Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kunkundi uyo gochimagwa ginhu guminyiwa hatale. Unkundi gunuyo gugolechaga b’uminyiwa bho ng’wa munhu uyo ang’wisanije. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lelo yachima nkundi.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alioludugu, uyo wenhaga mamihayo matale. Abhaduguye b’agasatagwa noyi, kunguno ya gulombwa gufunya nsango kugiki bhabhone guimala imahayo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lelo yachima nkundi.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka gwita mamihayo gabhub’i kubhichabho, kunguno amamihayo genayo, gagachimaga nkundi, ukumioyo ya bhichabho bhenabho.
Wagalatia 6:10.
KISWAHILI: LEO IMECHOMA KITOVU
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kitovu kilichochomwa kitu fulani kikaumia sana. Kitovu hicho, huonesha jeraha la mauvumi ambalo mtu huyo amelipata kutoka kwa yule amtegemeae, au ameumizwa mtu wa karibu naye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘leo imechoma kitovu.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ameleta matatizo kwa ndugu zake. Ndugu zake mtu huyo huumia sana, kwa sababu ya kuwaletea shida ya kutakiwa kuchanga mali zikiwemo pesa, kwa lengo la kuyatatua matatizo hayo. Ndiyo maana watu husema, ‘leo imechoma kitovu.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwaletea matatizo ndugu zao, au wenzao, kwa sababu, matatizo hayo huchoma vitovu vya mioyo ya wenzao hao, kwa maana ya kuwaumiza sana.
Wagalatia 6:10.
ENGLISH: THE NAVEL HAS BEEN STABBED TODAY
This proverb comes from a person whose navel has been stubbed badly. The navel represents injury caused by a closely-related person. That is why people say, “the navel has been stubbed today.” The proverb is compared to a person who has caused serious problems to his/her relatives. The relatives of that person suffer because of being asked to pay money or something else in order to resolve the problem their relative caused to them. That is why people say, “the navel has been stubbed today.”
The proverb warns people against causing problems to their brothers or their people because problems cause pain to people.
Galatians 6:10.