Imbuki ya kahayile kenako yingilile kungele iyo yatinwa yugeha. Ingele jilijipimilo ja wiguliji bho jiliwa guti: bhusiga, mandege, ng’haranga na jingi ningi.
Ingele yiniyo, ulu yutinwa igadohaga yilema ugutumilwa hangi, kunguno ulu yupimilwa, idulile gubhagopa abhiguliji. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘ichembile ingele.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Umunhu ng’wunuyo, agawilagwa giko bho mbisila, kunguno, ulu umana igiki aliwilwa adina go amasala, adulile gukolwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo ‘ichembile ingele.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo, lya guichagula mihayo iyo iliyawiza, ulu bhalihoya na bhichabho, kugiki bhadule ugwikala chiza nabho.
Yeremia 4:26.
Muhubiri 10:3.
KISWAHILI: KIPIMO KIMEKATWA.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kipimo kilichokatwa kikapungua ukubwa wake. Kipimo ni kitu kinachotumika wakati wa kuuziana mazao ya chakula kama vile: mtama, mahindi, karanga na vingine vingi.
Kipimo hicho kikikatwa hupungua ukubwa wake. Hali hiyo hukifanya kisifae tena kutumika katika kupimiana mauziano, vinginevyo watapunjana wale wanaouziana kitu hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kipimo kimekatwa.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Mtu huyo huambiwa hivyo, kwa mafumbo na wenzake, kwa sababu akigundua kuwa, watu wanamwambia kuwa, hana akili, atakasirika. Ndiyo maana watu kusema kwamba, mtu huyo ‘kipimo kimekatwa.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuchagua maneno yaliyo mazuri, wakati wanaongea na wenzao, ili waweze kuishi vizuri nao.
Yeremia 4:26.
Muhubiri 10:3.
ENGLISH: THE SCALE HAS BEEN CUT.
The source of the saying comes from a cut-off dimension. The scale is something used when selling food products such as: sorghum, maize, nuts and many others.
When the scale is cut, it decreases its size. This makes it no longer useful for measuring the items to be sold. That’s why people can say, ‘the scale has been cut’ to mean reduction of its actual size.
The saying can be compared to a person who has no sense. Such a person is told in parables in order to make him/her not understand that his/her ability to think is relatively low. The saying teaches people about the wisdom of choosing the right words when talking to their peers. This can help them to have peace all the time.
Jeremiah 4:26.
Ecclesiastes 10:3.