang’ania bila kuwajali watu wengine, ili waweze kupewa kile wanachokiomba. Yafaa pia watu hao, wawajali wenzao, wanapoomba kitu fulani.

Zaburi 78:15.

 Yakobo 1:15.

 2Petro 3:3.

 Yuda 1:18-21.

cut-meat

ham

ENGLISH: CUT IT HERE, MY FAMILY IS BIG.

The source of the saying comes from people who share meat. In the distribution of the meat, one of them wants to cut as big piece of it because of having a big family to feed. That is why he/she says, ‘cut it here, my family is big.’

The saying can be compared to aperson who asks for something persistently. He/she even wants to take it upon himself/herself rather than waiting to be given by the distributor in a fairly manner. Such a person can be labelled as selfish; he/she doesn’t consider his/her fellow in the distribution of available resources.

The saying teaches people to stop the tendency of being selfish rather care for others as well. In so doing people will be able to respect each other thus creating a very peaceful society.

Psalm 78:15.

James 1:15.

2 Peter 3: 3.

Jude 1: 18-21.

448. GUJA KUMASOSO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho gujunjika munhu, uyo ozumalikaga. Uguja ukumasoso, munho juga kujunjika munhu ng’wunuyo, uyo uchaga.

Ulu ucha munhu, abhanhu bhagibhilingaga guja kujunjika umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhukaga ‘guja kumasoso.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina miito gisungu lya guchajika abhachi. Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga na abhiye, ugujubhajika abhachi bhabho bhenabho. Hunagwene bhagabhukaga, ‘guja kumasoso,’ ulu gigelaga.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhajika abhachi bhabho, na gubhalunguja abho bhachililwe, umuwikaji bhobho.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

KISWAHILI: KWENDA KILIONI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa  kwenda kumzika mtu aliyefariki. Kwenda kwenye kilio, maana yake ni kwenda kumzika yule aliyefariki.

Akifa mtu, watu hualikana kwenda kumzika. Ndiyo maana watu huamua ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana matendo ya huruma kwa wafu. Mtu huyo, kuwahimiza pia wenzake kwenda kuwasika wafu wao.  Ndiyo maana huwaalika wenzake ili waweze huanza safari ya ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma kwa wafu wao, ili waweze kuwazika vizuri, na kuwafariji wale waliofiwa na wapendwa wao.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

people-burial

ENGLISH: GOING TO THE MOURNING.

The source of the saying comes from the process of burying a dead person. Mourning means celebrating the death of a person. When someone dies, people are invited to go and bury him/her. That’s why people can say, ‘going to the mourning.’

The saying can be compared to a person who has acts of compassion for the dead people to the extent of inviting others to attend burial ceremonies in order to honour the dead individuals.

The saying teaches people about being compassionate to their dead persons. They should bury them in a very respectable manner.

John 11: 18-19.

2 Corinthians 1: 4.