474. NAHAYIMANILA BHITULA BHANDEKA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhanhu abho bhalwaga mubhulugu, umugulwa ng’wenumo, uluganda ulumo lupela. Uluganda lunulo, lugapelaga kunguno ya guhewa, umubhulugu bhunubho. Hunagwene uyo obhahebhaga agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo utumamaga milimo mingi iyo ilimitale. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu na bhukamu bhutale bho guitumama imilimo yiniyo, mpaga uyimala chiza.

Uweyi agalenganijiyagwa na munhu, uyo obhapyenaga bhanishi bhakwe umubhulugu bhunubho, mpaga bhupela, kunguno nu weyi agayitumamaga milimo mingi na mitale, mpaga uyimala chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye uguitumama imilimo yiniyo, bhobhukamu bhutale mpaka guyimala. Hunagwene uweyi, ulu oyimala imilimo yiniyo, agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bhutale ubho bhudulile gubhambilija ijinaguitumama imilimo imingi na mitale, na guyimala chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

KISWAHILI: NIMESHTUKIA WAMETAWANYIKA WAMENIACHA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu ambao wako vitani, ambamo kundi moja huzidiwa, mpaka kufikia hatua ya kukimbia. Kundi hilo, hukimbia kwa sababhu ya kuzidiwa nguvu. Ndiyo maana yule aliyelishinda kundi hilo, husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, na kubwa mpaka kuzimaliza, maishani mwake. Mtu huyo, ana nguvu na bidii kubwa ya kumwezesha kuzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyewashinda maadui zake vitani, mpapa wakakimbia, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho, ambazo ni nyingi na kubwa.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuzitekeleza vizuri kazi hizo, kwa bidii kubwa mpaka kuzimaliza. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii kubwa ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi nyingi na kubwa, mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata maendelea makubwa maishani mwao.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

isoko

worker1

ENGLISH: THEY HAVE SUDDENLY RUN AWAY LEAVING ME ALONE.

The essence of this saying is groups of people at war where one group, after being overpowered, escapes. This group runs away to escape death or being captured as captives. The remaining group can describe this situation by using the saying that ‘they have suddenly run away leaving me alone.’

The saying can be compared to a person who does the most and greatest works in his/her life. Such a person has power and effort to enable him/her to carry out those tasks to the end. The saying can also be compared to a man/woman defeated in his/her struggle and decides to run away from competition, leaving others to move on.

The saying teaches people about having a greater effort to enable them to carry out more and more tasks and to finish them. This will enable them to have good life in future.

Luke 4: 1-13.

Matthew 26:55 – 56.

John 8: 1-11.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.