Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho gujunjika munhu, uyo ozumalikaga. Uguja ukumasoso, munho juga kujunjika munhu ng’wunuyo, uyo uchaga.
Ulu ucha munhu, abhanhu bhagibhilingaga guja kujunjika umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhukaga ‘guja kumasoso.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina miito gisungu lya guchajika abhachi. Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga na abhiye, ugujubhajika abhachi bhabho bhenabho. Hunagwene bhagabhukaga, ‘guja kumasoso,’ ulu gigelaga.
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhajika abhachi bhabho, na gubhalunguja abho bhachililwe, umuwikaji bhobho.
Yohana 11:18-19.
2 Wakorintho 1:4.
KISWAHILI: KWENDA KILIONI.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa kwenda kumzika mtu aliyefariki. Kwenda kwenye kilio, maana yake ni kwenda kumzika yule aliyefariki.
Akifa mtu, watu hualikana kwenda kumzika. Ndiyo maana watu huamua ‘kwenda kilioni.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana matendo ya huruma kwa wafu. Mtu huyo, kuwahimiza pia wenzake kwenda kuwasika wafu wao. Ndiyo maana huwaalika wenzake ili waweze huanza safari ya ‘kwenda kilioni.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma kwa wafu wao, ili waweze kuwazika vizuri, na kuwafariji wale waliofiwa na wapendwa wao.
Yohana 11:18-19.
2 Wakorintho 1:4.
ENGLISH: GOING TO THE MOURNING.
The source of the saying comes from the process of burying a dead person. Mourning means celebrating the death of a person. When someone dies, people are invited to go and bury him/her. That’s why people can say, ‘going to the mourning.’
The saying can be compared to a person who has acts of compassion for the dead people to the extent of inviting others to attend burial ceremonies in order to honour the dead individuals.
The saying teaches people about being compassionate to their dead persons. They should bury them in a very respectable manner.
John 11: 18-19.
2 Corinthians 1: 4.