Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jiidilile joyi duhu. Ijisumva jinijo jigikumilijaga joyi bhung’wene, jidahayile akumilijiwe ungi. Hangi jitogilwe jipandike joyi duhu, abhangi bhagayiwe. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanajisumva bhenabho giki, ‘b’anene.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adahayile abhiye b’apandike. Umunhu ng’winuyo ahayile apandike weyi duhu. Atogilwe gwihaya giki uweyi amanile yose na adugije pye iyose. Agamanaga wikumilija weyi bhung’wene. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga abhanhu bhenabho giki, ‘b’anene.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja wiming’holo na wihayi bho sagala, umuwikaji bhobho.
1Timotheo 6:6-10.
Luka 18:9-12.
KISWAHILI: WAMIMI
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujijali chenyewe tu. Kiumbe hicho hujisifu chenyewe, hakitaki asifiwe mwingine. Zaidi ya hayo, kinapenda kipate kitu au mafanikio chenyewe tu, wengine wakose. Ndiyo maana watu huviita viumbe kama hivyo, ‘wamimi.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa wenzake wapate kitu au mafanikio. Mtu huyo hutaka apate yeye tu. Yeye hupenda kujitapa kwamba ajua yote na aweza yote. Huwa anajisifu mwenyewe kwa sababu ya ubinafsi wake. Ndiyo kusema kwamba, yeye ni mbinafsi. Ndiyo maana watu huwaita watu kama hao kwamba ni ‘wamimi.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ubinafsi na uchoyo wa kujidai hovyo, maishani mwao.
1Timotheo 6:6-10.
Luka 18:9-12.
ENGLISH: EVERYTHING FOR ME
This saying comes from a person that cares about himself or herself only. Such a person will always boast himself/herself and he/she does not want another person to be praised. The person wants only him/her to achieve everything.That is why people call him/her that, “everything for me.”
The saying is compared to someone who does not want others to achieve in life. He/ she only wants to achive alone. He/she likes to boast that he/she knows everything and he/she can do everything. Such a person is proud of himself for his/her selfishness.That is why people call such people “everything for me.”
The saying teaches people to break free from selfish thinking or selfish habits in their lives.
1Timothy 6: 6-10.
Luke 18: 9-12.