321. B’UTA B’UDIMANILE NA LUGE

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kub’uta na luge. Ub’uta nu luge jigikalaga kihamo jiidimile chiza. Jigikalaga bho gwiyambilija uguitumama imilimo yajo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, b’uta b’udimanile na luge.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhitolile. Abhanhu bhenabho bhagikalaga kihamo umuwikaji bhobho, guti numo bhuli ub’uta nu luge. Bhose ungosha nu nkima bhagiyambilijaga uguitumama imilimo yabho. Abhoyi b’alumanile halumo umushigu ja b’ulamu bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’uta b’udimanile na luge.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu abho b’itolile higulya ya gwiidima bho gulumana chiza umuwikaji bhob’o, guti b’uta na luge, umo b’udimanilile. Akikalile kenako kagubhinha nguzu ja gwiyambilija umubhutumami bho milimo yabho.

Mwanzo 9:13-16.

Waefeso 5:31.

KISWAHILI: UPINDE HUSHIKAMANA NA UGWE/KAMBA YAKE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upinde na kamba yake. Upinde na ugwe au kamba yake huwa zimeshikamana pamoja vizuri. Husaidiana katika kufanya kazi zote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upinde hushikamana na ugwe/kamba yake.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu waliooana. Watu hao huishi pamoja maishani mwao, kama ulivyo upinde na ugwe. Wote mume na mke husaidiana katika kufanya kazi zao. Huungana pamoja siku zote za maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upinde hushikamana na ugwe.’

Methali hiyo hufundisha watu wa ndoa juu ya kushikamana vizuri maishani mwao, kama upinde na ugwe, ushikamanavyo. Maisha hayo yatawapatia nguvu za kusaidiana katika utekelezaji wa majukumu yao.

Mwanzo 9:13-16.

Waefeso 5:31.

arrow

 

ENGLISH: THE BOW AND ITS STRING ARE FASTENED TOGETHER

The source of this proverb comes from the bow and its string. The bow and its string tend to fit together nicely and they function together. That is why people say, “a bow and its string are fastened together.”

The proverb is likened to married people. Married people live together just like a bow and its string.The couples live together and they support each other in life.That is why people say, “a bow and its string are fastened together.”

The proverb teaches couples about how to stick together in their lives like a bow and its string. This kind of life will give them the strength to help each other in fulfilling their responsibilities.

Genesis 9: 13-16.

Ephesians 5:31.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.