stories

326. DALYA JISEB’U

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ijo jitali jisebhu. Ijiliwa ulujinjiwa ahaliko jigabhizaga jisebhu noyi. Abhanhu abho b’alijilya jib’abishaga. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhamala ugulya bhagayombaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhatimlyaga ng’holo abhasatu bhabho na bhanhu abho bhalinabhasatu, bho gubhawila giki abhasatu bhenabho bhagupila duhu. B’agab’achalaga gusitali bhagaping’wa na gwinhiwa b’ugota. Gashinaga lulu, akahayile kenako kalikigisije kabhanhu bhenabho ulu umo obho ainansatu, bhagahaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higuya ya kubhalunguja bho gubhachala gusitali abhasatu bhabho, kugiki, bhapile wangu.

Yakobo 5:14-16.

KISWAHILI: TUMEKULA CHA MOTO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula chenye moto. Chakula hicho mhusika akikitoa motoni huwa kina moto sana. Watu wanaokila huwaungaza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwafariji wagonjwa na watu wenye wagonjwa, kwa kuwaambia kwamba, wagonjwa wao watapona tu. Watu hao huwapeleka wagonjwa hospitalini kwenda kupimwa na kupatiwa matibabu sahihi. Kumbe basi, msemo huo ni namna ya kusalimiana ya watu hao, kama mmoja wao, anamgonjwa, husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwafariji vizuri wagonjwa kwa kuwapeleka hospitalini, ili wakaweze kupatiwa matibabu yanayotakiwa kwao na wapone haraka.

Yakobo 5:14-16.

hot food

 

ENGLISH: WE HAVE EATEN WHILE TOO HOT

This saying comes from eating hot food. When the food is released from the fire, it is usually hot. The people who eat such food get burned.That is why people say, “we have eaten while it is hot.”

The saying is compared to people who comfort the sick and the people who are taking care of them, by telling them that their patients will recover from the illness. These people also take patients to hospital for medical examination and treatment. In fact, the saying is a form of greeting to people if one of them is sick. They, therefore, say, “we have eaten while it is hot.”

The saying teaches people how to comfort patients by taking them to hospital so that they can receive treatment and recover quickly.

James 5: 14-16.

325. NOMBA GULYA ADAB’ONELAGWA MHAYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulombi bho jiliwa. Unombi ojiliwa ng’wunuyo, agabhizaga atub’ile. Agabhonaga giki, ilichiza ugulomba ijiliwa jinijo ukubhanhu abho bhalinajo, gutimda kujisola bho nduhu uguzunulijwa na bhanikili jiliwa. Unombi o jiliwa ulu ojipandika ijo alilomba agajilyaga na b’uyegi, kunguno adiho guhayiwa giki ohub’aga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatogilwe gusola sabho jabhanhu bho nduhu ugulomba. Umunhu ng’wunuyo agatumilaga makanza gakwe bho gujilomba ijiliwa jinijo, kunguno adebhile igiki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gusola sabho ja bhanhu bho nduhu ugulomba, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:7.

KISWAHILI: MUOMBA KULA HAONEWI NENO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uombaji wa chakula. Muombaji huyo wa chakula huwa ameshikwa njaa. Huona kwamba ni vizuri kuomba badala ya kuchukua bila kuruhusiwa na wenye chakula hicho. Muombaji huyo wa chakula hukila kwa furaha akikipata chakula hicho alichokiomba, kwa sababu hawezi kufikiliwa kwamba amekosea. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘muomba kula honewi neno.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa kuchukua mali za watu bila kuomba. Mtu huyo hutumia mda wake katika kuomba chakula hicho, kwa sababu, aelewa kwamba, ‘muomba kula haonewi neno.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuchukua mali za watu bila kuomba, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:7.

poverty

ENGLISH: ONE WHO BEGS FOOD HAS NO FAULT

This proverb rises from a person who begs for food. The person who begs for food is always hungry. Such a person finds it good to beg rather than taking food without permission from owners. When he/she is given the food, this person eats it happily because he/she cannot be accused of having done something wrong.That is why people say, “he who begs for food has no fault.”

The proverb is likened to someone who does not want to take others’ properties without asking. Such a person spends his/her time begging for food because he/she understands that, “he who begs for food has no fault.”

The proverb teaches people to stop taking others’ possessions without permission in order to live peacefully with neighbours.

Matthew 7: 7.

324. NKULU ADALYAGA

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile mub’utuuji bho jikolo jigehu mulijisema litale. Ijikolo jinijo jigusaga numo jilili duhu, jidikomile gukwila jokale umujiseme jinijo, nulu gugeha. Untuuji ojo agujisanga gitumo ojituulila jilihoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkulu adalyaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agatuulaga sabho jabho mujikolo jitale ja gudula gujilang’hana chiza, nulu jigikala moyi bho makanza malihu jidujimila. Abhanhu bhenabho bhagajisangaga isabho jabho jilihoyi gitumo bhajituulila, kunguno b’adebhile igiki, ‘nkulu adalyaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gulanghana chiza isabho jabho bho gujituula mubenki iyo idulile gujilanghana chiza.

Zaburi 78:70-72.

1Samweli 16:7.

KISWAHILI: MKUBWA HALI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uwekaji wa vitu vichache kwenye chombo kikubwa. Kitu hicho hubakia kama kilivyo tu, hakiwezi kuongezeka kikalingana na chombo hicho, wala kupungua. Mwekaji wa kitu hicho huvikuta kama kilivyokuwa wakati akikiweka pale. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mkubwa hali.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wawekao mali zao kwenye kitu kikubwa ambacho chaweza kutunza mali hizo kwa usalama, hata kama zitakaa kwa mda mrefu, hazitapotea. Watu hao huzikuta mali zao zikiwa salama kama walivyoziweka, kwa sababu wafahamu kwamba, ‘mkubwa hali.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutunza vizuri mali zao kwa kuziweka kwenye mabenki yawezayo kuzitunza vizuri.

Zaburi 78:70-72.

1Samweli 16:7.

treasure

 

ENGLISH: KEEP YOUR PROPERTIES/ ITEMS IN A BIG CONTAINER

This saying comes from a tendency of putting things in a big container. Things kept in a big container will not decrease or increase to fill the container. The owner of those things will find it intact.That is why people say, “keep your properties in a big container.”

The proverb is comparable to those people who put their belongings in a container that can hold them safely for a long time without losing them. These people find their properties intact.

The proverb teaches people how to take good care of their properties by putting them in banks that can take good care of them.

Psalm 78: 70-72.

1 Samuel 16: 7.

323. B’ANENE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jiidilile joyi duhu. Ijisumva jinijo jigikumilijaga joyi bhung’wene, jidahayile akumilijiwe ungi. Hangi jitogilwe jipandike joyi duhu, abhangi bhagayiwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanajisumva bhenabho giki, ‘b’anene.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adahayile abhiye b’apandike. Umunhu ng’winuyo ahayile apandike weyi duhu.  Atogilwe gwihaya giki uweyi amanile yose na adugije pye iyose. Agamanaga wikumilija weyi bhung’wene. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu bhenabho giki, ‘b’anene.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja wiming’holo na wihayi bho sagala, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 6:6-10.

Luka 18:9-12.

KISWAHILI: WAMIMI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujijali chenyewe tu. Kiumbe hicho hujisifu chenyewe, hakitaki asifiwe mwingine. Zaidi ya hayo, kinapenda kipate kitu au mafanikio chenyewe tu, wengine wakose. Ndiyo maana watu huviita viumbe kama hivyo, ‘wamimi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa wenzake wapate kitu au mafanikio. Mtu huyo hutaka apate yeye tu. Yeye hupenda kujitapa kwamba ajua yote na aweza yote. Huwa anajisifu mwenyewe kwa sababu ya ubinafsi wake. Ndiyo kusema kwamba, yeye ni mbinafsi. Ndiyo maana watu huwaita watu kama hao kwamba ni ‘wamimi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ubinafsi na uchoyo wa kujidai hovyo, maishani mwao.

1Timotheo 6:6-10.

Luka 18:9-12.

selfish ones

me

 

ENGLISH: EVERYTHING FOR ME

This saying comes from a person that cares about himself or herself only. Such a person will always boast himself/herself and he/she does not want another person to be praised. The person wants only him/her to achieve everything.That is why people call him/her that, “everything for me.”

The saying is compared to someone who does not want others to achieve in life. He/ she only wants to achive alone. He/she likes to boast that he/she knows everything and he/she can do everything. Such a person is proud of himself for his/her selfishness.That is why people call such people “everything for me.”

The saying teaches people to break free from selfish thinking or selfish habits in their lives.

1Timothy 6: 6-10.

Luke 18: 9-12.

322. OCHA KAB’IMBA KANGI

Imbuki ya kahayile kenako yililole ngi. Ingi ulu yutulwa yugwa hasi bho nduhu ugutinwa, igagwaga kakanza kadololo yapimbuka. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ulu utulwa mpaga ugwa na gufelwa wikanza liguhi upila. Abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gutula bhanhu bho gubhibhonela umuwikaji bhobho. Hangi yigelelilwe gubhachala kustali abho bhaminyikaga kugiki bhadule gupila wangu.

Waefeso 2:1-4.

KISWAHILI: AMEZIRAI KIMTINGO WA  INZI

Chanzo cha msemo huo chaangalia inzi. Inzi akipigwa na kuanguka bila kupasuka huzirai kwa muda kidogo, baadaye huzinduka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’

 Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepigwa akaanguka na kuzirai kwa mda mfupi halafu akazinduka. Ndiyo maana watu husema kwa mtu huyo kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuonea watu kwa namna mbalimbali, zikiwemo zile za kuwapiga. Yafaa pia kuwapeleka hospitalini wale walioumizwa, ili waweze kupona haraka.

Waefeso 2:1-4.

 

girl

vintage2

 

 

ENGLISH: HE/SHE HAS FAINTED IN A FLY’S STYLE

The origin of this saying is the behaviour of flies. When a fly is hit and falls down uncontrollably it lasts for a while then wakes up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”

The saying is compared to a person who has been hit and faint for a short time and then wake up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”

The saying teaches people to stop bullying behaviours such as beating others. It is also necessary to rush a person to hospital if he/she is injured so that he/she can recover quickly.

Ephesians 2: 1-4.