Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchi na bhulaji, bho ng’wa munhu. Umunhu ulu ucha agabhizaga giti alalile duhu, hichene abhanhu bhagayombaga giko, kunguno ulu ulala bhagikalaga bhamanile igiki agumisha duhu.
Gashinaga lulu, umunhu ulu ucha gugachaga mili duhu, umoyo gokwe gugabhizaga gulimhola, mukikalile kangi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gucha gulala.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo amanile igiki bhulihoyi bhupanga bhungi, ulu gucha umili go ng’wa munhu. Umunhu ng’wunuyo, agikomeja gwikala chiza na bhanhu, bho gubhambilija umumakoye abho bhalilomba wambilija bhokwe, kugiki abhutumile chiza uwikaji bhokwe ubho ha welelo henaha.
Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga bhulangwa nabhiye, ubho gwikala chiza na bhanhu, haho bhatale nayo imimili yabho, kugiki bhadule gwingila chiza umubhupanga ubho myoyo yabho, kunguno umoyo gudachaga. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘gucha gulala.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhutumamila chiza ubhupanga bho mimili yabho, bho gwikala bho mholele na bhanhu, kugiki bhadule gwingila chiza, umubhupanga ubho moyo, ulu yucha imimili yabho.
2Wakorintho 5:4-10.
Waefeso 2:1, 4-6.
KISWAHILI: KUFA KULALA
Chanzo cha msemo huo, chaangalia kufa na kulala kwa mtu. Mtu akifa huwa kama amelala tu, ndiyo maana maana watu husema hivyo, wakiamini uwepo wake kwenye maisha mengine. Kwa maana hiyo, mtu akilala, wao huelewa kwamba ataamuka tu.
Kumbe mtu akifa ni mwili peke yake ambao hufa, roho yake huwa salama kwenye maisha mengine, ambayo huwa inayaanga, baada ya kuachana na mwili. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufa kulala.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, anafahamu kwamba, kuna uzima mwingine baada ya mwili wa mtu kufa. Mtu huyo, hufanya bidii ya kuishi na watu vizuri, kwa kuwasaidia wale wanaohitaji msaada wake, ili aweze kuutumia na kuumaliza vizuri muda wa ukaaji wake wa hapa duniani.
Mtu huyo, huwapa mafundisho wenzake ya kuishi vizuri na watu, wakati wakiwa pamoja na miili yao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa mioyo yao, kwa sababu, moyo haufi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kufa kulala.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia vizuri uzima wa miili yao, kwa kuishi maisha ya amani na wenzao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa roho, baada ya miili yao kufa.
2Wakorintho 5:4-10.
Waefeso 2:1, 4-6.
ENGLISH: TO DIE IS TO SLEEP.
The source of the saying is death and sleep. When a person dies, it appears as if he/she is asleep. People believe that there is another life after death. They look at the dead person in the same way they look at a person who sleeps. This is why they describe this scenario using the saying that ‘to die is to sleep.’
In a spiritual world, when a person dies, it is only the body that dies but his/her soul doesn’t die rather it separates with body and goes for another life; eternal life.’
The saying can be compared to a person who realizes that there is another life after death. This person can be forced to work hard to avoid committing sins so that his/her soul can have peace after the death of his/her body. Such people can help to teach others about the need to abide by God’s laws and commandments in order to make them reach heaven.
The saying teaches people how to make good use of life on earth by living a peaceful life with others. In so doing, they are preparing their own heaven while still on earth.
2 Corinthians 5: 4-10.
Ephesians 2: 1, 4-6.