Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuli ndimi o mbuli. Undimi ng’wunuyo agajikomanyaga imbuli inhale, na bhana bha mbuli heke. Bhuli jene agajidimaga heke ni jingi. Kuyiniyo lulu, imbuli inhale igalemaga ugudimilwa mub’ana bha mbuli, nulu igab’iza ilinamili gudoo na ginehe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘udizunidimila mub’ana bhana bha mbuli.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alidalahijiwa na bhiye kunguno ya mili gokwe gudoo, aliyo alimunhu ntale. Umunhu ng’wunuyo agalemaga ugusanjiwa mub’anigini. Hunagwene agayombaga giki, ‘udizunidimila mub’ana b’a mbuli.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kub’adalahija abhanhu, kugiki bhadule ugutumama milimo yabho chiza, mu kaya jabho.
Zaburi 31:18.
1 Petro 2:16-17.
KISWAHILI: USINICHUNGIE KWENYE WATOTO WA MBUZI
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwa mchungaji wa mbuzi. Mchungaji huyo huwatenga mbuzi wakubwa na watoto wao, upande mwingine. Kila kundi hulichungia sehemu tofauti na lingine. Kwa hiyo basi, mbuzi mkubwa hukataa kuchungiwa kwenye kundi la watoto, hata kama atakuwa na umbo dogo namna gani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usinichungie kwenye kundi la watoto wa mbuzi.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule anayedharauliwa na wenzake kwa sababu ya umbo lake kuwa dogo, ijapokuwa yeye ni mkubwa kiumri. Mtu huyo hukataa kuchanganywa kwenye kundi la watoto, kwa kusema kwamba, ‘usinichungie kwenye watoto wa mbuzi.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu maishani mwao, ili waweze kufanya kazi vizuri, katika familia zao.
Zaburi 31:18.
1 Petro 2:16-17.
ENGLISH: NEVER PASTURE ME AMONG SMALL GOATS/GOAT’S KIDS
The source of this proverb is a person who pastures goats. The person who tends goats usually separates kids from old goats. Each group is pastured separately. So, an old goat will refuse to be pastured in the same group as kids no matter how small it is in shape.That is why people say, ‘never pasture me among goat’s kids.’
The proverb is analogized to an adult person who is despised by his/her peers because of being small in appearance. The person usually refuses to be treated as a child by saying, “never pasture me among goat’s kids.”
The proverb teaches people to stop the habit of despising other people in their lives.
Psalm 31:18.
1 Peter 2: 16-17