Kashinje Zacharia

1526. SUKUMA: UNTI UYO GUDINA MIZWI GUGUMAGA.

Ulusumo lunulo lyingilile kubhukengeji bho ginhu umo jasumbilwa. Unti gugikalaga gupanga kunguno ya mizwi yago. Imizwi yiniyo igagwinhaga unti gunuyo minze, jiliwa, na bhudamu. Unti ulugujimija imizwi yago, gugumaga na gucha. Imizwi yiniyo igolechaga likujo lilange lya gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “unti uyo gudina mizwi gugumaga.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agawibhaga ubhulangwa bho nhungwa ja gwikala chiza nu Mulungu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga imilimo yakwe bho gwisendamila weyi ng’winikili duhu kunguno ya gugibha amalagiko ga ng’wa Mulungu, umuwikaji bhokwe. Uweyi adadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya gulyibha ililange ilo ligabhejaga nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nti uyo gudina mizwi kunguno nuweyi agaligumanija ilikujo lya bhulangwa bho gwikala chiza mpaga oduma uguimala chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “unti uyo gudina mizwi gugumaga.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya solobho ya guwikalana chiza ubhulangwa bho gwikala chiza ni kaya jabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 17:7–8.

Zaburi 1:3.

Wakolosai 2:7.

Mathayo 7:24–27.

SWAHILI: MTI USIO NA MIZIZI HUKAUKA.

Methali hii inatokana na uchunguzi wa maumbile. Mti huishi kwa sababu ya mizizi yake. Mizizi huupa mti maji, nguvu, lishe, na uthabiti. Mti unapopoteza mizizi yake, hukauka na hatimaye hufa. Katika hekima ya kitamaduni ya Kiafrika, mizizi huashiria asili, utamaduni, familia, imani, na msingi wa maadili. Ndiyo maana watu husema kwamba “mti usio na mizizi hukauka.”

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husahau historia yake, hupuuza mafundisho mazuri, huacha nidhamu, au hujitenga na Mungu na maadili ya familia. Mtu huyu hufanya mambo ikiwa ni pamoja na kazi zake kwa kujitegemea mwenyewe tu badala ya kutegemea nguvu za Mungu kwa sababu ya kupuuza mafundisho mazuri yakiwemo yale ya amri za Mungu maishani mwake. Yeye hushindwa kufikia malengo yake kwa sababu ya kupuuza mafundisho mazuri ambayo yaweza kumsaidia maishani. Mtu kama huyo huanguka kwa urahisi katika mkanganyiko, majaribu, na hushindwa kwa sababu hana msingi imara.

Mtu huyo hufanana na ule mti ambao hauna mizizi kwa sababu naye pia hupuuza hekima itakayo kwenye mafundisho mazuri ikiwa ni pamoja na yale ya Mungu hadi kufikia hatua ya kushindwa kufikia malengo yake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mti usio na mizizi hukauka.”

Methali hiyo huwafundisha watu Kuhusu: umuhimu wa kuwa na misingi imara katika maisha, kuheshimu utamaduni, familia, na maadili mema, na kushikamana na Mungu na maadili ya kiroho.

Mtu asiye na kanuni ni kama mti usio na mizizi, hawezi kusimama imara wakati wa dhoruba.

Yeremia 17:7–8 “Lakini heri amwaminiye Bwana… Watakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji.”

Zaburi 1:3 “Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda yake kwa wakati wake.”

Wakolosai 2:7 “Mmetiwa mizizi na kujengwa ndani yake, mmeimarishwa katika imani.”

Mathayo 7:24–27 Yesu anafundisha kwamba mtu anayejenga juu ya msingi imara atasimama imara dhoruba zinapokuja.

ENGLISH: A TREE WITHOUT ROOTS WITHERS

This proverb originates from the observation of nature. A tree survives because of its roots. The roots give the tree water, strength, nourishment, and stability. When a tree loses its roots, it dries up and eventually dies. In African traditional wisdom, roots symbolize origin, culture, family, faith, and moral foundation.That is why people say “a tree without roots withers.”

This proverb is compared to a person who forgets his background, ignores good teachings, abandons discipline, or separates himself from God and family values. This person does things including his works by depending on himself instead of on relying on God’s power because of ignoring good teaching including God’s commandments in his life. He fails to actualize his goals because of ignoring good teachings which can assist him in life. Such a person easily falls into confusion, temptation, and failure because he has no strong foundation.

This person resembles the tree that has no roots because he also ignores wisdom from good teaching including those of God to the point of failing to actualize his goals in his life. That is why people tell him, “a tree without roots withers.”

This Proverb Teaches People About: The importance of strong foundations in life, respecting culture, family, and good morals, remaining connected to God and spiritual values, remembering one’s origin and identity, and living a stable and disciplined life.

A person without principles is like a tree without roots, he cannot stand firm during storms.

Jeremiah 17:7–8 “But blessed is the one who trusts in the Lord… They will be like a tree planted by the water.”

Psalm 1:3 “That person is like a tree planted by streams of water, which yields its fruit in season.”

Colossians 2:7 “Rooted and built up in Him, strengthened in the faith.”

Matthew 7:24–27 Jesus teaches that a person who builds on a strong foundation will stand firm when storms come.

 

 

1524. SUKUMA: AMIITO GALIMIZA GULEB’A IMIHAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo yifumilile kuli nimi uyo wikalaga muchalo ja Sanjo. Unimi ng’wunuyo, omishiga diyu ogandya gulima mpaka lyagwa ilimi kunguno oliamanile igiki “ijito jigayombaga noyi kulebha imihayo.” Hunagwene abhanhu abho bhamujaga inguno ya gwita chiniko obhashogejaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lwa golecha bhutungulija nu bhutogwa bhokwe bho gubhitila imilimo iyo agayitaga duhu. Umunhu ng’wunuyo, agiitaga yose iyo ilimubhulagani bhokwe na kajile kakwe kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi ahakaya yakwe yiniyo kunguno ya likujo lyakwe linilo ilyaguitimija imilimo yakwe bho gwigulambija guitumama chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo yakwe gwingila diyu mpaka lyagagwa ilimi kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga osabha sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi alintongeji ntungulija uyo agabholekeja abhanhu bhakwe nzila ya wiza bho gutumama milimo chiza, adiogutumila mihayo duhu. Hunagwene agayombaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya bhutungilija na wigulambija bho gutumama imilimo midamu. Lubhalanga gudebha igiki mihayo duhu idadulile gubheja bhutungulija kugiki bhadule guyimalamaja bho miito gabho iyo bhagayiyombaga, umuwikaji bhobho.

Yakobo 2:17.

Mathayo 7:16.

1 Yohana 3:18.

Mithali 14:23.

SWAHILI: VITENDO NI BORA KULIKO MANENO.

Asili ya methali hii ilianzia kutoka kwa mkulima aliyeishi katika kijiji cha Sanjo. Mkulima huyo alikuwa akiamka mapema asubuhi na kuanza kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu alijua kwamba “matendo huzungumza zaidi kuliko maneno.” Ndiyo maana watu walipomuuliza sababu ya kufanya hivyo, alijibu kwa kusema kwamba, “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii hulinganishwa kwa mtu mwenye hekima ya kuthibitisha wema wake, uaminifu, upendo, au bidii kwa kupitia kile anachofanya badala ya kile anachosema tu. Mtu kama huyo hutimiza ahadi zake na kuonesha tabia njema kwa matendo ambayo huwatendea wengine kwa sababu ya hekima yake hiyo maishani mwake.  Yeye hutajirika sana katika familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kutekeleza anachosema kwa kufanya kazi kwa bidii katika maisha yake hayo ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na yule mkulima aliyefanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu naye pia hufanya kazi zake kwa bidii hadi kufikia hatua ya kuwa tajiri katika familia yake. Yeye ni kiongozi anayewahudumia watu kwa uaminifu badala ya kutoa ahadi tupu. Ndiyo maana husema kwamba “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii huwafundisha watu kuhusu: uwajibikaji, uaminifu, kuwa na bidii ya kufanya kazi ngumu. Kuelewa kuwa maneno pekee hayawezi kujenga uaminifu isipokuwa yanaungwa mkono na matendo. Kwa hiyo, watu wanapaswa kuishi kulingana na yale wanayoyasema na kuyatekeleza yale wanayohubiri.

Yakobo 2:17 “Imani yenyewe, ikiwa haina matendo, imekufa.”

Mathayo 7:16 “Kwa matunda yao mtawatambua.”

1 Yohana 3:18 “Tusipende kwa maneno au kwa usemi bali kwa matendo na kweli.”

Mithali 14:23 “Kila kazi ngumu huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.”

ENGLISH: ACTIONS ARE BETTER THAN WORDS

The original of this proverb started from a farmer who lived at Sanjo village. This farmer used to wake up and start working from morning to evening because he knew that “actions speak louder than words.” That why when people asked him a reason of doing so, he answered “actions are better than words.”

This proverb is equaled to a person who has wisdom of proving his goodness, honesty, love, or hard work through what he does instead of what he merely says. Such a person fulfills promises and demonstrates character by deeds which he does to others because of his wisdom in life. He becomes so rich at his family because of his wisdom of practicing what he says by working hard in his daily life.

This person resembles a farmer who did his works from morning to evening because he also works hard to the point of becoming rich at his family. He is a leader who serves people faithfully instead of making empty promises.That is why he says “actions are better than words.”

This proverb teaches people about: honesty, responsibility, faithfulness, and hard work. Words alone cannot build trust unless they are supported by actions. People should live according to what they say and practice what they preach.

James 2:17 “Faith by itself, if it does not have works, is dead.”

Matthew 7:16 “By their fruits you will know them.”

1John 3:18 “Let us not love with words or speech but with actions and in truth.”

Proverbs 14:23 “All hard work brings a profit, but mere talk leads only to poverty.”

 

 

 

791. ISABHO JIDOKAJIYAGWA.

Aliyoyi munhu umo uyo oli nsuluja omajikolo mingi. Umunhu ng’wunuyo, ohayaga ajikwije ihela mpaga jokale. Kuyiniyo lulu, lushigu lumo aja munhu gujulomba bhugunanhwa kuli weyi aliyomba, “naliomba unigunane hela nagagulile jiliwe ja gulya aha kaya yane.” Unsuluja ng’wunuyo, ashosha, “nadudula ugugwinha kunguno natali ugujikwija ihela jinijo.”

Aho ntondo yaho, unombi o wambilijiwa ng’wunuyo agalomba hangi, “naliomba unigunanage lulu ilelo ulu ojikwijaga ihela jinijo.” Unsuluja ng’wunuyo, agalema hangi aliyomba, “natali ugujikwija, ulu nujokaja nagugugunana.”

Oganoga nose uhabhipa unsuluja ng’wunuyo, adangunanile umunhu uyo olombaga bhugunanhwa. Ahikanza linilo, agandya gushoga gwizuka giki, ninga niongunana umunhu uyo alina makoye ng’wunuyo, aho oli najo ningi isabho. Hunagwene abhanhu bhang’wila giki, “isabho jidokajiyagwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhagunaga abhiye abho bhagajaga gujunomba kuli weyi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajidalahijaga isabho ijo alinajo bhuli ikanza. Uweyi ahayile ajikuminge isabho mpaka jikwile hunawandye ugubhambilija abhiye, kunguno adadebhile igiki, adulile gucha, nulu guhabhipa ahashigu ijahabhutongi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsuluja uyo agalema ugungunana umunhu uyo olina makoye, kunguno nuweyi adabhagunanaga abhanhu abho bhagajaga gujunomba abhambilije, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “isabho jidokajiyagwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guzunya gubhagunana abho bhagalombaga wambilijiwa ubho bhalibhuduja, kugiki bhadule, kupandika mbango ja kubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 8:12-13.

Luka 21:1-4.

KISWAHILI: MALI HAZIJAZWI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa mfanya biashara wa vitu vingi. Mtu huyo, alitaka kukusanya pesa mpaka zijae. Kwa hiyo basi, siku moja maskini alienda kuomba msaada kwake akisema, “naomba unisaidie pesa nikanunulie chakula ili niweze kula nyumbani kwangu.” Mfanya biashara huyo alijibu, “siwezi kukusaidia kwa sababu pesa hazijawa nyingi.”

Kesho yake, yule maskini alimuomba tena, akisema, “naomba unisaidie basi kwa siku ya leo kama hizo pesa zimekuwa nyingi.” Yule mfanya biashara alikataa tena akisema, “pesa hazijawa nyingi, nikizijaza nitakusaidia.” Mwishowe, yule mfanya biashara alifilisika, mpaka akaanza kukumbuka kwamba, angemsaidia yule maskini alipokuwa na mali. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mali hazijazwi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuwasaidia wahitaji wale wanaomumba msaada wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huendelea kuidharau mali anayoipata maishani mwake. Yeye hutaka akusanye mali nyingi zaidi ndipo akubali kuwasaidia maskini, kwa sababu ya kutokuelewa mwisho wa maisha yake, na kile kitakachompata kwenye siku mbeleni.

Mtu huyo, hufanana na yule mfanya biashara aliyemnyima yule maskini msaada alioumba kwake, kwa sababu naye, huwanyima wale wanaomwendea wakiomba msaada wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mali hazijazwi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuwasaidia wahitaji wanaoomba msaada kutoka kwao kwa kile wanachoweza kuwasadidia, ili waweze kupata Baraka za kufanikiwa zaidi, maishani mwao.

2Wakorintho 8:12-13.

Luka 21:1-4.

cattle

sheep3

goats3

ENGLISH: WEALTH IS NOT FILLED (MONEY IS ALWAYS NOT ENOUGH).

There was one man who was a merchant of various things. He wanted to raise money until it was full. So one day a poor man went to him asking for help, saying, “Please help me to buy food so that I can eat at home.” The businessman replied, “I cannot help you because there is not much money.”

The next day, the poor man begged him again, saying, “Please help me some for today if that money is full.” The businessman again refused, saying, “I don’t have much money, if I fill it up I will help you.” Eventually, the businessman went bankrupt, until he began to realize that he could help the poor man when he was rich. That is why people said to him, “wealth is not filled (Money is always not enough).”

This saying is likened to a person who refuses to support the needy who seek his assistance in his life. Such person continues to despise the possessions he acquires in his life. He wants to accumulate more wealth and then he will start helping the poor, because he does not understand the end of his life, and what will happen to him in the future.

This person is like the businessman who refused to help the poor person who asked help from him, because he too denies those who approach him seeking help in his life. That is why people say to him, “wealth is not filled (Money is always not enough).”

This saying instills in people an idea of helping the needy who need help from them in what they can support them with, so that they can receive blessings of greater success in their lives.

2 Corinthians 8: 12-13.

Luke 21: 1-4

773. NPINI NDITO NHONGE MBUPU.

Akahayile kenako, kingilile kubhanhu abho bhihalalikaga higulya ya bhudito bho npini na nhonge. Uumo obho agayomba, “unpini guli ndito gukila nhonge kunguno gugalimaga mpaka japya jiliwa na bhozugwa ubhugali umo jigigelaga inhonge.” Ung’wiye agashosha, “inonge ili ndito kunguno unpini gugalimaga kunguno ya kupandika jiliwa ijo jigabhejiyagwa nhonge.”

Abhangi bhagayomba, “unpini guli ndito kukila inhonge kunguno bhuli ng’wene adulile gubheja nhonge uigulya, alugulima bhagehu abho bhadulile.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “npini ndito nhonge mbupu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugulima umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agabhonaga jidimu ugulima kunguno ya bhugokolo bhobho.

Aliyo lulu, ulu lyushika ilikanza ilyagulya uweyi agabhizaga ogwandya uguja ugujulya. Uweyi adumile ugutumama imilimo imidimu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “npini ndito nhonge mbupu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gwigulambija gutumama milimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 14:23.

Waebrania 6:12.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: MPINI MZITO TONGE JEPESI.

Msemo huo ulitokea kwa watu waliokuwa wakibishana juu ya uzito wa mpini na tonge. Mmoja wao alisema, “mpini ni mzito kuliko tonge kwa sababu huwa unalima vyakula vinaiva na kupata tonge.” Mwenzake alijibu, “tonge ni nzito kwa sababu umpini hulima ili kupata chakula ambacho hutengenezwa tonge.”

Wengine walisema, “mpini ni mzito kuliko tonge kwa sababu kila mmoja aweza kuchukua tonge na kula, lakini wanaoweza kulima ni wachache.” Ndiyo maana watu husema kwamba, “mpini ni mzito tonge jepesi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kulima, katika maisha yake. Mtu huyo, hujisikia vigumu kushika jembe na kuanza kulima kwa sababu ya uvivu wake.

Lakini ukukifika wakati wa kula yeye huwa wa kwanza kwenda kula. Yeye pia hawezi kufanya kazi ngumu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mpini mzito tonge jepesi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi maishani mwao.

Mithali 14:23.

Waebrania 6:12.

Mathayo 11:28.

hoes

hoes2

food1

ENGLISH: A HANDLE IS HEAVIER THAN A STIFF PORRIDGE PIECE (SPENDING IS EASIER THAN EARNING).

The overhead saying originated from people who were arguing about a weight of a handle and that of a stiff porridge piece. One of them said, “The handle is heavier than a piece of the stiff porridge because one uses a handle to grow food crops which become lump of stiff porridge piece.” His companion replied, “A lump is heavier because of providing people who eat it with strengths for cultivating crops.”

Some said, “The handle is heavier than the lump because everyone can take the lump and eat, but few can cultivate by using a handle.” That is why people say, “a handle is heavy than a stiff porridge piece (spending is easier than earning).”

This saying is likened to a man who is lazy to cultivate, in his life. Such man feels difficult to hold a hoe and start cultivating because of his laziness.

But when it comes time to eat he becomes the first to go and eat. He cannot work hard, in his life. That is why people say to him, “a handle is heavier than a stiff porridge piece (spending is easier than earning).”

This saying, teaches people on how to stop being lazy by striving to do their jobs well, in their lives, so that they can achieve more success in their lives.

Proverbs 14:23.

Hebrews 6:12.

Matthew 11:28.

772. NTI GO MHELA GUTAPILILAGWA KABHILI.

Ulusumo lunulo lulolile munhu uyo obhitaga ng’wipolu lya ndimu nhali. Abhiye bhagang’wila, “udizubhite ung’wipolu linilo kunguno jilihoyi ndimu nhali noyi.” Uweyi agashosha, “ulujunitula nagupela.” Umunhu ng’wunuyo, ahongila duhu moyi, agatulya na ndimi mhali upela mpaka ugapilila ha nti go mhela.

Abhanhu bhung’wila hangi giki adizubhite hangi ung’wipolu linilo, kunguno unti uyo upilila gunuyo, gutapililagwa kabhili. Hunagwene bhagang’wila giki, “nti go mhela gutapililagwa kabhili.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo oliohubha ulekejiwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ohubha adalomba bhulekejiwa, ubhupandika. Aliyo lulu, agabhiza atali uhadikija guhubha hangi, kunguno ya wikolosha bhokwe. Uweyi agabhikoloshaga abhiye kunguno ya gwiganika giki bhagunhekeja duhu.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatulwa na ndimu ugapilila hanti go mhela, kunguno  nuweyi agahubha uelekejiwa, umukikalile kakwe. Aliyo lulu, agabhiza atali ubhikolosha abhiye agwiganikaga giki, agulomba alekejiwe hangi. Hunawene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nti go mhela gudapiligwa kabhili.”

Ulusumo lunulo, lolanda bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhikolosha abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho bhenebho, umuwikaji bhobho.

Luka 17:11-19.

KISWAHILI: MTI WA KIFARU HAUPONEWI MARA MBILI.

Methali hiyo, humwangalia mtu yule aliyekuwa akipita kwenye poli la wanayama wakali. Wenzake walimwambia, “usipite kwenye poli hilo kwa sababu kuna wanyama wakali.” Yeye alijibu, “wakinifuata nitakimbia.”  Mtu huyo, alipoingia kwenye poli hilo, alifukuzwa na mkali akaenda kuponea kwenye mti wa kifaru.

Watu walimwambia kwamba asipite tena kwenye poli hilo la wanyama wakali, kwa sababu hawezi kuponea tena kwenye mti huo. Ndiyo  maana watu hao walimwambia kwamba, “mti wa kifaru hauponewi mara mbili.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye alikosea, kwa mara ya kwanza akasamehewa, maishani mwake. Mtu huyo, alipokosea aliomba msamaha, akaupata. Lakini basi, alikuwa bado akifanya makosa tena kwa sababu ya ukolofi wake. Yeye huwachokoza wenzake kwa sababu ya kufikiria kwamba, wenzake hao watamsamehe tu.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefukuzwa na mnyama mkali akaponea kwenye mti wa kifaru, kwa sababu naye alikosa akasamehewa, matika maisha yake. Lakini ja ajabu bado anawachokoza wenzake akifikiria kwamba atasamehewa tena. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mti wa kifaru hauponewi mara mbili.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uchokozi, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Luka 17:11-19.

rhenox.1

man1

tree-3842194__480

ENGLISH: THE RHINOCEROS TREE CANNOT SAVE SOMEONE TWICE (GOLDEN CHANCE NEVER COMES TWICE).

The above proverb looks at the man who was passing through the forest of wild beasts. His colleagues told him, “Don’t pass through that forest because there are wild animals.” He replied, “If they follow me, I will run away.” When he entered it Rhino chased him until he escaped by climbing at a tree.

People told him not to go back through that wild beast forest, because he could not escape from death by using that tree again. That is why the people told him, “the rhinoceros tree cannot save twice.”

The proverb is likened to a man who did wrong for the first time and got forgiveness in his lifetime. Such man apologized after doing wrong. But then he was still making mistakes again because of his cruelty. He irritates his colleagues because of thinking that they would only forgive him.

The man is like the one who was chased away by the wild beast and escaped by climbing at the rhinoceros tree, because he too had sinned and was forgiven, in the course of his life. But strangely enough, he still provokes his colleagues, thinking that he will be forgiven again. That is why people say to him, “the rhinoceros tree cannot save twice.”

This proverb teaches people to stop aggressive behavior, in their lives, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Luke 17: 11-19.