stories

356. SEBHA ODULEKELA ISABHO JAGUSULUGIJA DUJIKWILILIJE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’ongeja bho sabho bho gujisulugija ijo jilihoyi. Isabho jinijo jigafumaga kuli Sebha, uyo agang’winhaga bhuli ng’wene. Ijoyi jigongejiyagwa bho gujisulugija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agasulujaga ginhu jose jose. Abhasuluja bhenabho bhagitaga bhukengeji bho gudebha uko bhuli ubhusuluja, ubho gudula gubhenhela solobho nhale.

Abhoyi bhadebhile igiki, yigelelilwe bhajongeje isabho ijo bhalekelwa nu Sebha. Isabho jinijo jilikihamo na masala gabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagikomelejaga bho gwiwila giki, ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gugatumamila amasala gabho, ayo bhalekelwa nu Sebha, umuguyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

KISWAHILI: BWANA KATUACHIA MTAJI TUUENDELEZE.

 Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uongezaji wa mali kwa kuzifanyia biashara zile zilizopo. Mali hizo hutoka kwa Bwana ambaye humpa kila mmoja. Zenyewe huongezwa kwa kuzifanyia biashara. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wafanya biashara wa kitu chochote kile. Wafanya biashara hao hufanya utafiti wa kuelewa kule ambapo biashara yao yaweza kuwaletea faida kubwa. Wao waelewa kwamba, yafaa waziongeza mali walioachiwa na Bwana.

Mali hizo ni pamoja na akili zao. Ndiyo maana watu hao huhimizana kwa kusema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuzifanyia kazi akili zao waliochiwa na Bwana, katika kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

banana1

 

ENGLISH: THE LORD LEFT CAPITAL FOR US TO INCREASE IT.

 The source of the above saying comes from the addition of wealth to the existing one. The wealth comes from the Lord who gives to each one of us. Such a given wealth needs to be expanded by doing business on it. This is why people say, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying is compared to business people or entrepreneurs. These people need to know where and when their business can make profit. They know that they have to add to what the Lord has given them in terms of wealth; be it intelligence or any other life skill.

Those assets are in their minds. This is why such people encourage one another by saying, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying teaches people to be diligent in making sure that the wisdom of the Lord is accomplished through their positive response to the given skills. In so doing, they can have success in life.

Matthew 25: 15-18.

John 11:52.

355. MILIMO IGAMALAGWA NA B’ASANGAB’AZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutumami bho milimo na bhumaji bhoyo. Abhanhu abhalendelezu, bhagatumamaga milimo yao hadohado. Abhanhu bhenabho bhagadilaga uguimala imilimo yabho yiniyo.

Aliyo lulu, abhanhu abhasangabhazu bhagaitumamaga imilimo yabho bho wangu wangu, na guyimala bho makanza maguhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalib’agokolo ugutumama umilimo. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga nyalendelezu, kunguno bhadina bhukalalwa bho guitumama imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagab’akomelejaga bho gubhawila giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo, kugiki bhadule guyimala wangu imilimo yabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhabhize na bhukamu bho guitumama na kuimala chiza imilimo yiniyo, kugiki idule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yoh 21:4-7

KISWAHILI: KAZI HUMALIZWA NA WACHANGAMFU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ufanyaji wa kazi na umalizaji wake. Watu waliozubaa hufanya kazi zao pole pole. Watu hao huchelewa kuzimaliza kazi zao hizo.

Lakini watu wale ambao ni wachangamfu, hufanya kazi zao kwa haraka kiasi cha kutosha kuzimaliza kazi hizo mapema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wavivu na wazembe wa kufanya kazi. Watu hao hufanya kazi zao kizubavu kwa sababu wao huwa hawana hamu ya kufanya kazi. Ndiyo maana watu huwahimiza watu hao kwa kusema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uvivu na uzembe wa kufanya kazi, ili waweze kuzimaliza kazi zao mapema kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi. Yafaa watu hao wawe na bidii ya kufanya kazi zao hizo kwa haraka kiasi cha kutosha kuwaletea maendeleo, maishani mwao.

Yohane 21:4-7.

angle-grinder

 

ENGLISH: THE ACTIVE ONES WILL ALWAYS FINISH THEIR WORKS

The source of the above saying is the presence of active individuals who are liable to finish their works, if compared to the lazy ones. Lazy people will always do their works in a very slow manner but those who are fast can finish it within or before the given time.

The saying is compared to people who are slow in doing things. These people do their jobs lazily and they cannot finish it on time. This is why such people are being warned by telling them that ‘the active ones will always finish their works.’

The saying teaches people about avoiding laziness behavior in order for them to finish their given works as early as possible. These people must be diligent enough to finish their works on time in order to bring about development in their lives and the society in general.

John 21: 4-7.

354. NKULU WABUPA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kubhutale na bhubupu bho ng’wa munhu. Ubhutale bhunuyo bhudulile golecha wikaji bho miaka mingi umusi, nulu bhupandiki bho nimo ntale umuchalo.

Ubhutale ubho miaki mingi, bhudashilaga. Aliyo lulu, ubhutale ubho gupandika nimo ntale bhugashilaga, ulu nimo gunuyo gwinjiwa. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olina nimo ntale bho makanza malebhe, uyo aginjiwa umunimo gunuyo. Aho olina nimo umunhu ng’wunuyo, abhanhu bhalibhankujije, aliyo aho winjiwa aha nimo gunuyo, abhingi bhagandalahaga, kunguno hamo olindoshi aho olimunimo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi kubhanhu, ulu bhupandika milimo mitale. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhatumame milimo yabho bho gwikala ni kujo kubhanhu bhose.

Luka 15:13 -16

Daniel 4:30-33

KISWAHILI: MHESHIMIWA ALIYEKOKA HADHI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia ukubwa na wepesi wa mtu. Ukubwa huo waweza kuwa wa miaki mingi ya kuishi duniani, au wa kupata kazi kubwa mahali fulani.

Ukubwa wa miaka mingi haupiti. Lakini basi, ule ukubwa wa kupata kazi kubwa au wa kupata madaraka, huisha mara yaishapo madaraka hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepata madaraka kwa kupewa kazi kubwa katika maeneo yake, baadaye madaraka hayo yaliondolewa kwake.  Alipokuwa na madaraka hayo mtu huyo, watu alimheshimu sana, lakini alipokosa kazi, watu wengi walimdharau, pengine ni kwa sababu ya maringo na dharau zake kwa watu alizokuwa nazo wakati alipokuwa kwenye madaraka hayo makubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kudharau watu, na kuwa na majivuno, wakati wakiwa madarakani, maishani mwao. Yafaa watu hao wafanye kazi zao kwa kuishi kwa heshima na watu wote.

Luka 15:13 -16.

Daniel 4:30-33.

executive

 

successful

 

ENGLISH: THE UNRESPECTED HONOURABLE

The source of the above saying is a boss who has lost his/her status. This respect being talked about in this saying can come because of someone’s age or nature of job one is doing. The respect that comes from age can be more permanent than the one that comes from the nature of job. Therefore, there is a possibility of someone holding a top position in leadership to be demoted. In such a context, the demoted person can be labeled as unrespected honourable.

The saying can be compared to a person who has been given a great deal of responsibility in his/her area. When the power diminishes, he/she comes to be an ordinary person. This is why people call him, ‘the unrespected honourable.’

The saying teaches people to stop promoting stereotype in life by being arrogant when in power. Rather, they should do their jobs by respecting others as well.

Luke 15:13 -16.

Daniel 4: 30-33.

353. UGUGAPANDIKA AMAKOYE AGADINA NKULUYE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhupandiki bho makoye ayo gakilile pye ayo gab’ita. Amakoye genayo gaginjiyagwa na sab’o ijo alinajo uyo galampandike. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo, alijigusija isabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agwigusijaga sabho jakwe. Umunhu ng’wunuyo agib’aga igiki, adulile gupandika makoye matale na ugaiwa isabho ijagwigunanila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka kujigusije sagala isabho ijo bhalinajo, kunguno jidulile gubhambilija, ulubhalapandike makoye, umuwikajo bhobho.

Mathayo 25:41.

KISWAHILI: UTAYAPATA MATATIZO MAKUBWA ZAIDI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upataji wa matatizo, ambayo ni makubwa zaidi kupita yote yaliyopita. Matatizo hayo huondolewa kwa kutumia mali alizonazo yule atakayeyapata.

Lakini basi, mtu huyo huzichezea mali zake hizo zitakiwazo kutumika katika kumuondolea matatizo hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzichezea mali zake alizonazo. Mtu huyo husahau kwamba, aweza kupata matatizo makubwa zaidi maishani mwake, na kukosa mali za kumsaidia katika kuyatatua. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuzichezea mali walizonazo, kwa sababu mali hizo zitawasaidia wakati watakapopata matatizo, maishani mwao.

Mathayo 25:41.

man thinking

ENGLISH: YOU WILL ENTER INTO BIGGER PROBLEMS.

The source of the above saying comes from someone who has encountered some problems in life. These problems need to be resolved using some available resources in the family. In so doing, one finds himself/herself losing more resources in an attempt to solve the problem thus causing him/her to enter into bigger problems than the former ones. This is why people can warn such a person by saying, ‘you will enter into bigger problems.’

This saying can be compared to a person who plays with his/her possessions. Such a person forgets that he/she may experience more problems in future by spending the available resources in solving just one problem.

The proverb teaches people to stop playing with possessions they have because they will help them in future.

Matthew 25:41.

352. NUGU-TENGELWA B’O NYAMA NANG’HO WANDYA KUKOB’A JAMAGUHA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhutengelwa bho nyama hakaya ya ng’wa munhu nhebhe. Imyama jinijo jalijawiza pye ijose. Aliyo lulu untengelwa o nyama ng’wunuyo, agandya guyujichola nsoga guti giki, inyama ijingi jidijawiza. Hunagwene agawilagwa giki ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindoshi, ogutogwa gujisondagula ijiliwa ijo wenhelagwa. Umunhu ng’wunuyo agandyaga guyuchola inyama iniza niza ijingi ojibhonaga giki, jidijawiza umukiganikile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi umukikalile kabho, kugiki bhadule gub’iza na bhulumbi ukubhanhu abho wagabhab’egejaga jiliwa.

Matayo 20:20-24.

KISWAHILI: NA KUTENGEWA NYAMA NAWE UKAANZA KUCHAMBUA ZA MIFUPA

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kutengewa nyama kwenye familia ya mtu fulani. Nyama hizo zilikuwa nzuri zote. Lakini yule aliyetengewa ili azile, alianza kuzitafuta zile zilizonzuri, na kuziona zingine kama hazifai. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo, kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mwenye majivuno ya kuvidharau vile anavyopewa na wenzake. Mtu huyo baada ya kutengewa chakula huanza kuzitafuta zile zilizonzuri na kuziona zingile kama hazifari. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za majivuno ya kuwadharau wengine na kukidharau chakula kile wapewacho maisha mwao.

Matayo 20:20-24.

african-meat

meat

 

ENGLISH: TO BE GIVEN MEAT AND BEGINNING TO LOOK FOR BONES.

The source of the above proverb is a story about someone being given meat. The story narrates about someone who was given meat and instead, began looking for bones as a way to disapprove the given food. People of this caliber are being criticized through this saying.

This proverb can be compared to a person who is arrogant and is not ready to appreciate what is being given by others. When given food to eat, he/she begins looking for its weaknesses and finally disapproves it. Such people are challenged by telling them that ‘to be given meat and beginning to look for bones’ in order to make them calm and appreciate what comes before them.

The proverb teaches people to stop being arrogant by despising others who appear to be helpful in their lives. Rather, they have to have a tendency of appreciation whenever they are being given something.

Matthew 20: 20-24.