sayings

461. MHUNGA NJOBHA IGAKOBHAGA MHEMBE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile mbuli yamhunga, na kalwile kayo. Imbuli yiniyo, idina mapembe, aliyo imanile noyi ugulwa, kunguno iyoyi igakobhaga mhembe ijo jili nhali guti ja nja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kukaya ya ng’wa munhu, uyo aling’wobha. Ikaya yiniyo igabhizaga imanile uguchola nzila ja gwipija na bhanishi bhayo, kihamo nija gwiyinja umumakoye ga bhuli mbika.

Iyoyi, igalenganijiyagwa na mbuli ya mhunga, iyo igakobhaga mhembe guti ja nja, kunguno nayo, ikaya yiniyo igabhalanghanhaga abhanhu bhayo, bho gutumila nzila ningi.

Iyoyi imanile ugulwa na bhanishi bhayo, mpaga igabhapyenaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhugagaja, bho gujilanghana jinagujilela chiza, ikaya jabho, kugiki, jikije ugukenagulwa na bhanhu, abho bhali miganiko mabhi.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

MBUZI MWOGA HUJUA NAMNA YA KUJIHAMI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mbuzi asiye na pembe, na kupigana kwake. Mbuzi huyo, hana pembe, lakini anafahamu sana kupigana na adui zake, kwa sababu yeye, hutafuta pembe zilizokali kama za paa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.’

Msemo huyo hulinganishwa na familia ambao ni wa mtu mwoga. Familia hiyo, inafahamu namna ya kutafuta njia za kupigana na adui, pamoja na zile za kutatua matatizo ya wanafamilia wake.

Familia hiyo, hulinganishwa na mbuzi mwoga aliyetafuta pembe za paa kwa kupigana na adui zake, kwa sababu nayo, hutafuta njia mbalimbali za kuwalinda wanafahamilia dhidi ya watu waovu.

Yenyewe hutatua matazizo ya wanafamilia. Hivyo, yenyewe inaelewa namna ya kupigana na adui, mpaka kumshinda. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kuwawezesha kuzilinda familia zao, kwa kuzilea vizuri, ili zisiharibiwe na watu wenye nia mbaya.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

goats fighing

goats-

ENGLISH: A COWARD GOAT KNOWS HOW TO DEFEND HIMSELF.

The source of this saying is a hornless goat that defends itself from enemies when fighting. This hornless goat, when fighting with its enemies, knows which trick to use to defeat its enemy. It can even borrow sharp horns like those of gazelle and be able to outwit its enemy. This is why people can describe this scenario using the saying that ‘a coward knows how to defend himself.’

The saying can be compared to a coward family that knows how to protect itself against external forces that are likely to disturb it. This family can have its tactics of defence in the same way the goat does in defending itself to the extent of borrowing weapons from other animals. Therefore, this family can have its own ways of solving problems without depending on others.

The saying teaches people about being creative to protect their families by raising them properly. They raise their family members in a way that ensures that they are not destroyed by evil-minded people.

Luke 19: 1-4.

Luke 16: 3-7.

460. GUICHOBHELA MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchoji bho ginhu, bho gutumila magulu. Ulu munhu alichola ginhu jilebhe, adulile gutumila nzila ningi, nulu magulu, kugiki adule gujipandika ijo alijichola. Abhanhu ulu bhubhona alikulagula bho magulu gakwe genayo, bhaguyomba giki, wandya ‘guicholela magulu,’ isabho yiniyo.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adalendaga aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyunga uko nuko, ijo agajicholaga agabhizaga ajimanile weyi ng’winikili. Ulu ukenya hanhu, abhanhu bhagung’wila giki, otogagwa weyi ‘guichobhela magulu,’ imihayo yiniyo.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhuyungi bho nduhu nguno, kugiki bhadizichobhela mamihayo ga sagara, nulu makoye gagwiyenhela bhoyi, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 11:1-27.

 Waebrania 13:4.

KUITAFUTIA KWA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia utafutaji wa kitu kwa kutumia miguu. Mtu akiwa anatafuta kitu fulani, aweza kutumia njia nyingi, hata kutumia miguu yake, ili aweze kukipata kile anachokitafuta.

Watu wakimuona akikwaluza ardhi kwa kutumia miguu yake hiyo, katika kutafuta kwake, watasema kwamba, ameanza ‘kuitafutia miguu,’ mali hiyo.

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, hatulii nyumbani kwake. Mtu huyo, huwa anazunguka kwa kuzurura katika sehemu mbalimbali, akitafuta kile anachokifahamu mwenyewe.  Lakini akizua ugomvi, au matatizo fulani, watu watasema kwamba, amependa mwenyewe, ‘kuitafutia miguu,’ kesi hiyo.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuzurura bila sababu, ili wasijitafutie matatizo ambayo, ni ya kujitakia wenyewe, maishani mwao.

2 Samweli 11:1-27.

Waebrania 13:4.

feet

outdoor girl

ENGLISH: SEARCHING IT BY USING LEGS.

The source of this saying is searching something using one’s legs. When a person is looking for something, he/she can use many means, even using his feet to find out what he/she is looking for.

When people see him/her scratching the land, searching using his own feet they will say that he/she has begun ‘to search it by using legs.’

This saying can be comparable to a person who doesn’t settle in his/her house rather wanders around, looking for something he/she knows himself/herself. When he/she encounters problems, people will say, he/she loved himself/herself to be in problems. In other words, he/she searched for her own problems.

The proverb teaches people to stop wandering for no reason. They need to stay home where necessary in order to avoid some unnecessary problems.

2 Samuel 11: 1-27.

Hebrews 13: 4.

458. NGOMIKALA AGAJA NG’WA MIKANGAYO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa Ngomikala ng’wa Mikangayo, uyo ajikala hoi bho shigu ningi. UNgomikala agangeniha uMikangayo ugigasha hoyi nang’hwe mpaka jibhita shiku ningi, kunguno bhalibhanwanile. Hunagwene aho jakwila ishigu alikunuko, abhanhu bhuyomba giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitogilwe, umubhunwani bhobho. Abhanhu bhenabho bhagigenihaga bhagikala kihamo bho shigu ningi.

Abhoyi bhagabhonaga jidamu ugulekana, kunguno ya witogwi bhobho, umubhunwani bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, ‘Ngomikala agaja ng’wa Mikangayo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi na bhanhu bhabho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

KISWAHILI: NGOMIKALA ALIENDA KWA MIKANGAYO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Ngomikala kwa Mikangayo, aliyeishi huko kwa muda wa siku nyingi. Nkomikala alimtembelea Mikangayo akaenda kukaa naye mpaka zikapita siku nyingi, kwa sababu walikuwa marafiki. Ndiyo maana watu walipogundua hivyo walisema  kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana katika urafiki wao. Watu hao, hutembeleana na kwenda kuishi pamoja kwa muda wa siku nyingi.

Wao hujisikia vigumu kuachana kwa sababu ya upendo walio nao kati yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ngomikala alienda kwa Mikangayo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 17:17.

Warumi 12:10 Fill 1:9.

Yohana 10:11.

people-familiy

ENGLISH: NGOMIKALA WENT TO MIKANGAYO.

The source of the saying comes from Gomikala and Mikangayo who used to be good friends. Nkomikala visited Mikangayo and stayed with her until many days later, because they were friends. That is why when people found out, they said, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying can be compared to those people who love each other in their friendship. Such people visit each other and go to live together for some days.

They feel difficult to separate because of the love they have between them. That is why people say, ‘Komikala went to Mikangayo.’

The saying teaches people about having love that enables them to live together for the wellbeing of their families and their lives as well.

Proverbs 17:17.

Romans 12:10 Phil 1: 9.

John 10:11.

453. KWILUNGU BHADAJAGA LWA KABHILI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuzugi bho walwa ubho bhudapile. Ulu walwa bhuzuga, aliyo bhukija ugupya chiza, ilihumbi lyabho lidashokejiyagwa. Gashinaga lulu, ibhelelile bhuzugwe bhungi uwalwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo, nulu milimo yakwe, bho nduhu ugwita bhukengeji bho gudula gung’wambilija uguimala chiza.

Uweyi agitimbukilagwa wandyaga nimo, nulu mhayo, bho nduhu ugugamana amakoye ayo gadulile gwilonga, umunimo, nulu mhayo gunuyo. Hunagwene abhanhu, ulu gigela makoye umunimo gokwe, bhagayomgaga giki, ‘kwilungu bhadajaga lwa kabhili.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho milimo yabho chiza, haho bhatali ugwitumama, kugiki bhadule ugugiliga amakoye ayo gakomile gwigela, umubhutumami bho milimo yabho.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

KISWAHILI: MPIKO WA POMBE YA KIENYEJI HAURUDIWI MARA YA PILI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upikaji wa pombe ambayo haijaiva. Pombe ikipikwa ikakosewa kupikwa ikawa haijaiva vizuri, hairudiwi kupikwa tena. Kumbe basi, yafaa ipikwe pombe nyingine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye hufanya kazi zake bila kufanya utafiti wa kumwezesha kuzimaliza vizuri.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kukurupuka, bila kuangalia kwanza matatizo ambayo, yaweza kutokea kwenye kazi hiyo, ili kuzifahamu njia za kuyatatulia.

Ndiyo maana akitapata matatizo kwenye kazi anayoifahanya mtu huyo, watu husema kwamba, ‘mpiko wa pombe ya kienyeji haurudiwi mara ya pili.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kazi wanazotaka kuzifanya, kabla ya kuzianza, ili waweze kuyakwepa matatizo ambayo yanaweza kutokea kwenye kazi hizo.

Waeb 9:12.

 Mark 14:25.

IMG_20190709_111321_5

ENGLISH: THE COOKING OF THE TRADITIONAL BREW IS NOT REPEATED.

The source of the saying comes from half-cooked local brew. If a cook hasn’t cooked properly her local brew, there is no possibility of orrecting the mistake. The solution is to cook another brew. This is why people say ‘the cooking of the traditional beer is not repeated’.

The saying can be compared to a person who performs his/her tasks without doing research that can enable him/her to finish it properly. Such people perform their tasks without first looking at problems that may arise and find ways to resolve them.

The saying teaches people about researching before engaging in actual performance of tasks one wants to do. This can help them to avoid problems in future.

Heb 9:12.

Mark 14:25.

452. ICHEMBILE INGELE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kungele iyo yatinwa yugeha. Ingele jilijipimilo ja wiguliji bho jiliwa guti: bhusiga, mandege,  ng’haranga na jingi ningi.

Ingele yiniyo, ulu yutinwa igadohaga yilema ugutumilwa hangi, kunguno ulu yupimilwa, idulile gubhagopa abhiguliji. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa giko bho mbisila, kunguno, ulu umana igiki aliwilwa adina go amasala, adulile gukolwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo ‘ichembile ingele.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo, lya guichagula mihayo iyo iliyawiza, ulu bhalihoya na bhichabho, kugiki bhadule ugwikala chiza nabho.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

KISWAHILI: KIPIMO KIMEKATWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kipimo kilichokatwa kikapungua ukubwa wake. Kipimo ni kitu kinachotumika wakati wa kuuziana mazao ya chakula kama vile: mtama, mahindi, karanga na vingine vingi.

Kipimo hicho kikikatwa hupungua ukubwa wake. Hali hiyo hukifanya kisifae tena kutumika katika kupimiana mauziano, vinginevyo watapunjana wale wanaouziana kitu hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Mtu huyo huambiwa hivyo, kwa mafumbo na wenzake, kwa sababu akigundua kuwa, watu wanamwambia kuwa, hana akili, atakasirika. Ndiyo maana watu kusema kwamba, mtu huyo ‘kipimo kimekatwa.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuchagua maneno yaliyo mazuri, wakati wanaongea na wenzao, ili waweze kuishi vizuri nao.

Yeremia 4:26.

Muhubiri 10:3.

horizontal-scale1

african ichembile

ENGLISH: THE SCALE HAS BEEN CUT.

The source of the saying comes from a cut-off dimension. The scale is something used when selling food products such as: sorghum, maize, nuts and many others.

When the scale is cut, it decreases its size. This makes it no longer useful for measuring the items to be sold. That’s why people can say, ‘the scale has been cut’ to mean reduction of its actual size.

The saying can be compared to a person who has no sense. Such a person is told in parables in order to make him/her not understand that his/her ability to think is relatively low. The saying teaches people about the wisdom of choosing the right words when talking to their peers. This can help them to have peace all the time.

Jeremiah 4:26.

Ecclesiastes 10:3.