stories

361. IGULYA KULI BHEBHE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuchaji bho ginhu ijo jilina solobho hanhu. Iginhu jinijo, jidulile gung’wambilija unchaji ojo, na bhanhu abho alibhachalila, ulu ujishisha chiza. Kunguyo yiniyo lulu, ulu aladume ugujishisha inhulu jinijo agupandika makoye unchaji ojo ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘igulya kuli b’eb’e.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumagwa kuchala nhulu hanhu, ijo jilina solobho, ukubhanhu, aliyo agakijaga ugujishisha. Umunhu ng’wunuyo agenhelejaga abhanhu bhakija ugwipandika isolobho ya nhulu jinijo, kihamo nu weyi agadumaga uguyipandika isolobho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘igulya kuli b’eb’e.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujishisha chiza inhulu ijo bhagatumagwa kujichala kub’ichabho, kugiki jidule gubhambilija ugwikala bho mholele umuchalo jabho.

Amosi 4:1-3

KISWAHILI: ITAKULA KWAKO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upelekaji wa kitu au habari fulani kwa watu. Habari hiyo yaweza kuwa na faida kubwa kwa watu wanaopelekewa na kwa mpelekaji wake, akiifikisha vizuri. Lakini asipoifikisha vizuri, mpelekaji huyo atapata matatizo. Ndiyo maana watu humwambia hivi, ‘itakula kwako.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hutumwa kupeleka habari fulani, yenye faida kubwa kwake, na kwa wale anaowapelekea, lakini yeye huacha kuifikisha.

Mtu huyo husababisha wenzake washindwe kuzipata faida za habari hiyo, na yeye pia kuzikosa faida hizo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘itakula kwako.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufikisha habari walizotung’wa kwa wahusika, ili waweze kuzipata habari hizo mapema kiasi cha kutosha kuwasaidie katika kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

Amosi 4:1-3

business

 

 

ENGLISH: IT WILL BE UP TO YOU.

The source of the above saying comes from sharing information to people. The information can be of great importance to sender and recipients. But if he/she does not deliver it properly, the sender of information will have problems in delivering it. This is why people can tell him/her that ‘it will be up to you.’

Such a saying is compared to a person who is sent to convey certain information, which is of great importance to him and the recipients. The moment the sender fails to deliver the message as required he/she causes some people not to get the required information. Such a sender of information can be warned by telling him/her that ‘it will be up to you.’

The saying teaches people about communicating the information they have been sent to deliver. This will enable receivers of such information to get informed and make decision as required on time.

Amos 4: 1-3.

360. UNG’WENUYU NTALE OB’ASHILIMU

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhushilimu bho ng’wa munhu ntale. Ubhushilimu bhunubho bhugiyolechaga bho gub’ub’isa ubhuhub’i bho ntale. Ulu uhub’a mhayo untale ng’wunuyo adulile nulu gunsayila ungi uyo alindoo.

Abhanhu bhagikalaga bhadeb’ile igiki untale hung’wene uyo ohub’aga, aliyo bhagogohaga ugung’wila iki alintale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ung’wunuyu ntale obashilimu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagitaga mihayo ya bhub’i bhabhasayila bhichab’o abho bhali bhadoo. Abhanhu bhenabho bhagogohaga gujimija ikujo lyab’o, umubhutongeji ubho bhalinabho, umuchalo jab’o. Abhanhu abho bhabhudeb’ile ubhushilimu bhobho, bhagayombaga giki, ‘ung’wenuyu ntale ob’ashilimu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhushilimu bho gub’asayila bhangi, ubhuhub’i bhobho. Yigelelilwe bhab’atongele chiza ab’ichab’o, umuwikaji bhobho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: HUYU NI KIONGOZI WA WAJANJA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ujanja wa mtu mkubwa au kiongozi. Ujanja huo hujionesha kwa kuficha makosa yake kiongozi huyo. Kiongozi huyo akikosea neno humsingizia ng’wingine ambaye ni mdogo.

Watu huwa wanafahamu kwamba kiongozi huyo ndiye mwenye kosa, lakini huwa hawathubutu kumwambia kwamba amekosea, kwa sababu ni kiongozi. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘huyo ni kiongozi wa wajanja.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao hutenda maovu na kuwasingizia wengine waliochini yao.  Watu hao huogopa kupoteza heshima yao kwenye uongozi walio nao kijijini mwao. Watu ambao wauelewa ujanja huo husema kwamba, ‘huyu ni kiongozi wa wajanja.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ujanja wa kuwasingizia wengine uovu wao. Yafaa watu hao wawaongoze wenzao vizuri, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

comedian

 

ENGLISH: THIS IS A LEADER OF THE CUNNING ONES.

The source of the above saying comes from the cunningness of a great man or leader. This tactic manifests itself by hiding the leader’s mistakes. If the leader makes a mistake, he blames another person who is junior to him/her.

People often know that the leader is at fault, but they dare not to tell him/her that he/she is wrong because he/she is a leader. This is why those people say, ‘this is a leader of the cunning ones.’

The saying is compared to people who do bad things and accuse others who are junior to them. Such people are afraid of losing respect in their leadership. People who understand their tricks will say, ‘this is a leader of the cunning ones.’

This saying teaches people to stop shouldering their weaknesses to their subordinates. Such people need to behave well by admitting their mistakes.

Luke 16: 1-8.

359. YENIYI FULO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa na gujileke sagala. Ulu ng’waka gubhela, ijiliwa jigapyaga mpaga ijingi jigakenagukaga, kunguyo ya gulekenijiwa nabho bhajilyaga mpaga b’iguta. Hunagwene ulu bhajibhona ijiliwa jinijo abhanhu abho bhalinabhukalalwa najo, bhagayombaga giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga yawiza abhanhu, guti gubhatengela jiliwa, b’ujilya na gujilekanija sagala. Abho bhajilyaga ijiliwa jinijo mbaga bhiguta, b’agajilekaga bhaja ku mihayo yabho, jandya guliwa na ngoko ijiliwa jinijo. Oho wiza umunhu uyo obhatengelaga usanga jililiwa na ngoko, uyomba giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gujidosa ijiliwa ulu bhiguta. Yigelelilwe bhab’achalile ijiliwa jinijo, abhanhu abho bhalina makoye ga nzala.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

KISWAHILI: HII NI SHIBE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula na kukiacha hovyo. Mwaka ukiwa mzuri, chakula hupatikana kwa wingi mpaka kingine huanza kuharibika hovyo. Hali hiyo kutokea kwa sababu ya kutelekezwa na watu walioshiba baada ya kukila. Ndiyo maana wakikiona chakula hicho watu wakithaminio, husema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwatendea wema watu, kama vile kuwapatia chakula, wakala na kukitelekeza hovyo. Baada ya kukila chakula hicho mpaka wakatosheka walikiacha, wakaenda kwenye shuguli zingine. Chakula hicho kilianza kuliwa na kuku. Alipofika mtu aliyewapatia chakula hicho, na kukuta kikiliwa na kuku, alisema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za malingo ya kudhazau chakula walapo na kushiba. Yafaa watu hao wawapelekee chakula hicho watu walio na matatizo ya njaa.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

watermelon

 

ENGLISH: THAT IS SATISFACTION.

The source of the above saying comes from satisfaction after having enough food. When the season is good, food gets in abundance and sometimes it ends up rotting. This can happen because of having extra food. Therefore the rotting of food is a sign of satisfaction.

The saying can be compared to someone who does good things to people, such as giving them food. After eating the food to their satisfaction, they leave it for chicken to continue enjoying it. Such people are warned by telling them that ‘that is satisfaction.’

The proverb teaches people to stop misuse food. When they are satisfied, they need to keep safely the remaining ones for future use.

Psalm 144: 13-15.

Genesis 41: 17-36.

358. AHO AGELELILE AMASALA GAKO NAHO ANDIJIJE AGANE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigiiganikilaga giki jilina masala mingi noyi. Ijisumva jinijo jidazunije  igiki alihoyi ungi uyo alina masala guti joyi. Hunagwene jigayombaga giki, ‘oho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiygwa kuli munhu uyo witulile b’ushilimju bho gubhadalaha abhiye umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ahayile ayombe weyi duhu, abhangi b’adizuyomba. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, ‘aho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gudebha igiki, ilihoyi mingi iyo bhadayideb’ile, iyo bhadulile gulangwa na b’ichab’o abho bhayideb’ile chiza.

Gashinaga lulu, yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhejileke inhungwa ija bhudoshi bho gub’adalaha abhichab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na abhichib’o , umuwikaji bhobho.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

KISWAHILI: PALE ZIKOMEAPO AKILI ZAKO NDIPO ZIANZIAPO ZANGU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujifikiria kwamba kina akili nyingi sana. Kiumbe hicho hakikubali kwamba, kuna kingine ambacho kina akili kama chenyewe. Ndiyo maana kiumbe hicho humwambia mwingine kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hujifanya mjanja wa kuwadharau wenzake maishani mwake. Mtu huyo hutaka aongee yeye tu, wengine wasiongee. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuelewa kwamba, kuna mengi ambayo hawayafahamu, ambayo waweza kufundishwa na wenzao wanaoyaelewa vizuri. Kumbe yafaa watu hao, waache tabia za majivuno ya kuwadharau wenzao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

arms

 

ENGLISH: MY MIND BEGINS WHERE YOURS ENDS.

The source of this saying is a person who thinks that he/she is more intelligent than others. Such a person is not likely to admit that there are other people who are more intelligent than him/her. They tend to boast themselves by saying ‘my mind begins where yours ends.’

This saying can be likened to a person who pretends to despise others in life. Such a person would like to silence others and be the only one to speak.

The saying teaches people to have the humility that enables them to understand that they are also ignorant in some of the things in life. They sometimes need to be open by accepting the teachings of others.

Psalm 14: 1-3.

Psalm 54: 1-3.

357. GINGHI YALINDILA BHUSATU BHO NDUGU OYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka ginghi. Iginghi yiniyo igikalaga bho gulya ginhu ijo jichile. Kuyiniyo lulu, iyoyi idulile nulu gunindila ndugu oyo asate na kucha, kugiki iyoyi idule gupandika jiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindilile ache ise, nulu nduguye, kugiki adule gupandika sabho. Umunhu ng’wunuyo wikolile ni Ginghi iyo yalindila bhusatu bho ndugu oyo, ache, ipandike jiliwa, kunguno nu weyi, alindilile lufu lo nduguye, lwigele, kugiki nawe apandike sabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi ali ‘‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuchola sabho bho nzila niza, idi bho gubhalombela gupandika yabhub’i abhichab’o, nulu gubhiganikila shib’i abhichab’o.

2Samweli 11:14-17.

KISWAHILI: BUNDI ASUBIRI UGONJWA WA NDUGUYE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya Bundi. Bundi huyo huishi kwa kula vitu vilivyo kufa yaani, mizoga. Kwa hiyo basi, yeye aweza hata kusubiri ugonjwa umpate ndugu yake au baba yake, afe, yeye ale chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye husubiri kifo cha baba au ndugu yake, ili apate mali. Mtu huyo hufanana na Bundi yule aliyesubiri ugonjwa wa baba au ndugu yake, afe ili apate chakula, kwa sababu naye asubiri kifo hicho, ili apate mali. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye ni, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutafuta mali kwa kutumia njia sahihi, siyo kuwaombea mabaya wenzao ili wao wapate mali.

2Samweli 11:14-17.

owl

 

ENGLISH: AN OWL WAITED FOR THE SICKNESS OF ITS RELATIVE.

The source of the above saying is the life of an owl that depends on sickness or death of its close relatives. As the saying shows, owls depend on carcasses therefore, the death of other birds means life to owls.  This is why people say, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The saying can be compared to a person who waits for the death of his/her relatives for him/her to flourish. That person is like an owl that is waiting for his relative to die in order to get food. This is why people tell such people that, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The proverb teaches people to look for wealth in the right way, not to pray for evils to befall their relatives for them to live a comfortable life.

2Samuel 11: 14-17.