Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhaligabhanha nyama. Aliyo lulu, umubhugabhani bho nyama yiniyo, uumo obho aligongeja guchembelwa nyama nhale, gitumo atogelilwe uweyi. Hunagwene agayombaga giki, ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga ginhu bho lugoto, nulu bho gung’ang’anila. Uweyi ahayile nulu gwisolela nu wei ng’winikili, kunguno ya wigongeja bhokwe, ubho guhaya apandike iginhu ginijo, gitumo atogelilwe weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki. ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gulomba ginhu bho gung’ang’anila, kugiki bhadule gwinhiwa ijo bhalijilomba. Igeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhizuke na bhichabho, ulu bhalilomba ginhu jilebhe.
Zaburi 78:15.
Yakobo 1:15.
2Petro 3:3.
Yuda 1:18-21.
KATIA HAPA MJI WANGU NI MKUBWA.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu wanaogawana nyama kwa kukatiana. Lakini basi, katika kugawiana kwa nyama hiyo, mmoja wao hutaka kukatiwa kipande kikubwa kama atakavyo yeye. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba kitu kwa kung’ang’ania. Yeye hutaka hata kujichukulia mwenyewe, badala ya kusubiri kupewa na mhusika, kwa sababu ya ung’ang’nizi wake.
Yeye hutaka kupewa kipande kikubwa cha nyama hiyo, kama atakavyo yeye, bila kuwajali wenzake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuomba kitu kwa kung’ang’ania bila kuwajali watu wengine, ili waweze kupewa kile wanachokiomba. Yafaa pia watu hao, wawajali wenzao, wanapoomba kitu fulani.
Zaburi 78:15.
Yakobo 1:15.
2Petro 3:3.
Yuda 1:18-21.
ENGLISH: CUT IT HERE, MY FAMILY IS BIG.
The source of the saying comes from people who share meat. In the distribution of the meat, one of them wants to cut as big piece of it because of having a big family to feed. That is why he/she says, ‘cut it here, my family is big.’
The saying can be compared to aperson who asks for something persistently. He/she even wants to take it upon himself/herself rather than waiting to be given by the distributor in a fairly manner. Such a person can be labelled as selfish; he/she doesn’t consider his/her fellow in the distribution of available resources.
The saying teaches people to stop the tendency of being selfish rather care for others as well. In so doing people will be able to respect each other thus creating a very peaceful society.
Psalm 78:15.
James 1:15.
2 Peter 3: 3.
Jude 1: 18-21.