sayings

489. BHALIKOYA NA NG’HULWA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola ng’hulwa. Ing’hulwa jili nhalanga ijo jigasagilaga hasi, ulu guteng’wa amatina. Ijoyi jigabhizaga jiti ningi ja gushiga nulu heyi, kunguno iningi ojitema ung’winikili ngunda. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agabhawilaga abhanhu giki, ‘bhalikoya na ng’hulwa.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ugihayaga bhusabhi ukubhanhu. Umunhu ng’wunuyo, nulu agagwasha mihayo adulile nulu gujinja ntugo gumo duhu, upandika hela ja guhebhela ikeyi yakwe.

Uweyi agahayaga giki, bhalikoya na bhushigo duhu, unigo untale gulihoyi na adinagukumya nulu hadoo. Uweyi adulile nulu gung’wa walwa, ubhawila abhanhu giki, bhalikoya na bhushigo duhu, iningi winajo. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘bhalikoya na ng’hulwa,’ inhalanga ujikula, jilimukaya yakwe.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwigimbila bhusabhi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Idichiza ugwimbila ginhu josejose, kunguno jidulile gushila makanza gosegose.

Luka 12:15-21.

Luka 21:1-4.

KISWAHILI: WANAHANGAIKA NA MABAKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mabaki ya mazao ya chakula shambani. Mabaki hayo, ni kalanga ambazo hubakia baada ya mkulima kuzivuna. Zenyewe huwa hazibaki nyingi, kwa sababu nyingi huwa zimevunwa na wenyewe shamba hilo. Ndiyo maana mwenye shamba hilo, huwaambia watu kwamba, ‘wanahangaikia mabaki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitapa na kujigamba kwa watu, kwa sababu ya utajiri wake. Mtu huyo, hata akipata kesi, huweza kuuza hata ng’ombe mmoja tu, akapata hela ya kuimaliza kesi yake hiyo.

Yeye huwaambia watu kwamba, waanahangaika na mabaki tu, mzigo mkubwa umo ndani, ambao haujaguswa hata kidogo. Yeye anaweza hata kunywa pombe, na kuwaambia wenye pombe hiyo kwamba, wanahangaikia mabaki tu, kwa sababu ya wingi wa mali zake hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘wanahangaikia mabaki,’ mali ameziweka ndani kwake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kujivunia utajiri, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao. Yafaa waelewe kwamba, siyo vizuri kutambia kitu chochote, kwa sababu kitu hicho chaweza kuwaishia wakati wowote.

Luka 12:15-21.

Luka 21:1-4.

nhalanga

groundnuts

nuts

ENGLISH: THEY ARE EXCITED BY THE LEFT-OVERS.

The source of this saying is the left-overs of food or crops. These left-overs can be remains of food after someone has eaten to his/her satisfaction. It can also mean crops left behind after the owner of the farm has harvested and then someone else comes to gather the remains of crops. Such people are being described using the saying that ‘they are excited by the left-overs.’

The saying can be compared to a person who praises himself/herself for being rich. Such a person can even be engaged in a criminal case and bribe people to end the case. These kinds of people can openly tell others that he/she lives a kind of life that others cannot afford rather end up eating or drinking his/her left-overs. In return, the poor can be happy for having the lef-overs because that is only what they can afford.

The saying teaches people about giving up the pride of wealth so that they can live better with others in the society.

Luke 12: 15-21.

Luke 21: 1-4.

488. OBYAJA GWASHI.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhubyaja bho ginhu ijo jalijidiganikilagwa gwigela. Ubhubyaja bhunubho, bhulibho gubhagwisha ng’holo abhanhu abhangi, kunguno bhalibhadasendamilile uguibhona iyo yabyajiagwa yiniyo. Hunagwene, abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo, giki, ‘obyaja gwashi.’

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo otumagwa mhayo nhebhe, uyo agashigaga koyi obyajaga mhano gungi. Umunhu ng’wunuyo, ulu ogashiga uko otumagwa agayombaga heke duhu.

Uweyi agalenganijiyagwa nu munhu uyo obyajaga mihayo yakwe iyo bhalibhadiyiiganikilaga abhanhu abho bhantumaga, kunguno nanghwe agagugaluchaga umhayo uyo otumagwa guguchala hanhu. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘obyaja gwashi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bhanghana umukikalile kabho, kugiki bhadule uguishisha chiza imihayo iyo bhatung’wa kuichala kubhichabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhayishishe jinabhunghana, imihayo iyo bhatung’wa guichala, bhadizuyigalucha.

Matendo ya mitume 5:1-5.

Yohane 8:31-32.

Mathayo 5:37.

KISWAHILI: UMEZALISHA MENGINE

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uundaji wa kitu ambacho hakikutegemewa kutokea au kuonekana. Uundaji huo, huwakatisha tamaa watu wengine, kwa sababu hawakutegemea kuyaona hayo yaliyozalishwa. Ndiyo maana watu hao humwambia mtu huyo kwamba, ‘umezalisha mengine.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametumwa neno fulani, aliyefika kule alikotumwa, akatunga neno jingine, badala ya lile alilotumwa kulifikisha. Mtu huyo, alipofika alikotakiwa kuufikisha ujumbe huo, alisema tofauti na alivyotumwa.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyezaliwa la kwake ambalo watu hawakutegemea kulisikia, kwa sababu naye alibadilisha neno alilotumwa kulipeleka, akasema tofauti. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘umezalisha mengine.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wakweli katika maisha yao, ili waweze kuufikisha vizuri ujumbe wa kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao. Yafaa, watu hao wawe wajumbe wa kuufikisha ukweli kwa wenzao, wanaoishi nao.

Matendo ya mitume 5:1-5.

Yohane 8:31-32.

Mathayo 5:37.

black-man

simu

ENGLISH: YOU HAVE PRODUCED ANOTHER ONE.

The origin of the saying looks at the creation of something that was not expected to happen or to be seen. The coming up of a new information, not the one intended, can discourage people who had a different expectation. This is why can describe this scenario using the saying that ‘you have produced another one.’

The saying can be compared to a person, to whom the word was sent, who arrived at the dispatch area and composed a different information instead of the one sent to convey. When he/she comes back to report, he/she comes with a quite different feedback that upsets those who sent him/her.

The saying teaches people about being truthful in their lives so that they can effectively convey the message as intended. This can help people to have peace of mind and be trusted.

Acts 5: 1-5.

John 8: 31-32.

Matthew 5:37.

485. GUCHA GULALA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchi na bhulaji, bho ng’wa munhu. Umunhu ulu ucha agabhizaga giti alalile duhu, hichene abhanhu bhagayombaga giko, kunguno ulu ulala bhagikalaga bhamanile igiki agumisha duhu.

Gashinaga lulu, umunhu ulu ucha gugachaga mili duhu, umoyo gokwe gugabhizaga gulimhola, mukikalile kangi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gucha gulala.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo amanile igiki bhulihoyi bhupanga bhungi, ulu gucha umili go ng’wa munhu. Umunhu ng’wunuyo, agikomeja gwikala chiza na bhanhu, bho gubhambilija umumakoye abho bhalilomba wambilija bhokwe, kugiki abhutumile chiza uwikaji bhokwe ubho ha welelo henaha.

Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga bhulangwa nabhiye, ubho gwikala chiza na bhanhu, haho bhatale nayo imimili yabho, kugiki bhadule gwingila chiza umubhupanga ubho myoyo yabho, kunguno umoyo gudachaga. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘gucha gulala.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhutumamila chiza ubhupanga bho mimili yabho, bho gwikala bho mholele na bhanhu, kugiki bhadule gwingila chiza, umubhupanga ubho moyo, ulu yucha imimili yabho.

2Wakorintho 5:4-10.

Waefeso 2:1, 4-6.

KISWAHILI: KUFA KULALA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kufa na kulala kwa mtu. Mtu akifa huwa kama amelala tu, ndiyo maana maana watu husema hivyo, wakiamini uwepo wake kwenye maisha mengine. Kwa maana hiyo, mtu akilala, wao huelewa kwamba ataamuka tu.

Kumbe mtu akifa ni mwili peke yake ambao hufa, roho yake huwa salama kwenye maisha mengine, ambayo huwa inayaanga, baada ya kuachana na mwili. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufa kulala.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, anafahamu kwamba, kuna uzima mwingine baada ya mwili wa mtu kufa. Mtu huyo, hufanya bidii ya kuishi na watu vizuri, kwa kuwasaidia wale wanaohitaji msaada wake, ili aweze kuutumia na kuumaliza vizuri muda wa ukaaji wake wa hapa duniani.

Mtu huyo, huwapa mafundisho wenzake ya kuishi vizuri na watu, wakati wakiwa pamoja na miili yao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa mioyo yao, kwa sababu, moyo haufi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kufa kulala.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia vizuri uzima wa miili yao, kwa kuishi maisha ya amani na wenzao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa roho, baada ya miili yao kufa.

2Wakorintho 5:4-10.

Waefeso 2:1, 4-6.

gulala lufu

gucha gulala

ENGLISH: TO DIE IS TO SLEEP.

The source of the saying is death and sleep. When a person dies, it appears as if he/she is asleep. People believe that there is another life after death. They look at the dead person in the same way they look at a person who sleeps. This is why they describe this scenario using the saying that ‘to die is to sleep.’

In a spiritual world, when a person dies, it is only the body that dies but his/her soul doesn’t die rather it separates with body and goes for another life; eternal life.’

The saying can be compared to a person who realizes that there is another life after death. This person can be forced to work hard to avoid committing sins so that his/her soul can have peace after the death of his/her body. Such people can help to teach others about the need to abide by God’s laws and commandments in order to make them reach heaven.

The saying teaches people how to make good use of life on earth by living a peaceful life with others. In so doing, they are preparing their own heaven while still on earth.

2 Corinthians 5: 4-10.

Ephesians 2: 1, 4-6.

479. UKULI WEYI UONGUZU JAFUMA JILIWA, UKULI WEYI UYO AGAJILWA BHUGAFUMA BHUNONU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile munhu uyo alinimi. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga inguzu jakwe, bho gulima mpaga jigela jiliwa. Ijiliwa jinijo, abhanhu bhagajilyaga bhapandika bhunonu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ukuli weyi uonguzu jafuma jiliwa, ukuli weyi uyo agajilwa bhugafuma bhunonu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agigulambijaga uguitumama imilimo yakwe, mpaga opandika matwajo mingi. Amatwajo genayo, gadulile gugalucha kikalile kahakaya yakwe, gufumila mubhugayiwa bho sabho, mpaga mubhupandiki bhojo. Umunhu ng’wunuyo, alina bhukamu bhutale ubho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agalenganijiyagwa nu nimi uonguzu, uyo agapandika jiliwa ja gulwa abhanhu bhakwe, kunguno nu weyi agapandikaga matwazo mingi agagufumila umubhutumami bhokwe, bhunubho. Amatwayo genayo, gagayinhaga sabho ikaya yakwe. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘ukuli weyi uonguzu jafuma jiliwa, ukuli weyi uyo agajilwa bhugafuma bhunonu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigulambija bho guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, ayo gadulile gujimalila bhuhabhi, ikaya jabho.

Mathayo 26:26-28.

Yahane 6:5-14.

KISWAHILI: KWAKE YEYE MWENYE NGUZU KILITOKA CHAKULA, KWAKE YEYE MWENYE KUKILA ULITOKA UTAMU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu ambaye ni mkulima. Mtu huyo, huzitekeleza kazi zake kwa kutumia nguvu zake, mpaka kinapatikana chakula. Chakula hicho, huliwa na watu, ambao hupata utamu wa kutoka kwenye chakula hicho.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kwake yeye mwenye nguvu kilitoka chakula, kwake yeye mwenye kukila ulitoka utamu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, hujitahidi kufanya kazi kwa bidii kubwa, mpaka hufaulu kupata mafanikio mengi maishani mwake. Mafanikio hayo, huweza kupadilisha maisha ya familia yake, kutoka kwenye umaskini hadi kwenye utajiri. Mtu huyo, ana bidii kubwa yiwezayo kumsaidia katika kuzitekeleza vizuiri kazi zake hizo.

Yeye hulinganishwa na mkulima, yule mwenye nguvu, aliyepata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake, mpaka wakapata mafanikio mengi yaliyobadilisha maisha ya familia yake. Mtu huyo, naye alipata mafanikio yaliyoiondoa familia yake kutoka kwenye umaskini hadi kwenye utajiri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kwake yeye mwenye nguvu kilitoka chakula, kwake yeye mwenye kukila ulitoka utamu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi yawezayo kuziondolea umaskini familia zao.

Mathayo 26:26-28.

Yahane 6:5-14.

nimi o madoke

ntanzania nimi o madoke.jpg

ENGLISH: TO HIM WHO HAS ENERGY COMES FOOD, TO HIM WHO HAS EATEN COMES SWEETNES.

The source of this saying is a farmer and his/her strength to produce food stuff.  The farmer carries out his/her duties of farming to make sure that he/she harvests for consumption. It is the eater of the food that will appreciate the sweetness of the food produced by the farmer. That is why people use the saying that ‘to him who has energy comes food, to him who has eaten comes sweetness’ to mean the way the two people depend on each other in the whole process of food production.

The saying can be compared to a person who works hard to the point of success; until you achieve great success in life. That success can change his/her family’s life, from poverty to wealth. The saying can also be compared to a powerful man/woman who has enough food to feed his/her people. The consumption of his/her produce can change his/her family’s life. These changes can include the shift from poverty to wealth.

The saying teaches people about being diligent. People have to carry out their duties in a manner that enables them to have good harvest in future for the betterment of their families.

Matthew 26: 26-28.

John 6: 5-14.

474. NAHAYIMANILA BHITULA BHANDEKA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhanhu abho bhalwaga mubhulugu, umugulwa ng’wenumo, uluganda ulumo lupela. Uluganda lunulo, lugapelaga kunguno ya guhewa, umubhulugu bhunubho. Hunagwene uyo obhahebhaga agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo utumamaga milimo mingi iyo ilimitale. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu na bhukamu bhutale bho guitumama imilimo yiniyo, mpaga uyimala chiza.

Uweyi agalenganijiyagwa na munhu, uyo obhapyenaga bhanishi bhakwe umubhulugu bhunubho, mpaga bhupela, kunguno nu weyi agayitumamaga milimo mingi na mitale, mpaga uyimala chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye uguitumama imilimo yiniyo, bhobhukamu bhutale mpaka guyimala. Hunagwene uweyi, ulu oyimala imilimo yiniyo, agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bhutale ubho bhudulile gubhambilija ijinaguitumama imilimo imingi na mitale, na guyimala chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

KISWAHILI: NIMESHTUKIA WAMETAWANYIKA WAMENIACHA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu ambao wako vitani, ambamo kundi moja huzidiwa, mpaka kufikia hatua ya kukimbia. Kundi hilo, hukimbia kwa sababhu ya kuzidiwa nguvu. Ndiyo maana yule aliyelishinda kundi hilo, husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, na kubwa mpaka kuzimaliza, maishani mwake. Mtu huyo, ana nguvu na bidii kubwa ya kumwezesha kuzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyewashinda maadui zake vitani, mpapa wakakimbia, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho, ambazo ni nyingi na kubwa.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuzitekeleza vizuri kazi hizo, kwa bidii kubwa mpaka kuzimaliza. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii kubwa ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi nyingi na kubwa, mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata maendelea makubwa maishani mwao.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

isoko

worker1

ENGLISH: THEY HAVE SUDDENLY RUN AWAY LEAVING ME ALONE.

The essence of this saying is groups of people at war where one group, after being overpowered, escapes. This group runs away to escape death or being captured as captives. The remaining group can describe this situation by using the saying that ‘they have suddenly run away leaving me alone.’

The saying can be compared to a person who does the most and greatest works in his/her life. Such a person has power and effort to enable him/her to carry out those tasks to the end. The saying can also be compared to a man/woman defeated in his/her struggle and decides to run away from competition, leaving others to move on.

The saying teaches people about having a greater effort to enable them to carry out more and more tasks and to finish them. This will enable them to have good life in future.

Luke 4: 1-13.

Matthew 26:55 – 56.

John 8: 1-11.