Imbuki ya kahayile kenako yililole ngi. Ingi ulu yutulwa yugwa hasi bho nduhu ugutinwa, igagwaga kakanza kadololo yapimbuka. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu ulu utulwa mpaga ugwa na gufelwa wikanza liguhi upila. Abhanhu bhagayombaga giki, ‘ocha kab’imba kangi.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gutula bhanhu bho gubhibhonela umuwikaji bhobho. Hangi yigelelilwe gubhachala kustali abho bhaminyikaga kugiki bhadule gupila wangu.
Waefeso 2:1-4.
KISWAHILI: AMEZIRAI KIMTINGO WA INZI
Chanzo cha msemo huo chaangalia inzi. Inzi akipigwa na kuanguka bila kupasuka huzirai kwa muda kidogo, baadaye huzinduka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepigwa akaanguka na kuzirai kwa mda mfupi halafu akazinduka. Ndiyo maana watu husema kwa mtu huyo kwamba, ‘amezirai kimtindo wa inzi.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuonea watu kwa namna mbalimbali, zikiwemo zile za kuwapiga. Yafaa pia kuwapeleka hospitalini wale walioumizwa, ili waweze kupona haraka.
Waefeso 2:1-4.
ENGLISH: HE/SHE HAS FAINTED IN A FLY’S STYLE
The origin of this saying is the behaviour of flies. When a fly is hit and falls down uncontrollably it lasts for a while then wakes up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”
The saying is compared to a person who has been hit and faint for a short time and then wake up. That is why people say, “he/she has fainted in a fly’s style.”
The saying teaches people to stop bullying behaviours such as beating others. It is also necessary to rush a person to hospital if he/she is injured so that he/she can recover quickly.
Ephesians 2: 1-4.